Featured

Sunday, September 4, 2016

Tanzania Pension Fund Loan USD2.1m to Biotech Industrial Project




The National Social Security Fund (NSSF) of Tanzania recently disbursed USD2.1m to the Tanzania Biotech Product Limited in Kibaha for production expansion.

The factory is under the National Development Corporation (NDC) and is designed to manufacture biotech products that kill mosquito larva.

The NSSF decision to invest in such project follows the directives of President Magufuli for pension funds to grant funds to industrial projects.

Godius Kahyarara, Director General at NSSF, said that the Fund is also considering the profitability, necessity and security of the project.

He also explained that NSSF has invested in various projects, which proved to be successful as they created employment opportunities and benefited the Fund’s members.

NSSF is Tanzania’s retirement fund of all employees that are not within any of the government pension schemes.

 NSSF is a compulsory scheme providing a wider range of benefits, financed through contributions at the rate of 20% of employees’ salary.

Consequently, all funds collected are wholly invested for the purpose of financing benefit payments. NSSF Tanzania Projects Some of NSSF’s investment projects include:

The Kigamboni Bridge, which is a Joint Venture project between the Fund (60%) and Government (40%) Real estate projects, including the Dege Eco Village, the Kiluvya Hills and Mtoni Kijichi Kahyarara said that the NSSF has also invested in factories in Mbeya (for cement), Kagera (sugar) and Morogoro (textiles).




International Tanzanite Auction Generate USD3.5m

The First International Tender Auction for rough and cut Tanzanite organized by the Government of Tanzania generated almost USD3.5m. The auction was held in Arusha, northern Tanzania, on August 9th–12th 2016. A total of 330,553.17 grams of rough and 3,274.70 carats of cut Tanzanite was brought for sale by 5 Tanzanite mining companies: Tanzaniteone Mining Company Ltd, Franone Mining and Gems Company, Tanzanite Africa Ltd, Chusa Mining Ltd and Laizer & Partners. 43 companies attended the tender auction, from 8 countries including Tanzania, Kenya, India, China, the US, the UK, Thailand and the UAE. After the tendering process, 96% of all rough Tanzanite and 100% of cut Tanzanite tendered were sold. A total of 318,033.17 grams of rough and 3,274.70 of cut Tanzanite was sold for USD2.9m and USD547,786 respectively, while the Government earned USD173,203 in royalties. The Tanzanian Government has held the auction in an attempt to curb tanzanite smuggling. James Mdoe, Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Energy and Minerals of Tanzania, explained that with local auctions, trafficking tanzanite to neighboring countries would be contained because buyers would have the opportunity to come and purchase them personally. He added that through the auction, revenue would be collected more easily since the auction takes place in one area. Tanzanite Tanzanite is found at only one location in the world, the Mererani Hills of Manyara Region in Northern Tanzania. The production of tanzanite rose by 17% during 2008–2013, from 768t to 900t, while discovered reserves amount to 500m carats. In 2015 tanzanite exports reached USD4.4m and generated USD223,979 in royalties. The Government of Tanzania also intends to set a Tanzanite Export Processing Zone (EPZ) in Mererani Hills, which is expected to further reduce tanzanite smuggling.

Read more at: http://www.tanzaniainvest.com/mining/tanzanite-international-auction-2016 and follow us on www.twitter.com/tanzaniainvest The First International Tender Auction for rough and cut Tanzanite organized by the Government of Tanzania generated almost USD3.5m.


The auction was held in Arusha, northern Tanzania, on August 9th–12th 2016. A total of 330,553.17 grams of rough and 3,274.70 carats of cut Tanzanite was brought for sale by 5 Tanzanite mining companies: Tanzaniteone Mining Company Ltd, Franone Mining and Gems Company, Tanzanite Africa Ltd, Chusa Mining Ltd and Laizer & Partners.

 43 companies attended the tender auction, from 8 countries including Tanzania, Kenya, India, China, the US, the UK, Thailand and the UAE.

After the tendering process, 96% of all rough Tanzanite and 100% of cut Tanzanite tendered were sold.


