Featured

Monday, August 22, 2016

Afrika Mashariki yatakiwa kuboresha sheria kwenye sekta ya uchimbaji madini





 Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki EADB imezitaka nchi za kanda hiyo kuboresha sheria kwenye sekta ya uchimbaji madini ili kuhakikisha rasilimali zinapangwa kwa usawa.
Akiongea kwenye semina ya kikanda ya majaji kutoka nchi za Afrika Mashariki iliyomalizika jana Nairobi, Mkurugenzi Mkuu wa Benki hiyo, Vivienne Yeda, amesema ugunduzi na uchuguzi unaoendelea wa madini katika kanda hiyo umeongeza matumaini ya kuongeza utajiri, kupunguza nakisi ya bajeti na kuboresha maisha ya watu wa nchi hizo. Amesisitiza kuwa mafao lazima yaende kwenye jamii za nchi husika, kwa njia za mirahaba, kodi, mgao, fursa za biashara, kazi za kitaalamu na ajira kwa wafanyakazi wenye ujuzi.
Semina hiyo iliyoandaliwa na EADB, imewalenga majaji wa Afrika mashariki wanaohusika na kazi ya usuluhishaji na kutatua migogoro kwenye sekta ya madini.

USAIN BOLT NA SAKATA LA MAPENZI NA MTOTO WA SHULE




 Picha za bingwa wa mbio za mita 100,200 na relay kwenye mashindano matatu ya Olimpiki Usain Bolt zimeenea kwenye mitandao ya kijamii.
Bolt anaonekana kwenye pozi za mapenzi na msichana anaedaiwa kuitwa Jady Duarte wa umri wa miaka 20 ambae ni mwanafunzo wa chuo kimoja cha Brazil
Inasemakana Bolt alikua tayari kashatangaza kumuoa mchumba wake Kasi Benestt baada ya olimpiki na huenda ndoa hiyo ikaingia doa.
Hata hivyo taarifa hizi huenda zisimtatize sana Bolt kwani yeye amewahi kukubali kwamba hawezi kuwa na uhusiano na mwanamke mmoja.

WEMA ATOA MACHOZI NA KUMUOMBA IDRIS ARUDI




Siku chache baada ya Wema Sepetu na Idriss kutofautiana na Idris kumuondokea Wema,Mwanadada huyo ameonekana kupata tabu sana na maisha bila mpenzi wake.
Hivi kaamua kutumia mtnadao wa kijamii kumuomba msamaha.
Amesema " That moment you realise how much u miss a special someone… Rudi basi… hata kidogo tu

Kocha wa Azam FcZeben aomba muda zaidi, kurekebisha makosa vs Majimaji




KOCHA Mkuu wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Zeben Hernandez, amesema kuwa anahitaji muda zaidi ili kukisuka kikosi chake na kucheza kupitia mifumo wanayoendelea kuwafundisha wachezaji wa timu hiyo.
Zeben pia ametanabaisha kuwa atayafanyia kazi makosa yote yaliyojitokeza kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya African Lyon ulioisha kwa sare ya 1-1, ili waweze kufanya vizuri mchezo ujao dhidi ya Majimaji.
“Kwa sasa tunafanya tathimini ya mchezo uliopita, kutoa makosa na kurekebishana pale tulipokosea, tukimaliza hapo kwa wiki hii tutaanza kujipanga kwa mchezo ujao (Majimaji), lakini cha kwanza tunaangalia yali yaliyotokea katika mchezo wa kwanza, mapungufu yalikuwa wapi na nani anapaswa kufanya nini,” alisema
Azam FC kwa sasa ni miongoni mwa timu zilizoko nafasi ya nne hadi ya tisa kwenye msimamo wa ligi, zote zikiwa zimekusanyia pointi moja kila mmoja zikizidiwa pointi mbili na vinara Simba, Ruvu Shooting na Tanzania Prisons, walijikusanyia pointi tatu.
Mechi vs Lyon
Akizungumzia mchezo wa kwanza dhidi ya African Lyon, Zeben alisema timu yake haikucheza vibaya sana kulingana na mechi zilizopita huku akidai kuwa tatizo kubwa linalokikabili kikosi chake ni ufungaji wa mabao.
“Hilo si tatizo sana kadiri muda utakavyokuwa ukienda, hali itabadilika, ni jambo la kuvuta subira na muda zaidi, ukipatikana muda wa kutosha basi timu itakuwa vizuri zaidi mpaka sehemu ya ushambuliaji,” alisema.
Mbali na hilo amesema kuwa wiki hii, atalifanyia kazi suala la wachezaji wake kushindwa kumaliza mechi kipindi cha kwanza, akidai kuwa kwa mechi kadhaa zilizopita kikosi chake kimekuwa kikitafuta ushindi kipindi cha pili kuliko mwanzoni mwa mechi.
“Sikuwa na timu mwanzo, nimeingia kikosini hivi sasa na nimeanza kubadilisha mfumo na mbinu kwa timu kucheza namna tunavyotaka sisi kulingana na mifumo, hilo ni tatizo ambalo lipo ni kubwa kwa sasa na tunaendelea kujitahidi kulifanyia kazi na hata wiki hii tutaendelea nalo ili kwa mechi zijazo liweze kuondoka,” alisema.

Azam FC inakamiwa
Zeben aliendelea kusema kuwa jambo linaloonekana hivi sasa ni timu zote zinazokuja Azam Complex kucheza na timu yake, hufanya jitihada kubwa kuliko uwezo wao ili kuonyesha nao wanaweza kucheza mpira.
“Hili si tatizo kubwa sana inabidi tuendelee kulizoea na nitaendelea kuiboresha timu, ili kwa yoyote atakayekuja Chamazi au nje ya Chamazi tuweze kumfunga,” alisema.
Ligi itakuwa ngumu
Kocha huyo wa zamani wa Stanta Ursula ya Hispania, alisema ameshuhudia mechi za kwanza za ligi msimu huu na kudai kuwa haitakuwa ligi rahisi sana na ngumu kwake yeye kutokana na kikosi alichonacho.
“Cha muhimu ni wachezaji kuendelea kushika mifumo yangu ninayoendelea kuwafundisha, kwa uzoefu wetu tuliokuwa nao hapa tumegundua timu yoyote inayocheza na Azam hata timu iwe kibonde vipi, basi itajitahidi kuweza kuweka rekodi, hili si tatizo sana tutaendele kupambana nalo kwa kuwa hii ni kazi yetu,” alisema.
Kikosi cha Azam FC kinachodhaminiwa na Benki ya NMB na kinywaji safi cha Azam Cola, kitaanza rasmi mazoezi ya kujiandaa na mchezo ujao dhidi ya Majimaji kesho Jumanne asubuhi, mechi itakayopigwa Uwanja wa Azam Complex, Jumamosi ijayo saa 10.00 jioni.

Tanzania among Africa Top Investment Destinations, Report Indicates




Tanzania was among the leading investment destinations in Africa in 2015, the recently published 2016 African Economic Outlook (AEO) indicates.

The AEO presents the current state of economic and social development in Africa and projects the outlook for the coming two years.

