Monday, August 22, 2016

WEMA ATOA MACHOZI NA KUMUOMBA IDRIS ARUDI




Siku chache baada ya Wema Sepetu na Idriss kutofautiana na Idris kumuondokea Wema,Mwanadada huyo ameonekana kupata tabu sana na maisha bila mpenzi wake.
Hivi kaamua kutumia mtnadao wa kijamii kumuomba msamaha.
Amesema " That moment you realise how much u miss a special someone… Rudi basi… hata kidogo tu

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2015 Dar One
| Distributed By Hotrootnews.blogspot.com