 A total of 318,033.17 grams of rough and 3,274.70 of cut Tanzanite was sold for USD2.9m and USD547,786 respectively, while the Government earned USD173,203 in royalties.

The Tanzanian Government has held the auction in an attempt to curb tanzanite smuggling.

James Mdoe, Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Energy and Minerals of Tanzania, explained that with local auctions, trafficking tanzanite to neighboring countries would be contained because buyers would have the opportunity to come and purchase them personally.

He added that through the auction, revenue would be collected more easily since the auction takes place in one area.

Tanzanite Tanzanite is found at only one location in the world, the Mererani Hills of Manyara Region in Northern Tanzania. The production of tanzanite rose by 17% during 2008–2013, from 768t to 900t, while discovered reserves amount to 500m carats.

 In 2015 tanzanite exports reached USD4.4m and generated USD223,979 in royalties.

The Government of Tanzania also intends to set a Tanzanite Export Processing Zone (EPZ) in Mererani Hills, which is expected to further reduce tanzanite smuggling.


SAMSUNG YASITISHA UUZAJI WA SIMU YA GALAXY NOTE 7




Kampuni ya utengenezaji wa vifaa vinavyotumia teknolojia ya umeme ya Samsung imetangaza kusitisha uuzaji wa bidhaa yake ya simu ya mkononi ya Galaxy Note 7.

 Kampuni hiyo imepata taarifa kutoka nchi 10 ikiwemo Marekani na Korea Kusini zinazoeleza kuwa zimu hizo zimekuwa zikilipuka wakati wa kuweka chaji kwenye umeme huku tatizo hilo likidaiwa kuwepo kwenye betri za simu hizo.
aarifa hiyo imekuja ikiwa ni wiki moja imesalia kabla ya mshindani wake mkuu katika soko la biashara kampuni ya Apple kuzindua toleo lake jipya la simu zaa aina ya iPhone.
“It is a big amount that is heartbreaking,” amesema rais wa kampuni hiyo Koh Dong-jin.
Jumatano hii kampuni ya Samsung ilisema imesitisha usafirishaji wa simu hizo kwa kampuni tatu kuu zinazosafirisha simu hizo maeneo mbalimbali duniani ili kufanya uchunguzi zaidi.

Monday, August 29, 2016

Asamoah Gyan arudi Uingereza


Nahodha wa kikosi cha soka nchini Ghana Asamoah Gyan anatarajiwa kujiunga na klabu ya Reading kwa mkopo kutoka timu ya China Shanghai SIPG.
Mchezaji huyo wa zamani wa klabu ya Sunderland anafanyiwa ukaguzi wa matibabu na klabu hiyo ya daraja la kwanza.
Gyan aliifungia mabao 30 Sunderland alipoichezea timu hiyo kwa misimu miwili,kutoka mwaka 2010 kabla ya kuelekea Al-Ain ya Umoja wa Milki za kiarabu UAE.
Alijiunga na Shanghai 2015 wakati huo na alikuwa miongoni mwa mchezaji wanaolipwa zaidi duniani. 

Kocha Azam FC aridhishwa na vipaji Temeke, sasa zamu ya U-17 Ilala Jumamosi ijayo