The AEO is a product of collaborative work by three international partners: the African Development Bank (AfDB), the OECD Development Centre and the United Nations Development Programme (UNDP). 
The top 10 African investment destinations in 2015 were: 
Egypt (USD10.2b) 
Mozambique (USD4.7b) 
Morocco (USD4.2b) 
South Africa (USD3.6b) 
Ghana (USD2.5b)
 Democratic Republic of the Congo (USD2.5b)
 Zambia (USD2.4b) 
Tanzania (USD2.3b) 
Ethiopia (USD2.1b) 
Guinea (USD1.9b) and Kenya (USD1.9b) In East Africa, Tanzania (USD2.3b) and Uganda (USD1.3b) received stable investments in 2015 despite their lack of significant resources, according to the report. Still, Tanzania and the other East African countries are economically more diverse than resource-rich countries and relatively well-integrated as a region. East Africa, together with West Africa, is also among the continent’s leading recipients of official development assistance from all recorded donors. Ethiopia (USD3.6b), Kenya (USD2.7b) and Tanzania (USD2.6b) topped the list in East Africa, while Nigeria (USD2.5b)was the leader in the West.




Tanzania Investment Centre (TIC) is the primary agency of the Government to coordinate, encourage, promote and facilitate investment in Tanzania. 
On 23rd March 2015, TIC and the Investment Climate Facility for Africa (ICF) signed an agreement worth USD950,000 on a project to further increase investments in the country. 

This will be achieved by expanding, consolidating and promoting the Tanzania Investment Window (TIW). The TIW allows investors to register companies and to obtain investment certificates, work permits and tax exemptions on-line. The agency is now looking to promote further investment in key economic sectors.




 Tanzania was among the leading investment destinations in Africa in 2015, the recently published 2016 African Economic Outlook (AEO) indicates. The AEO presents the current state of economic and social development in Africa and projects the outlook for the coming two years. The AEO is a product of collaborative work by three international partners: the African Development Bank (AfDB), the OECD Development Centre and the United Nations Development Programme (UNDP). The top 10 African investment destinations in 2015 were: Egypt (USD10.2b) Mozambique (USD4.7b) Morocco (USD4.2b) South Africa (USD3.6b) Ghana (USD2.5b) Democratic Republic of the Congo (USD2.5b) Zambia (USD2.4b) Tanzania (USD2.3b) Ethiopia (USD2.1b) Guinea (USD1.9b) and Kenya (USD1.9b) In East Africa, Tanzania (USD2.3b) and Uganda (USD1.3b) received stable investments in 2015 despite their lack of significant resources, according to the report. Still, Tanzania and the other East African countries are economically more diverse than resource-rich countries and relatively well-integrated as a region. East Africa, together with West Africa, is also among the continent’s leading recipients of official development assistance from all recorded donors. Ethiopia (USD3.6b), Kenya (USD2.7b) and Tanzania (USD2.6b) topped the list in East Africa, while Nigeria (USD2.5b)was the leader in the West.

Read more at: http://www.tanzaniainvest.com/economy/investment-africa-report and follow us on www.twitter.com/tanzaniainvest 

Epanko to Supply Tanzanian Graphite to Japan



Australian graphite developer Kibaran Resources (ASX:KNL) has recently signed an agreement with Japanese trading giant Sojitz for the supply of graphite from its Epanko project in Tanzania. According to the exclusive agreement, Kibaran will supply a minimum of 14,000t per year of natural flake graphite products from Tanzania to Sojitz over the next 5 years.

 Sojitz will distribute the graphite into Japan, Korea and Taiwan to the lithium battery industry. “The Sojitz agreement provides an avenue for long-term sales of Epanko graphite into the fast-growing lithium-ion battery markets of Japan and Korea,” Kibaran’s press release indicates.

 Kibaran Managing Director Andrew Spinks said the company’s relationship with Sojitz would also provide a platform to increase production capacity at Epanko as market demand increases for battery grade graphite. He added: “Graphite demand is forecast to treble on the back of the lithium battery demand and Kibaran’s relationship with Sojitz and the ability to expand Epanko’s capacity means it will be ideally positioned to capitalise on this opportunity.” 

Tanzania Graphite Production 

Tanzania’s largest graphite deposits are located in the central and east southern regions of the country. 
At the end of 2015, The Tanzanian Ministry of Energy and Minerals (MEM) announced that Tanzania will soon become one of the largest producers of graphite in the world, due to recent and abundant discoveries of graphite fields across the country.

 In 2014, China was the largest producer of graphite with 780,000t, followed by India (170,000t), Brazil (80,000t), Canada, North Korea and Turkey with 30,000t, Russia (14,000t), Mexico (8,000t), Ukraine and Zimbabwe with 6,000t, Madagascar (5,000t), Sri Lanka (4,000t), Norway (2,000t) and other countries (1,000t). Graphite discoveries in Tanzania come mainly from Magnis Resources Limited (ASX:MNS), Mozambi Resources (ASX:MOZ) and Kibaran Resources Limited (ASX:KNL). 
Kibaran’s primary focus is on the Epanko graphite project in south-east Tanzania which will be capable of producing 44,000t a year of flake graphite concentrate. Kibaran already has binding agreements for 30,000t of graphite per year including 20,000t with German company ThyssenKrupp and 10,000t with European graphite trader. “Kibaran is now studying the potential to increase Epanko’s production capacity based on forecast growth in lithium battery demand,” Spinks said.


 Australian graphite developer Kibaran Resources (ASX:KNL) has recently signed an agreement with Japanese trading giant Sojitz for the supply of graphite from its Epanko project in Tanzania. According to the exclusive agreement, Kibaran will supply a minimum of 14,000t per year of natural flake graphite products from Tanzania to Sojitz over the next 5 years. Sojitz will distribute the graphite into Japan, Korea and Taiwan to the lithium battery industry. “The Sojitz agreement provides an avenue for long-term sales of Epanko graphite into the fast-growing lithium-ion battery markets of Japan and Korea,” Kibaran’s press release indicates. Kibaran Managing Director Andrew Spinks said the company’s relationship with Sojitz would also provide a platform to increase production capacity at Epanko as market demand increases for battery grade graphite. He added: “Graphite demand is forecast to treble on the back of the lithium battery demand and Kibaran’s relationship with Sojitz and the ability to expand Epanko’s capacity means it will be ideally positioned to capitalise on this opportunity.” Tanzania Graphite Production Tanzania’s largest graphite deposits are located in the central and east southern regions of the country. At the end of 2015, The Tanzanian Ministry of Energy and Minerals (MEM) announced that Tanzania will soon become one of the largest producers of graphite in the world, due to recent and abundant discoveries of graphite fields across the country. In 2014, China was the largest producer of graphite with 780,000t, followed by India (170,000t), Brazil (80,000t), Canada, North Korea and Turkey with 30,000t, Russia (14,000t), Mexico (8,000t), Ukraine and Zimbabwe with 6,000t, Madagascar (5,000t), Sri Lanka (4,000t), Norway (2,000t) and other countries (1,000t). Graphite discoveries in Tanzania come mainly from Magnis Resources Limited (ASX:MNS), Mozambi Resources (ASX:MOZ) and Kibaran Resources Limited (ASX:KNL). Kibaran’s primary focus is on the Epanko graphite project in south-east Tanzania which will be capable of producing 44,000t a year of flake graphite concentrate. Kibaran already has binding agreements for 30,000t of graphite per year including 20,000t with German company ThyssenKrupp and 10,000t with European graphite trader. “Kibaran is now studying the potential to increase Epanko’s production capacity based on forecast growth in lithium battery demand,” Spinks said.