MKUU wa Maendeleo ya Soka la Vijana Azam FC, Tom Legg, ameridhishwa na viwango vya wachezaji vijana chini ya umri wa miaka 17 (U-17) kutoka Wilaya ya Temeke na Kigamboni waliojitokeza kwenye majaribio yaliyofanyika jana Jumapili ndani ya Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Azam FC imeanza mchakato rasmi wa kuunda kizazi kipya cha timu ya vijana chini ya umri wa miaka 17, mpango ambao itazunguka mikoa 13 nchi nzima, ambapo kwa kuanzia tayari imefanikiwa kumaliza majaribio ndani ya eneo la Wilaya ya Temeke na Kigamboni, wakijitokeza vijana 423 na kuchaguliwa watano tu.
Legg ameuambia mtandao wa klabu www.azamfc kuwa mara baada ya zoezi hilo kukamilika kwa mafanikio makubwa kwenye maeneo hayo mawili, hivi sasa amewakaribisha vijana wa umri huo kutoka Wilaya ya Ilala watakaotakiwa kujitokeza kwa wingi ndani ya Uwanja wa Jakaya Kikwete Park (JMK Park) Jumamosi ijayo Septemba 3 mwaka huu.
Vijana hao watatakiwa kufika kwa ajili ya majaribio hayo kuanzia saa 1.00 asubuhi wakiwa na vyeti vyao vya kuzaliwa na wazazi au walezi wao, ambao watawaongoza na kuwashuhudia wanapoonyesha viwango vyao pamoja na kutoa msaada wowote wa kumwelezea kijana wake pale itakapohitajika.
“Kulikuwa na viwango vizuri leo (jana), tulitarajia kupokea vijana zaidi takribani 500 hapa lakini wamejitokeza 423, lakini tunaamini tutapata vijana zaidi kwa majaribio ya pili Wilaya ya Ilala ndani ya JMK Jumamosi ijayo.
“Viwango vilikuwa vizuri, hususani dakika 45 za mwisho kwenye mechi iliyohusisha vijana 23 tuliowachagua hadi mchujo wa mwisho na hatimaye kupata watano wa mwisho, hatukuweza kuchagua wengi zaidi kwa kuwa tunachagua vijana bora zaidi Tanzania nzima, lakini tumeshuhudia viwango vizuri sana,” alisema.

Break news Kikao Cha Ndani Cha Kamati Kuu ya Chadema Chavamiwa na Polisi....



DAR: Kikao cha ndani cha Kamati Kuu ya CHADEMA kilichokuwa kinaendelea katika Hoteli ya Giraffe eneo la Mbezi kimevamiwa na Polisi.
- Sababu za kuvamiwa bado hazijajulikanahttp

MCHEZO WA LIGI KUU YOUNG AFRICANS V JKT RUVU



Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imethibitisha kuwa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Young Africans ya Dar es Salaam na JKT Ruvu ya Pwani, ulipangwa kufanyika Jumatano Agosti 31, 2016 kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam imeahirishwa mpaka itakapopangiwa tarehe nyingine.

Mechi hiyo imeondolewa kutokana na timu ya Young Africans kuwa na wachezaji wengi kwenye kikosi cha timu ya Taifa (Taifa Stars) kinachosafiri Agosti 31, 2016 asubuhi kwenda Lagos, Nigeria kwa ajili ya mechi ya mchujo ya michuano ya Kombe la Afrika (AFCON Qualifiers) itakayochezwa Septemba 3, 2016.
Mabadiliko hayo hayatavuruga ratiba ya mechi zinazofuata za Ligi Kuu ya Vodacom kwa timu husika.

Tayari wahusika wakiwamo Young Africans na JKT Ruvu SC, wamejulishwa.

Sunday, August 28, 2016

Waziri Simbachawene Aagiza Machinga waondolewe Kariakoo....Asema Rais hakumaanisha warudi.Fahamu zaidi hapa.




Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuwaondoa wafanyabiashara wadogo maarufu kama Machinga katika maeneo ya soko la Kariakoo na barabarani, hususan karibu na barabara za mabasi ya mwendo kasi.


Akizungumza jana na Kamati ya Bunge, Waziri huyo wa TAMISEMI alisema kuwa kurejea kwa wafanyabiashara hao katika maeneo hayo kumeleta usumbufu mkubwa na uchafu wa mazingira katika maeneo ya jiji.

“Namuagiza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam awaondoe na asilegeze kamba,” alisema Waziri Simbachawene.

Alisema kuwa hali hiyo imetokana na tafsiri isiyo sahihi ya agizo la Rais John Magufuli alipokuwa ziarani Mkoani Mwanza.

“Wala agizo  la Mheshimiwa Rais halikumaanisha hicho. Mheshimiwa Rais alisema tuwatafutie maeneo mbadala ambao wapo maeneo kama ya Mwanza na walikuwa wanafanya biashara ya kuuza nguo, akizungumzia wale particular group walioko pale Mwanza. Kwa Dar es Salaam tulishamaliza huko,” alisema.

Aidha, alimtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuhakikisha hakuna hata machinga mmoja atakayeonekana akifanya biashara katika maeneo ya barabara za mabasi yaendayo kasi.


Aigizo hilo la Waziri Simbachawene liliungwa Mkono na wajumbe wa Kamati hiyo ya Bunge ambao walisema kuwa hali ya soko la Kariakoo imekuwa mbaya kutokana na kuzagaa kwa machinga.

Serikali yaagiza Mabasi Mapya 165 ya Mwendokasi.Fahamu zaidi hapa.


Serikali imeanza mchakato wa kuagiza mabasi mapya 165 ya mwendokasi yatakayotoa huduma za usafiri kwa wakazi Dar es Salaam kwenye maeneo yasiyo na huduma hiyo.
Tayari imeshatangaza zabuni ya kununua mabasi hayo na mwezi Desemba, mwaka huu itasaini mkataba na mzabuni.

Mtendaji Mkuu wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (Dart), Ronald Rwakatare amewaeleza wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa waliotembelea mradi huo kuwa wanatarajia mabasi hayo yataanza kazi Aprili mwakani.

“Mabasi haya yatahudumia maeneo ya Morocco, Tegeta, Masaki, Makumbusho na mengine yasiyofikiwa, wakati tukiendelea na ujenzi wa awamu ya pili ya mradi huo,” amesema.

Saturday, August 27, 2016

Busu la Nelly Kamwelu shavuni kwa Diamond akiwa na Wizkid lawatoa povu mashabiki (Video).


Haipiti wiki bila Diamond kuwatoa povu mashabiki, hata kama alichokifanya si kwamba alidhamiria.

Jumanne hii hitmaker huyo wa ‘Kidogo’ alipost video akiwa na starboy, Wizkid. Haijulikani wamekutana Dar au Afrika Kusini. Lakini video hiyo ilitafsiriwa vibaya baada ya Miss Universe 2011, Nelly Kamwelu, kutokea kusikojulikana na kumbusu Diamond shavuni.

Haijulikani Nelly alikuwa mwenyeji wa nani, katika ya Diamond au Wizkid. Busu hilo limetafsiriwa vibaya na baadhi ya mashabiki wanaodai kuwa Diamond amemkosea hes//www.youtube.com/embed/8VQlYgafg20" width="420">

Kuna Kitu Ninacho Moyoni Mwangu Lakini.. – Wema Sepetu.Fahamu zaidi hapa.



Tangu malkia wa filamu nchini, Wema Sepetu aachane na mpenzi wake Idris Sutlan kuna mengi yamekuwa yakizungumzwa katika mitandao ya kijamii.
Muigizaji huyo hakuwahi kuzungumza sababu ya kuachana na mshindi huyo wa shindano la Big Brother Africa Hotshots 2014 hali ambayo imekuwa ikiibua maswali mengi kwa mashabiki wake.

Alhamisi hii Wema amewataka mashabiki wake katika mitandao ya kijamii kukaa mkao wa kula kwa ajili ya kuyasikia mengi ambayo yanaukabili moyo wake.

“Kuna muda mtu unaweza ukakaa na ukasema na moyo wako, Ila moyo mara nyingi huwa unazidi nguvu nyingine zozote. Kuna kitu kiukweli ninacho kwa moyo wangu,” aliandika mwigizaji huyo kupitia ukurasa wa instagram.

Aliongeza, “Lakini siwezi kusema leo wala kesho, but ipo siku isiyo na jina wala tarehe nitakisema tu, maana mnanijua kukalfisha nafsi huwa sipendi, but all in all tuseme Inshallah,”

Wiki iliyopita aliyekuwa mpenzi wake, Idris Sultan aliamua kufuta akaunti yake ya instagram yenye followers zaidi ya milioni 1 baada ya kushindwa kuvumilia yale yanayoendelea katika mitandao ya kijamii. 

Mwanamuziki Kiss Daniel Kupamba Uzinduzi wa Tamasha la 'Monte Carlo Classic' jijini Dar Kesho.Fahamu zaidi hapa.