Read more at: http://www.tanzaniainvest.com/mining/epanko-graphite-supply-japan and follow us on www.twitter.com/tanzaniainvest 

SAMATTA AKIZIDI KUTAMBA MBELE YA WAGENI



Mbwana Samatta ameendelea kufanya vyemma kwenye ligi ya Ubelgiji baada ya kufunga magoli magoli mawili wakati Genk ikishinda ugenini kwa magoli 3-0 dhidi ya Lokeren.
Samatta alianza kufunga goli la kwanza dakika ya 34 kipindi cha kwanza kabla ya kufunga bao jingine dakika nne baadaye.
Bao la tatu la Genk limefungwa na Leon Bailey dakika ya 48 kipindi cha pili na magoli hayo yakidumu kwa dakika zote.
Samatta alipumzishwa dakika ya 73 kumpisha mshambuliaji mwenye ya Ugiriki Nikos Karelis.

Huupa chini msimamo wa ligi ya Ubelgiji (Belgium Pro League) ikionesha Genk ikikamata nafasi ya nne kikiwa na pointi saba baada ya kucheza michezo minne.

SERENGETI BOYS YAZIDI KULETA MATUMAINI YA KUELEKEA MADAGASCAR




Timu ya taifa ya vijana chini miaka 17 ‘Serengeti Boys’ imepata ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya timu ya vijana ya Afrika Kusuni katika mchezo wa marudiano uliochezwa kwenye uwanja wa Azam Complex kuwania kufuzu fainali za matifa ya Afrika kwa vijana wa umri huo mashindano yanayotarajiwa kufanyika Madagascar.
Magoli ya Serengeti Boys yamefungwa na kipindi Mohamed Abdala aliyefunga dakika ya 34 kipindi cha kwanza wakati bao la pili likifungwa dakika za lala salama na Muhsin Makame.
Serengeti Boys imeitupa nje timu ya taifa ya Afrika Kusini kwa jumla ya magoli 3-1 hiyo ni baada ya timu hizo kutoka sare ya kufungana 1-1 kwenye mchezo wa awali uliopigwa Afrika Kusini.

Matokeo hayo yanaifanya Serengeti Boys isonge mbele, itakutana na Namibia au Congo Brazzaville katika raundi inayofuata na endapo itafanikiwa kufuzu basi itakata tiketi ya kushiki katika fainali za mataifa ya Afrika.
Ally Ng’anzi wa Serengeti Boys alioneshwa kadi nyekundu kwenye mchezo huo baada ya kuoneshwa kadi mbili za njano hivyo ataukosa mchezo mmoja ujao wa timu yake.

September mwaka huu Serengeti itakuwa mwenyeji wa Namibia au Congo Brazzaville huku mchezo wa marudiano ukitarajiwa kuwa kupigwa mwezi October.

Thursday, August 18, 2016

Volvo and Uber team up to develop self-driving cars




Volvo Car Group has agreed a $300 million alliance with Uber to develop self-driving cars, the latest move by traditional vehicle manufacturers to team up with Silicon Valley firms seen as threats to their industry.
The partnership will allow the Swedish-based carmaker, owned by China's Geely, and ride-hailing service Uber to pool resources into initially developing the autonomous driving capabilities of its flagship XC90 SUV model. The investment will be shared roughly equally by the two companies.
Carpooling firms have formed alliances with large automakers to accelerate efforts to launch an autonomous car, a technology which depends on vehicle software and hardware working together to give a vehicle the right reflexes in traffic.
Companies such as Uber would make drastic savings on their biggest cost -- paying drivers -- if they were able to incorporate self-driving cars into their fleet.
For the carmakers themselves, the ability of consumers to hail a cab via a simple app or hire a car by the hour risks putting them off buying their own vehicle.
Toyota Motor Co (7203.T) has said it is investing an undisclosed sum in Uber, while German rival Volkswagen (VOWG_p.DE) has said it will back Gett, a ride-hailing company. General Motors (GM.N) has already acquired a stake in Uber's rival, Lyft.
In the latest alliance, Uber will purchase Volvos and then install its own driverless control system for the specific needs of its ride-hailing service.
Volvo will use the same vehicle for its own autonomous driving project, which is based on a plan that still envisages having a driver in the car.

SAFETY FOCUS
The investment will go towards researching and developing both hardware, such as sensors used to detect traffic and obstacles, as well as software for the self driving cars.
"Autonomous driving is key. For this you need software to develop and be safe," Volvo Chief Executive Hakan Samuelsson told Reuters.

The deal does not stop either Volvo or Uber from striking alliances with others. Staff too will largely be kept within their own companies rather than shared.

Volvo, bought by Geely from Ford (F.N) in 2010, has long enjoyed a reputation for its solid and reliable designs.
"Volvo is a leader in vehicle development and best-in-class when it comes to safety," Travis Kalanick, Uber's chief executive, said in a statement.
One of Sweden's biggest companies by sales, Volvo is banking on a 75 billion Swedish crowns ($9 billion) investment plan in new models and plants to secure a foothold in a premium market where it had struggled to make inroads under Ford's tutelage.
Volvo aims to launch an experiment involving self-driving cars in China, Britain and Sweden.

The self-driving cars that Volvo is envisioning will be like normal cars that alert the driver when autopilot mode can be activated, on freeways or in specific zones such as gated neighbourhoods or industrial parks, giving the driver the option to maintain or relinquish control.

Sasa Imetosha Kuwa na dada na kaka poa Kinondoni




Licha ya Serikali kuanzisha vita dhidi ya biashara haramu ya uuzaji mwili, Wilaya ya Kinondoni inakabiliwa na ongezeko la biashara haramu ya ngono kwa muda mrefu ambapo eneo la Tandale linatajwa kukithiri vibanda vingi vya dada na kaka poa.
Wakuu wa wilaya wengi wamepita katika wilaya ya Kinondoni pasipo kutokomeza changamoto hiyo. Lakini Mkuu wa sasa wa Wilaya hiyo Mh. Ally Hapi amejidhatiti kuuvunja mwiko huo. Hivi karibuni Hapi alitaja mikakati ya kutokomeza mtandao wa biashara hiyo.
Alisema atahakikisha anavunja vibanda vyote vinavyotumiwa na dada pamoja na Kala poa , vilevile watakaokamatwa watachukuliwa hatua kali za kisheria.
Hapi alisema amepokea idadi ya vibanda vinavyotumiwa na dada poa na kwamba mpango wake ni kuvifunga kisha kutafuta wawekezaji ili Wamiliki wa vibanda hivyo walipwe fidia na kupisha ujenzi wa vitega uchumi.
“Niliwaagiza watendaji wa kata kuniletea idadi ya madanguro, nimeshajua mahali yalipo madanguro hayo, na kwamba nitakwenda kuchukua hatua ya kufunga madanguro pamoja na kuwapeleka dada poa mahakamani,” alisema. Alisema hatawachukulia hatua za kisheria dada/kaka poa pekee, bali hata wamiliki wa baa zitakazowahifadhi watu hao watachukuliwa hatua.
“Hatutashughulika na dada poa pekee bali hata Wamiliki wa nyumba na au baa watachukukiwa hatua. Hilo likitekelezwa
Kila mtu atatimiza wajibu wake, nimegundua wamiliki wengi wa madanguro hawapo hapa na idadi ya madanguro katika eneo la Tandale pekee kuna vibanda 58.” alisema.

Alisema utekelezaji wa ubomoaji nyumba umeshaanza kujadiliwa na kwamba wanasubiriwa wawekezaji ili wapewe fursa za kujenga maduka na vitega uchumi.
“Tunataka wenye fedha zao waje wawekeze ili tuwalipe fidia wenye nyumba, zibomolewe,” alisema na kuongeza.
“Huu mfupa uliwashinda watangulizi wangu lakini mimi nitautafuna.”
Kuhusu baa zinazokiuka sheria, alisema atawaondoa watendaji wa kata waliokaa muda mrefu kwa sababu wengi wao ndiyo chanzo cha ukiukwaji wa sheria.

“Watendaji waliokaa muda mrefu waondolewe sababu tumegundua hushirikiana na wenye baa kupiga kelele, wanachukua fedha zao na kuwaacha kupiga kelele usiku wa manane kinyume cha tarabibu,”

Mkuu wa Wilaya Kinondoni awapiga ‘STOP’ mgambo kuwafanyia fujo wafanyabiashara wadogo




Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Ally Hapi amewapiga marufuku mgambo wa wilaya hiyo kuwafanyia fujo wafanyabiashara wadogo wanaofanya shughuli zao katika maeneo rasmi.
Hapi aliyasema hayo jana katika kipindi cha Mada Moto kinachorushwa moja kwa moja na kituo cha Channel Ten.
Alisema kumekuwepo na tabia ya baadhi ya watu kuwatoza ushuru kinyume cha sheria wafanyabiashara hao wanaofahamika kwa jina la wamachinga jambo linalosababisha halmashauri ya manispaa ya kinondoni kupoteza mapato.
“Kuna mtu mmoja alikuwa anatoza wamachinga ela, zaidi ya sh 8,000 kwa siku na walikuwa wanalipa, kama serikali ikiweka mfumo mzuri inaweza kupata mapato ya uhakika kutoka kwa wamachinga,” alisema.
Alisema atahakikisha anapata idadi ya wamachinga wote katika wilaya hiyo ili kuwawezesha kiuchumi ikiwemo kuwapa mikopo na kutenga siku ya gulio ili wapate fursa ya kufanya biashara.
“Machinga wote tuwatambue tuwaunganishe na bima ya afya, wapewe mikopo hakika watainuka sababu hakuna mtu aliyezaliwa kuwa machinga muda wote, tunataka Kuwainua ili waje kuwa wafanyabiashara baadae,” alisema.
“Ni marufuku kupiga na kuwasumbua wamachinga, kuwaibia bidhaa zao ni marufuku,” alisema.
“Sisi viongozi kazi yetu ni kuwaongoza na kuwaonyesha Mahala panapostahili wao kufanyakazi, na wilaya yangu ya kinondoni ina mkakati wa kuandaa magulio ili wafanyabiashara ndogondogo wauze bidhaa zao, ” alisema.
Aliongeza kuwa “Nyuma kulikuwa na mianya ya upotevu wa mapato, tumefanya kazi kubwa Na kamati ya usalama na sasa watu wanafurika kulipa kodi. “

“Tunawaomba watanzania watuombee kwa kuwa tunaopambana nao siyo wote wanafurahi. Wananchi washiriki katika kutoa taarifa za wakwepa kodi na kadhalika,” alisema.

kijana wa miaka 16 anayetumia akili ya ziada kutengeneza pesa nyingi




Mwanafunzi wa Chuo Robert Mfune mwenye umri wa miaka 19, ameweza kutengeneza zaidi ya maelfu ya Paundi za Uingereza akiwa anafanyakazi katika muda wa ziada kwenye mgahawa ya McDonald’s kama mhudumu.
Robert ambae alipokua na umri wa miaka 16 tu, alianza kufanya kazi kama mhudumu katika kampuni ya McDonalds nyumbani kwao Southampton, ambako alipata kujifunza mambo mengi kuhusu biashara, na baadae kuanza kufanya biashara zake mwenyewe na kuweza kutengeneza pesa za kutosha kununua gari ya kifahari aina ya Bentley na kumnunulia nyumba ya kuishi mama yake mzazi.
Alisema ilikua ngumu sana kwake kufanya kazi katika mgahawa ya McDonald’s, kufanya biashara zake na kusoma kwa wakati mmoja.
“Nikama kwenda chuo na hela ya mkopo, kama utazingatia masomo na kuweka malengo ya kufanya vizuri basi utafanikiwa”. alisema mfanyabiashara Mfune. 
Mafanikio yake yalianza baada ya kumaliza masomo yake ya chuo, na kufanya kazi kama mhasibu katika idara ya fedha. Hivyo kumpelekea kupata ujuzi zaidi katika mambo ya biashara, na kuanza kufanya biashara zake akitumia akaunti zenye jina la mama yake na kuweza kupata mafanikio hayo.
“Nilipokua mhudumu nilijitahidi kujifunza mambo kazaa hivyo nikienda nyumbani nafanya utafiti mwenye na kufanya cha kwangu”. alisema Mfune.
Mfune kwa sasa anafanya biashara zake kwa kutumia akaunti yake mwenyewe, huku pia akiwa ameweza kuwekeza katika Migahawa ya chai mbalimbali mjini Uingereza.

Pia anamiliki magari yenye thamani ya zaidi ya Pauni 250,000£ ikiwemo Range Rover, Bentley continental GT ya rangi ya dhahabu lakini amedai kwamba yeye sio mtu wa kuthamini mali na magari bali utu wa watu na kujali marafiki zake.


Lindi set to be Tanzania Economic Hub Thanks to Gas Plant, Minister Indicates



The Lindi region is set to be Tanzania’s economic hub thanks to the planned construction of a liquefied natural gas (LNG) plant. This was recently announced by Prof. Sospeter Muhongo, Tanzania’s Minister of Energy and Minerals. He further explained that the Government of Tanzania will invest USD30b in the construction of the plant, which will take up to 40 months. The plant will be located in the southern town of Lindi close to the deep-sea offshore blocks where most of Tanzania’s gas discoveries have been made. For this, the Government will have to build gas pipes from the sea to the plant with length of 100–200km, Muhongo said. 

The plant will be constructed by international oil and gas companies Statoil, BG Group, ExxonMobil and Ophir Energy in partnership with the Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC). In the beginning of 2016, the Government of Tanzania acquired approximately 2,070 hectares land at the cost of USD6m in Lindi town for the construction of the LNG plant. In addition, an area of 17,000 hectares next to the terminal destined area has been secured for the development of an industrial park. The LNG terminal is expected to start production in 2021 or 2022. According to the Bank of Tanzania (BoT), the project will add 2% to the country’s GDP thanks to the large investments that it will attract.
 Tanzania has the second largest natural gas reserves in East Africa with more than 55 trillion cubic feet (tcf) so far discovered and behind Mozambique with 100 tcf according to the Energy Information Administration (EIA).


TAZARA to Transport Fuel to DRC




The Tanzania Zambia Railway Authority (TAZARA) will transport 18m liters (18,000t) of petroleum products to the Democratic Republic of Congo (DRC) in the next one year. 