Msanii maarufu kutoka Nigeria Anidugbe Oluwatobiloba Daniel almaarufu kama Kiss Daniel (katikati) akifurahia jambo na Meneja Masoko wa benki ya Barclays Joe Bendera (kulia) sambamba na Mkurugenzi wa Stra8up Vibes Sniper Mantana (kushoto) mara baada ya kumaliza mkutano na waandishi wa habari wa kumtambulisha msanii huyo atakayepamba uzinduzi wa Tamasha jipya nchini la “Monte Carlo Classic” litakalofanyika kesho kwenye ukumbi wa Akemi uliopo Golden Jubilee Towers, Posta jijini Dar es salaam.


Mwanamuziki maarufu wa Nigeria Anidugbe Oluwatobiloba Daniel anayefahamika kwa jina la kisanii Kiss Daniel aliyetamba hasa kwa kibao chake cha ‘Woju’ kwenye anga za muziki,  ametua jijini Dar es Salaam kwa ajili ya uzinduzi wa Tamasha la Monte Carlo Classic lililoandaliwa na Str8up Vibes wakishirikiana na DeJurist Global kwa udhamini wa Benki ya Barclays Tanzania.

Mwimbaji huyo wa Nigeria aliyejizolea mashabiki wengi tangu alipoachia kibao chake cha ‘Woju’, ataongoza uzinduzi wa Tamasha hilo Jumamosi hii jijini Dar es Salaam katika Mgahawa wa Akemi uliopo kwenye jengo la Jubilee Towers, Mtaa wa Ohio.

Akizungumza mapema leo kwenye mkutano na waandishi wa habari, Mkurugenzi Mtendaji wa Str8up Vibes, Sniper Mantana alithibitisha mbele ya waandishi kwamba maandalizi ya Tamasha hilo yamekamilika na kuwasihi Watanzania kujitokeza kwa wingi ili kujumuika na msanii huyo maarufu.
Aliongeza kwamba kabla ya Tamasha hilo tiketi zitauzwa kwa shilingi 25,000 na itakapo timu usiku tiketi zitauzwa kwa shilingi 35,000.

Alisema Tamasha la "Monte Carlo Classic" limelenga kubadilishana uzoefu baina ya Watanzania hususani kwenye sekta ya burudani.

“Kwenye miji kama vile;-Monte Carlo, New York, Los Angeles (L.A), Paris watu maarufu hushiriki kwa kupamba matukio kama haya. Hii ni sawa na ambavyo sisi tumelenga kuliimarisha tamasha la Monte-Carlo Classic jijini Dar es Salaam, ambapo kwa usiku mmoja kila mtu anakuwa mtu wa hadhi ya juu, huku akisherehekea na mtu maarufu aliyeteuliwa na kwenye eneo lenye hadhi ambalo limeandaliwa na waandaaji,” alisema.

Kwa mujibu wa Meneja Masoko wa Benki ya Bacrays Tanzania, Joe Bendera, alisema benki hiyo imekuwa ikidhamini ligi kubwa ya soka ulimwenguni jambo ambalo limeifanya kuisogeza karibu na jamii. Tunayo furaha kuwa sehemu ya uzinduzi wa Tamasha kama hili kubwa jambo ambalo litatuwezesha kukutana na wageni waalikwa mbalimbali na wateja wetu.

"Tukio hili linatupa fursa ya kutoa elimu kuhusu matumizi ya kadi zetu na kuhamasisha matumizi yake sehemu mbalimbali kwenye mashine za mauzo maeneo mbalimbali nchini. Mwezi uliopita Benki ya Barclays ilitunukiwa cheti cha ubora cha Mtoaji wa Kadi Bora za Visa nchini Tanzania.

Pia katika kubeba fedha taslimu kuna kiwango maalumu hivyo tutapata fursa ya kuwahamasisha wateja wetu kutumia kadi zetu za Debit na Cretid kwenye tukio hili," alisema

Kwa upande wake msanii huyo alisema alishtuka alipopata mwaliko kutoka kwa Str8up Vibes na kumchague yeye kuwa mgeni rasmi kwenye tukio hilo, na kwa mara ya kwanza kuja hapa nchini kama msanii.

 “Nimefuarahi sana kualikwa kwenye tukio la Monte Carlo Classic hapa jijini Dar es Salaam, ninashukuru kwa nafasi hii na ninapenda kuwashukuru waandaji kwa kutambua umuhimu wangu.”
Msanii huyo aliongeza kwamba, amekuja nchini kufurahia na kujumuika na watu hadhi tofauti, wasanii wa muziki pamoja na mashabiki zake na kuwaomba wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kufika kwa wingi siku ya Jumamosi kwenye tukio hili.

Msanii huyo alizaliwa Mei Mosi, 1994 katika mji wa State, Kiss Daniel ni mwimbaji maarufu anayetamba na kibao chake cha Woju alichokiachia mwaka 2015 a kutamba kwenye vituo mbalimbali vya runinga na redio akimshirikisha Davido na Tiwa Savage.
Kwa hivi sasa amejiunga na lebo ya G-Worldwide Entertainment iliyomwezesha kurekodi nyimbo zake tatu; Woju, Mama na aliouachia hivi karibuni wa Jombo.
Mwisho





MWANGALIE SAMATTA NDANI YA KUNDI F UROPA LEAGUE





Baada ya jana Mbwana Samatta kuisaidia Genk kufuzu hatua ya makundi ya Europa League, leo tayari makundi yamepangwa huku Genk ikiwa katika Kundi F pamoja na timu za Athletic Bilbao, Rapid Vienna na Sassuolo .
Makundi yote yapo kama ifuatavyo…

UEFA YAFANYA MABADILIKO CHAMPIONS LEAGUE




Shirikisho la soka la Ulaya UEFA limetangaza mabadiliko katika michuano ya UEFA Champions League kuanzia msimu ujao 2017-18.
Kuanzia msimu ujao, timu 4 za juu kutoka katika ligi 4 bora barani Ulaya (La Liga, Premier League, Budesilga na Serie A) zitakuwa zinafuzu moja kwa moja kuingia hatua ya makundi bila kupitia hatua ya mtoano.

Awali timu zilizoshika nafasi ya nne katika msimamo wa ligi hizo zilikuwa zinacheza mchezo wa mtoano (play off) na mshindi ndiyo anafuzu hatua ya makundi kama ilivyofanyika pia katika msimu huu.

KIKOSI CHA TAIFA STARS YA KUIVAA NIGERIA HIKI HAPA




Kocha Mkuu wa timu ya Mpira wa Miguu Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, ametangaza wachezaji 20 watakaounda kikosi kitakachosafiri mwishoni mwa mwezi huu kwenda Nigeria kwa ajili ya mchezo wa mwisho wa kuwania kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2017) dhidi ya timu ya taifa ya nchi hiyo, Super Eagles.
Licha ya mchezo huo wa Septemba 3, 2016 kuwa sehemu ya mchuano wa kuwania nafasi ya kucheza fainali hizo za AFCON 2017 huko Gabon, lakini utakuwa ni wa kukamilisha ratiba baada ya Misri kufuzu kutoka kundi G ambalo mbali ya Nigeria na Tanzania, pia ilikuwako Chad ambayo iliyojitoa katikati ya mashindano.

“Tanzania hatuwezi kupuumza mchezo huu, tumeuchukulia serious (kwa umakini) kabisa kwa sababu tunacheza ugenini ambako matokeo mazuri yanaweza kutusongesha mbele na kuingia ndani ya timu 99 bora katika viwango vya FIFA,” amesema Mkwasa.
Katika kikosi chake, Mkwasa ametangaza kutomjumuisha Mshambuliaji wa Kimataifa, Thomas Ulimwengu anayecheza klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kutokana na majeruhi ya paja kama ilivyo kwa Juma Abdul wa Young Africans ambaye aliumia katika mchezo wa kuwania Kombe la Shirikisho dhidi ya Mo Bejaia ya Algeria.
“Timu itaingia kambini Agosti 28, itakaa kambini kwa siku tano kabla ya kusafiri kucheza mchezo huo wa kukamilisha ratiba ambao Misri tayari wameshafuzu fainali za Afrika,” amesema Mkwasa na kuongeza kuwa kuna mchezaji wa Tanzania, Said Carte Mhando anamfuatilia ili ikiwezekana baadaye amwite kuchezea timu ya taifa. Anakipiga Klabu ya Brencia Calcio ya Italia.