This is the result from a recently signed Agreement between TAZARA and African Fossils Limited of Tanzania, according to TAZARA’s press release from July 17th 2016. The first consignment of about 1m liters (1,000t) has already departed the port of Dar es Salaam. TAZARA expects the initial 2m liters (2,000t) to be successfully delivered to the DRC within the next one month. “This import order is particularly key because it fulfills our desire to balance the flow of traffic in both directions of our line as most of the traffic we are currently moving comprises exports from Zambia and DRC”, the press release indicates. 
The fuel order is the second import consignment to be secured within a month, following the transportation order for 48m liters (48,000t) of petroleum for Malawi, secured in the end of June 2016. TAZARA Performance In 2015–2016, TAZARA transported 130,000t of cargo, compared to 87,680t in 2014–2015, representing an increase of 48%. TAZARA plans to improve its cargo traffic by 200% in 2016–2017, reaching 381,000t. This will account for 8% of TAZARA’s designed capacity of 5m t.


CAHF Release Tanzania 2015 Housing Price Data



The Center for Affordable Housing Finance (CAHF) in Africa recently presented new data about housing and construction in Tanzania and the rest of Africa. CAHF has been collecting data on house prices, construction costs, and income across Africa for the past 6 years. 

The data is being explored as it relates to affordability and access to housing in Africa. Tanzania House Prices and Sizes In 2011, the cheapest house built by a private developer in Tanzania was 65 square meters (m2) at the cost of USD16,130, or USD250 per m2. In 2015, the same house would cost USD20,992, or USD323 per m2, representing an increase of 30%. For comparison, in Tanzania’s neighboring country Rwanda, the cheapest house built by a private developer was 125m2 at the cost of USD34,247, or USD274 per m2. Tanzania Housing Rental Costs The average housing rental price in Tanzania is USD616, compared to USD797 in Rwanda.

 The rental price of a low-income single-room housing in the urban areas of Tanzania is USD26, USD188 for middle-income 2–3 bedrooms housing and USD2,250 for high-income 3–4 bedrooms housing. Tanzania Housing Purchase Costs The average housing purchase price in Tanzania is USD422,500. For a middle-income 2–3 bedroom house, Tanzanians would pay USD90,000. A high-income 3–4 bedroom house in the urban areas of Tanzania would cost USD1.6m. Tanzania Cost of Cement In 2011, the cost of a 50kg bag of cement in Tanzania was USD9. In 2015, the price fell to USD7. Accordingly, it would cost 12.4% of the average urban annual income in Tanzania to afford the cement needed to build a 40 square meter house. In Rwanda, the price of a 50kg bag of cement was USD15 in 2011 and fell to USD13 in 2015. Accordingly, it would cost 21.9% of the average urban annual income in Rwanda to afford the cement needed to build a 40 square meter house.

Tuesday, August 16, 2016

MASHABIKI KUZOMEA BAADA YA FILIMBI YA MWISHO




Thierry Henry amewatetea washabiki wa Arsenal ambao walizomea timu yao baada ya mchezo dhidi ya Liverpool kumalizika.
Arsenal wamepoteza kwa mabao 4-3 dhidi ya Liverpool baada ya kuruhusu mabao manne ya haraka chini ya dakika 20.
Na mwamauzi wa mchezo huo Michael Oliver alilpopuliza filimbi ya mwisho tu, washabiki wote waligeuka na kuanza kuzomea timu yao.
Arsenal wameshinda mara moja tu michezo ya ufunguzi wa ligi ya England tangu kuingia kwa muongo mpya, na sasa washabiki wa klabu hiyo wanazidi kukatishwa tamaa.
“Washabiki hawakuwazomea wakati wako nyuma kwa 4-1, waliisapoti timu,” alisema Henry kwenye runinga ya Sky Sports. “Lakini baada ya mchezo walikereka na ndiyo maana walizomea.

“Kuna vitu vingi sana vya kuangalia, lakini kikubwa zaidi ni kupoteza nyumbani kwa mara nyingine tena.”

Jamie Redknapp aliongeza: “Sina huruma na Wenger hata kidogo, nadhani vijana wamefanya vyema lakini hawakupaswa kuchezeshwa kwenye mchezo kama ule.
“Unaweza kumpa Giroud dakika 10, Koscielny pia…naamini Payet atacheza kwa upande wa West Ham kesho (leo) .”

Friday, August 12, 2016

Single Passport -Turning Point for a More Prosperous Africa





To all those who are convinced that regional integration requires strong political will and committed leadership, African Heads of State showed just that when they were presented with a single African passport at the 27th African Union Summit in Kigali, Rwanda. The proposal to implement a single passport for Africa and ensure free movement of people is part of the African Union's 2063 Agenda.

While skeptics may continue to doubt, the African Development Bank shall remain focused on delivering on our plan to transform Africa and work towards building a continent with seamless borders. We have reasons to be optimistic with the strong signal sent by Heads of State in Kigali.
Indeed, we are optimistic because, even if we are still at the very early stages of a complex process, holding a single African passport will mean that our leaders' aspirations to see their citizens travel throughout the continent without being confronted by the usual administrative constraints are attainable.
Meeting these aspirations is critical if we want to achieve our vision for an integrated economic space where opportunities are shared among the people of Africa. Labour mobility is highly beneficial, and can help fill Africa's labour needs in the education, health and industrial sectors. Rwanda has seen a 22% increase in African tourism and business travellers since 2013 when it allowed Africans to obtain visas on arrival. The East African region has made great progress in overcoming the challenges associated with free movement of labour by encouraging mutual recognition of professional and academic qualifications, starting with engineers, architects, and accountants.

The African Development Bank's Human Capital Strategy indicates that Africa needs about four million more teachers and one to two million more health workers. These shortages can partly be addressed by improving workers' mobility and opening borders to allow health personnel, including nurses, midwives and biomedical engineers to practice elsewhere on the continent.

The education sector can also profit from a borderless continent. In July 2013, the AfDB announced the creation of a US $154.2-million Pan African University of science, innovation and technology within the next five years. This initiative, coupled with a number of inter-university associations such as the francophone Conseil Africain et Malgache pour l'Enseignement Superieur (CAMES); Inter-University Council of East Africa (IUCEA); Southern African Regional Universities Association (SARUA); and inter-university cooperation under the Arab Maghreb Union (AMU), should be strengthened and encouraged to facilitate cross-border inter-university mobility for students and lecturers. Ultimately, this should also address the technical skills deficit that is prevalent on the continent.
Just recently, on July 14, 2016, the Bank's Board approved an Industrialisation Strategy, whose key objective is to encourage development of regional value chains and high value-added activities and products for Africa's commodities and exports. The diamond industry is an example, as the Southern African Development Region (SADC) produces an estimated 60% of the world's rough gem diamond. But to date, of the estimated 800,000 jobs in the cutting and polishing industry worldwide, only 8,000 are in the SADC region, representing less than 1% of the global workforce. This indeed is a lost opportunity for the 200 million youths in Africa, comprising over 20 percent of the continent's population, and who make up about 60 percent of total unemployment in Africa. The question we should ask ourselves is what skills, labour policies and training facilities are needed at regional level to enable SADC to bring the estimated 800,000 diamond cutters jobs back to the region?

The efforts that the AfDB has made on the infrastructure front are commendable, with US $3.4 billion having been approved for Multinational Operations in 2015 alone. While we all agree and understand that regional economic integration goes beyond building "hard" infrastructure, it is also fundamental that we work on the "software" which includes easing the movement of skills to make our continent a destination of choice for investors.
The Bank is supporting a number of key initiatives that seek to harmonise regulations and policies with a view to facilitating labour mobility, an important enabler for regional integration and economic development on the continent. One such initiative is the drafting of a new migration policy for the Economic Community of West African States (ECOWAS), which is expected to enhance talent mobility in the region.

In view of all of these, I am hopeful that together, united in our diversity, we Africans can paint a picture of what we desire for ourselves and for future generations. The single African passport is yet another milestone, and we should not shy away from a little celebration. As Nelson Mandela once said, "Remember to celebrate milestones as you prepare for the road ahead."

Furthering the Sustainable Growth of Aviation in Africa


Air Transport Action Group (ATAG) issued Aviation: Benefits Beyond Borders last month that focuses on the myriad of benefits that aviation brings to the world today and well into the future. GE Aviation spoke with Michael Gill, ATAG Executive Director about the report's findings and how aviation can continue its sustainable growth.

Why did ATAG release this report?
Michael Gill: Aviation really is a unique industry. We are the only mode of transport that can move people and goods to almost anywhere else in the world within a day. Without air transport, today's global economy would look very different. The purpose of Aviation: Benefits Beyond Borders is to show the impact that global air transport has on the modern world. Air travel has become so widespread that people can sometimes take for granted just how important it is. As well as being a major employer and driver of economic growth, aviation also generates significant social benefits, which are explored in the report.

However, air transport also comes with an environmental cost. What we argue in this report is the need for balance. We need to address the issue of aircraft CO2 emissions, while retaining the undoubted and numerous benefits of air travel. And this is exactly what the whole industry is striving to achieve.

The report details very interesting facts about aviation's impact on global economic growth and forecasts aviation-supported jobs worldwide will increase to more than 99 million and Gross Domestic Product (GDP) to $5.9 million in the next 20 years. But it states that to achieve these benefits will require appropriate support from governments. What type of support is needed?
Michael Gill: ATAG's members, which represent all sectors of the aviation industry (airlines, airports, manufacturers and air traffic management), all agree that support from governments and intergovernmental institutions is vital if the industry is to grow, particularly in a sustainable manner. In 2015, all sectors of the industry joined together to deliver an open letter to representatives of all the world's governments. The letter focused on five main requests:
  • Investment in and reform of the air traffic management systems;
  • Continued support for research into new technology, operational measures and sustainable alternative fuels;
  • Improvements in intermodal transport planning;
  • Institution of the right policy framework to help accelerate the availability of sustainable alternative fuels; and
  • Agreement on a global market-based measure for aviation emissions at the 2016 ICAO Assembly.
These requests all have an environmental focus and would allow the sector to continue to grow in a sustainable manner, but there are other measures governments can take to maximize the economic contribution of the air transport sector. Easing or removing restrictive tax regimes and signing international open skies agreements are steps that governments could easily take to support the industry and reap its many benefits.
How is the report being used by governments?
Michael Gill: The previous reports have been sent to governments and other regional institutions such as the African Union, and we are always happy to see facts and figures included in speeches and reports. But more importantly, when the full range of benefits are gathered together and put on paper, we hope that governments will take stock and consider just how important the aviation industry is and appreciate the need to support its role in the modern world.
Sustainable development is also a key theme in the report. What does this mean for the aviation industry, and how is the industry supporting this set of 17 goals, which were announced by the United Nations as part of the 2030 Agenda for Sustainable Development?

Michael Gill: When we sat down to plan this report and decided on using the Sustainable Development Goals as a theme, we were struck by how aviation plays at least some part in supporting 14 of the 17 goals. Goals such as 'decent work and economic growth' and 'industry, innovation and infrastructure' are clearly supported by aviation, but other less obvious goals such as 'good health and well-being' or 'quality education' can also be aided by aviation. We want to take this quick analysis for the Aviation: Benefits Beyond Borders report even further and are exploring ways that we can have a more comprehensive look at the way air transport can support the goals.

What are the key challenges for the aviation industry now and in the future?
Michael Gill: The main challenge for aviation now and in the coming decades is without a doubt sustainable development, but it is a challenge that the whole industry is committed to meeting. We are keenly awaiting the outcome of this year's ICAO Assembly, where we hope an agreement on a global offsetting scheme for aviation emissions will be made, allowing us to meet our goal of carbon-neutral growth from 2020. However, this is only meant to be a temporary measure.

We, as an industry, have the long-term ambition to halve aviation's net CO2 emissions by 2050, based on 2005 levels. With billions of dollars being put into technological research and the commercialization of sustainable alternative fuels, we are confident this goal can be achieved. As ever, the support of governments is needed to help us in this endeavor.


Aviation is a unique industry where partnership across all parts of the sector play such an important role day-to-day. We have already seen how powerful that collaboration can be when deployed on long-term issues such as climate change. Now we should look at how the industry can join together on other sustainable development topics (not limited to environment, either. See the full list of UN SDGs). So I'd put the call out to all our industry colleagues: what challenges do YOU think we need to focus on next as a sector? What else can we do to help ensure sustainable aviation into the future? Let us know!

Bermuda Triangle: Ship Reappears 90 Years After Going Missing




The Cuban Coast Guard announced this morning, that they had intercepted an unmanned ship heading for the island, which is presumed to be the SS Cotopaxi, a tramp steamer which vanished in December 1925 and has since been connected to the legend of the Bermuda Triangle.
The Cuban authorities spotted the ship for the first time on May 16, near a restricted military zone, west of Havana. They made many unsuccessful attempts to communicate with the crew, and finally mobilized three patrol boats to intercept it.
When they reached it, they were surprised to find that the ship was actually a nearly 100-year old steamer identified as the Cotopaxi, a name famously associated with the legend of the Bermuda Triangle. There was no one on board and the ship seemed to have been abandoned for decades, suggesting that this could actually be the tramp freighter that disappeared in 1925.

An exhaustive search of the ship led to the discovery of the captain’s logbook. It was, indeed, associated with the Clinchfield Navigation Company, the owners of the SS Cotopaxi, but hasn’t brought any clue concerning what happened to the ship over the last 90 years.

Cuban expert, Rodolfo Salvador Cruz, believes that the captain’s logbook is authentic. This document is full of precious information concerning the life of the crew before the ship’s disappearance, but the entries stop suddenly on December 1, 1925.
On 29 November 1925, the SS Cotopaxi departed Charleston, South Carolina, and headed towards Havana, Cuba. The ship had a crew of 32 men, under the command of Captain W. J. Meyer, and was carrying a cargo of 2340 tons of coal. It was reported missing two days later, and was unheard of for almost 90 years.

The Vice President of Council of Ministers, General Abelardo Colomé, announced that the Cuban authorities were going to conduct a thorough investigation to elucidate the mystery of the ship’s disappearance and reappearance.
“It is very important for us to understand what happened”  says General Colomé. “Such incidents could be really bad for our economy, so  want to make sure that this kind of disappearance doesn’t happen again. The time has come to solve the mystery of the Bermuda Triangle, once and for all.”
The Cuban authorities spotted the ship for the first time on May 16, near a restricted military zone, west of Havana. They made many unsuccessful attempts to communicate with the crew, and finally mobilized three patrol boats to intercept it.
When they reached it, they were surprised to find that the ship was actually a nearly 100-year old steamer identified as the Cotopaxi, a name famously associated with the legend of the Bermuda Triangle. There was no one on board and the ship seemed to have been abandoned for decades, suggesting that this could actually be the tramp freighter that disappeared in 1925.
An exhaustive search of the ship led to the discovery of the captain’s logbook. It was, indeed, associated with the Clinchfield Navigation Company, the owners of the SS Cotopaxi, but hasn’t brought any clue concerning what happened to the ship over the last 90 years.

Gazeti la Mseto nje kwa miaka 3




Serikali nchini Tanzania imelifungia gazeti la kila wiki la Mseto kuchapishwa katika njia zote ikiwa ni pamoja na mitandao. Hili ni gazeti la pili kufungiwa ndani ya mwaka mmoja.
Serikali inasema Mseto limekuwa likiandika taarifa za uongo na kugushi kwa kutumia nyaraka mbalimbali za serikali huku taarifa hizo zikiwa na nia ya uchochezi na kumchafua Rais John Magufuli na viongozi wengine wa serikali yake.
Akitangaza kufungiwa kwa gazeti hili mapema leo hii, Waziri mwenye dhamana ya habari Nape Nnauye amewaambia waandishi wa habari kuwa amelifungia gazeti hilo kwa mujibu wa Sheria ya Magazeti ya mwaka 1976
Hakuna taarifa rasmi yoyote ya mwitikio wa kufungiwa huko kutoka kwa wachapishaji na wamiliki wa gazeti hilo
Hili ni gazeti la pili kufungiwa ndani ya mwaka mmoja. Mwezi Januari mwaka huu, serikali ililifungia pia gazeti la Mawio muda wote.
Wasiwasi miongoni mwa wadau wa habari umeendelea kuongezeka kwa kile kinachoonekana kuwa utawala huu mpya unaviminya vyombo vya habari na kukandamiza uhuru wa kutoa na kupokea habari pia hapa nchini Tanzania.
Tayari watu wawili wameshtakiwa baada ya kuandika jumbe katika mitandao ya kijamii zilizoonekana kumtusi Rais Magufuli
Inawezekana kufungwa huku kwa gazeti la Mseto kutaibua ukosoaji hasa kutoka kwa wanaharakati wa haki za binadamu ambao wamekuwa wakiikosoa Sheria ya Magazeti ya mwaka 1976 ambayo wanasema inatoa mamlaka makubwa sana kwa serikali kuminya uhuru wa habari nchini 

Mwanamuziki Bow Wow kustaafu akiwa na miaka 29





Mwanamuziki maarufu wa nyimbo za 'hip hop' Bow Wow, ambaye jina lake halisi ni Shad Moss, ametangaza kuwa atastaafu kutoka kwenye fani ya muziki, akiwa na umri wa miaka 29, mwaka huu 2016.
Ametoa tangazo hilo kwenye mtandao wa Twitter.
Bow Wow alitoa albamu yake ya kwanza akiwa na umri wa miaka 13, mwaka 2000.
Baadhi ya nyimbo zake maarufu ni "Like You" akimshirikisha Ciara na "Let me hold you" akimshirikisha Omarion.

Olimpiki Rio: Kocha wa Kenya arejeshwa nyumbani kwa udanganyifu



Kocha wa timu ya riadha ya Kenya inayoshiriki michuano ya Olimpiki mjini Rio de Janeiro amerudishwa nyumbani kwa kosa la udanganyifu.
Mkuu wa Timu ya Olimpiki ya kenya, Kip Keino amesema John Anzrah aliigiza kama miongoni wa wakimbiaji wa mita 800, na kutoa sampuli ya mkojo kwa niaba ya mkimbiaji Ferguson Rotich.
Udanganyifu uligundulika na wakaguzi wa dawa za kusisimua misuli baada ya kuangalia picha za kitambulisho alichokuwa amevaa, ndipo walipogundua kuwa sura ya Bw Anzrah haeindani na mchezaji aliyefanya uchunguzi.
Mkuu wa Timu ya Olimpiki ya Kenya, Kipchoge Keino amesema uongozi wa timu yake hautavumilia tabia hiyo ingawa mpaka sasa hakuna hatua yoyote iliyotolewa dhidi ya Rotich.
Anzrah ni afisa wa pili kutoka kenya kurejeshwa nyumbani, wa kwanza akirudishwa kwa kosa la kuomba rushwa ili kuweza kukwepa upimaji wa matumizi ya dawa za kusisimua misuli.
Kumekuwa na idadi kadhaa ya wanariadha wa Kenya ambao walishindwa kufuzu vipimo vya matumizi ya dawa za kuongeza nguvu huku ni wiki iliyopita tu shirika la kupambana na matumizi ya dawa hizo WADA likiiondoa Kenya kwenye nchi zilizoshindwa kutimiza masharti.  

Wafahamu vijana 10 wa chini ya miaka 30 walio matajiri zaidi duniani




Tajiri mmiliki wa ardhi ambaye pia amekuwa akisaidia wasiojiweza katika jamii, Mtawala wa Westminister Gerald Cavendish Grosvenor amefariki na kumwachia mwanawe Hugh Grosvenor urithi wa £9bn.
Alikuwa na binti watatu, na mwana mmoja pekee wa kiume, Hugh, mwenye umri wa miaka 25.
Hugh amerithi "nusu ya London" kwani ardhi nyingi maeneo mengi ya Belgravia na Mayfair, London ilimilikiwa na babake.
Yeye hufanya kazi katika kampuni ya Bio-bean, kampuni inayoangazia teknolojia isiyoongeza gesi zinazochangia ongezeko la joto duniani.
Kwa mujibu wa orodha ya jarida la Forbes ya mwaka 2016, kuna vijana wengine tisa wa chini ya umri wa miaka 30 ambao utajiri wao ni zaidi ya dola bilioni moja za Marekani.
Vijana wengine matajiri ni:
2 & 3: Alexandra, 20, na Katharina Andresen, 21
Ndio wachanga zaidi na wanamiliki kampuni ya Ferd.
Binti hawa walirithi utajiri hu kutoka kwa baba yao Johan, raia wa Norway mwaka 2007.
4: Gustav Magnar Witzoe, 23
Anatoka Norway pia na huonesha maisha yake ya kifahari kwenye Instagram.
Amerithi sehemu ya biashara ya babake ya kufuga samaki na sasa utajiri wake ni $1.1bn (£846m).
Gustav Witzoe, babake ambaye wana jina sawa, alimpa hisa kwenye kampuni hiyo kama zawadi. Lakini hana udhibiti au usemi wowote.
5&6: Ludwig Theodor Braun na dadake
Haonekani sana mtandaoni. Hayupo kwenye Twitter au Instagram lakini anatambuliwa kwa utajiri.
Familia yake ilianzisha kampuni ya dawa ya B. Braun Melsungen, Ujerumani 1839.
Kampuni hiyo ni maarufu sana kwa dawa na vifaa vya matibabu.
Ludwig humiliki 10% ya kampuni hiyo ambayo ni sawa na $1.8bn (£1.4bn).
Dadake Eva Maria Braun-Luedicke yuko nyuma yake kidogo lakini utajiri wake ni $1.4bn (£1bn).

7&8: Waanzilishi wa Snapchat


Image copyright Getty Images
Image caption Waanzilishi wa Snapchat Evan Spiegel na Bobby Murphy
Evan Spiegel ni mmoja wa walioanzisha mtandao wa Snapchat ambao hutumiwa na mamilioni ya vijana duniani.
Majuzi, aliingia uchumba na mwanamitindo mashuhuri duniani Miranda Kerr.

Image copyright Getty Images
Ana umri wa miaka 26 na utajiri wake ni $2.1bn (£1.6bn), Evan ndiye mchanga zaidi miongoni mwa waanzilishi wa Snapchat na ndiye tajiri zaidi miongoni mwao.
Mwenzake ni Bobby Murphy, 28, ambaye anamkaribia sana kwa utajiri.
Utajiri wa Murphy ni $1.8bn (£1.3bn).
9: Lukas Walton
Kwa mujibu wa Forbes, Lukas Walton, 29, ndiye anayemkaribia sana Hugh Grosvenor.
Utajiri wake ni $10.4bn, ambazo ni karibu £7.2bn kwa viwango vya sasa vya ubadilishanaji wa fedha vya sasa.
Anatoka katika familia tajiri inayomiliki Walmart (miongoni mwa kampuni nyingine), ambayo pia humiliki Asda nchini Uingereza.
10: Wang Han
Wang Han, raia wa China, anakamilisha orodha hii.
Chanzo cha utajiri wake ni urithi wa hisa za kampuni ya ndege ya Juneyao Air kutoka kwa babake Wang Junyao, aliyefariki 2004.
Junyao alikuwa mwanzilishi wa kampuni ya Juneyao Group. Wang Han humiliki 27% ya hisa za shirika hilo la ndege na 14% ya hisa za maduka ya jumla ya Wuxi Commercial Mansion Grand Orient.
Utajiri wake unakadiriwa na Forbes kuwa $1.34bn.

TIMU YA AGLE NOIR KUFANYA ZIARA KANDA YA ZIWA





Timu ya Agle Noir (Black Eagles) ya Burundi leo Agosti 10, 2016 itaanza ziara ya kujiandaa na Ligi Kuu ya Burundi kwa kuweka kambi jijini Mwanza.
Timu hii maarufu kama Tai Weusi msimu uliopita katika Ligi Kuu ya Burundi ilimaliza ikiwa ya nne kwenye msimu wa ligi nyuma ya Vital‘O na Inter Club.


Ikiwa nchini timu hii itacheza na timu iliyopinda daraja ya Mbao FC ambayo inanolewa na Kocha Mrundi Bwana, Etienne Ndairagije na pia watacheza na Toto African na timu ya kukuza vipaji ya Alliance ya Mwanza.


Baadaye watatembelea Shinyanga ambapo watapimana ubavu na kikosi cha Mwadui FC inayonolewa na Jamhuri Kihwelo ‘Julio’.

MABADILIKO KIDOGO LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA




Kutokana na sababu mbalimbali, Bodi ya Ligi (TPLB) ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imelazimika kubadili Ratiba ya Ligi Kuu kwa michezo kadhaa ya mwanzo kama ifuatavyo.
1. Mchezo Na. 2 - Kagera Sugar vs Mbeya City (20.08.2016)

Mchezo huo sasa utachezwa tarehe 21.08.2016 katika Uwanja wa CCM Kambarage Shinyanga. Sababu ni kuwa uwanja wa Kaitaba bado utakuwa kwenye matengenezo.
 2. Mchezo Na.4 - Toto African vs Mwadui FC (20.08.2016)

Mchezo huo sasa utachezwa tarehe 24.08.2016 katika Uwanja wa CCM Kirumba. Sababu za mabadiliko ni kuwa uwanja huo tarehe 20.08.2016 utakuwa na matumizi mengine ya kijamii.
3. Mchezo Na.13 - Kagera Sugar vs Stand United (27.08.2016)

Mchezo huo sasa utachezwa katika Uwanja wa CCM Kambarage. Awali timu mwenyeji wa mchezo huo ilikuwa ni Kagera Sugar, lakini kwa sasa timu mwenyeji atakuwa ni Stand United.
4. Mchezo Na.55 - Toto vs Ndanda (02.10.2016)

Mchezo huo sasa utachezwa tarehe 03.10.2016 badala ya tarehe 02.10.2016
5. Mchezo Na.80 - Mbao FC vs Ndanda fc (16.10.2016)

Mchezo huo umerudishwa nyuma kutoka tarehe 16.10.2016 hadi tarehe 28.09.2016. Sababu ni kuiwezesha timu ya Ndanda kucheza michezo miwili kwa kanda ya ziwa kwa lengo la kupunguza gharama.
6. Mchezo Na.96 - Tanzania Prisons vs Mbao FC (22.10.2016)



Mchezo huo sasa utachezwa tarehe 23.10.2016 badala ya 22.10.2016 ili kuipa nafasi timu ya Mbao kupumzika na kusafiri. Tayari timu za Ligi Kuu ya Vodacom zimearifiwa na kuagizwa kuzingatia mabadiliko hayo.

MO BAJAIA WATUA, WAETHIOPIA KUAMUA, VIINGILIO VYATAJWA




Jumla ya kikosi cha watu 35 ambao ni wachezaji na viongozi wa MO Bajaia kutoka Algeria, wametua Dar es Salaam, usiku wa kuamkia jana Agosti 9, 2016 na imefikia Hoteli ya Ledger Plaza, iliyoko Kunduchi Beach nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.
Timu hiyo imekuja kucheza na Young Africans ya Dar es Salaam, katika mchezo wa nne wa hatua ya Nane Bora kuwania Kombe la Shirikisho Barani Afrika utakaofanyika Jumamosi Agosti 13, 2016 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.


Licha ya kwamba Young Africans kuwa na pointi moja, bado ina nafasi ya kushika nafasi za juu katika kundi la A ambalo msimamo wake unaongozwa na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), huku Mo Bajaia ya Algeria na Medeama ya Ghana, zina pointi tano kila moja. Wakati Young Africans wanacheza na Mo Bajaia iliyoshinda mchezo wa kwanza huko Algeria, Medeama itakipiga na TP Mazembe.

Mchezo wa Young Africans dhidi ya Mo Bajaia utachezeshwa na waamuzi kutoka Ethiopia ambako katikati atakuwa Bamlak Tessema Weyesa akisaidiwa na Kindie Mussie mstari upande wa kusini na Temesgin Samuel Atango katika mstari wa Kaskazini upande wa wakati Mwamuzi wa Akiba atakuwa Haileyesus Bezezew Belete.

Kamishna wa mchezo atakuwa Gaspard Kayijuka kutoka Rwanda wakati Desire Gahuka wa Burundi atasimamia ufanisi wa waamuzi wa mchezo na Mratibu Mkuu wa mchezo atakuwa Isam Shaaban kutoka Sudan. Mratibu huyo anatarajiwa kuwasili leo Agosti 10, 2016 wakati waamuzi watatua kesho Agosti 11, 2016 na msimamizi wa waamuzi atatua Ijumaa Agosti 12, 2016.


Kiingilio katika mchezo huo kitakuwa ni Sh 3,000 kwa mzungunguko kwa maana ya viti vya kijani, bluu na chungwa wakati Viti Maalumu vyenye hadhi ya daraja B na C kiingilio kitakuwa Sh 10,000 wakati A kiingilio kitakuwa ni Sh 15,000 kwa mujibu wa Waratibu wa Young Africans.
Copyright © 2015 Dar One
| Distributed By Hotrootnews.blogspot.com