Wachezaji walioitwa:
Makipa-
Deogratius Munishi – Young Africans
Aishi Manula – Azam FC

Mabeki
Kelvin Yondani - Young Africans
Vicent Andrew - Young Africans
Mwinyi Haji - Young Africans
Mohamed Hussein – Simba SC
Shomari Kapombe - Azam FC
David Mwantika - Azam FC

Viungo
Himid Mao - Azam FC
Shiza Kichuya – Simba SC
Ibrahim Jeba – Mtibwa Sugar
Jonas Mkude – Simba SC
Muzamiru Yassin – Simba SC
Juma Mahadhi - Young Africans
Farid Mussa Tenerif ya Hispania

Washambuliaji
Simon Msuva - Young Africans
Jamal Mnyate – Simba SC
Ibrahim Ajib – Simba SC
John Bocco - Azam FC


Mbwana Samatta - CK Genk ya Ubelgiji

Tanzania Purchase 2 Bombardier Q400 Aircraft




The Government of Tanzania recently signed a purchase agreement for two Q400 aircrafts with Canadian manufacturer Bombardier.

The aircrafts will be delivered with a 76-seat configuration at the price of USD62m. They will be used for commercial airline operations by Air Tanzania Company Limited (ATCL), the national carrier of Tanzania.

“Tanzania is a large country with some challenging airfields, and the Q400 turboprop’s capability to operate at these airports, its jet-like speed, long-range cruise capability and outstanding turboprop economics were key factors that guided us in selecting the aircraft for our operations,” said Leonard Chamuriho, Permanent Secretary at the Ministry of Transport, Works and Communication of Tanzania.
“The Q400 aircraft is a showcase for the continent, where it has proved itself to be extremely efficient as well as cost-effective,” said Jean-Paul Boutibou, Vice President of Sales – Middle East and Africa at Bombardier Commercial Aircraft.

The purchase is part of ATCL’s plan to expand in Tanzania and the African region. Air Tanzania ATCL is the flag carrier airline of Tanzania based in Dar es Salaam with its hub at Julius Nyerere International Airport (JNIA). It was established as Air Tanzania Corporation (ATC) in 1977 and wholly owned by the Tanzanian Government until 2002 when it was partially privatized.

The Government therefore reduced its shareholding to 51% and entered into a partnership with South African Airways. The partnership ended in 2006 when the Government of Tanzania repurchased the shares and the airline became once again a wholly owned government company. Currently (2016), Air Tanzania flies only to Kigoma and Comoros but it plans to launch at least 11 new routes, including Dodoma, after the 2 new aircrafts are delivered.




More Than 37 Companies Confirmed at the Tanzania Financial Services Expo 2016: 10–11th November




More than 37 companies have confirmed to participate in Tanzania Financial Services Expo (TFSE) 2016, an event aimed at educating the public about the benefits of financial services.

TFSE will be held in Dar es Salaam at the Diamond Jubilee Hall Exhibition Centre on the 10th and 11th November 2016, and hosted by Mikono Speakers International, a multisectoral consulting firm in Africa.

Participants include insurance companies, banks, social security funds, microfinance institutions and payment gateway solution providers. According to Mikono’s latest update, 105 exhibitors are expected to participate from more than 10 countries, of which 90% will be local companies. Mikono Speakers International’s Managing Director Deogratius Kilawe, Managing Director of Mikono Speakers, comments: “The event is a first of its kind and the largest African financial services affair to take place on a space of 5,000m2 -7,000 m2. We have already signed memorandum of understanding with 50 media partners. An amount of TZS150m has been set aside for media coverage.”


The TFSE 2016 program includes the following sub-expos:

 Payment Solution Expo 2016 Mortgages Business Expo 2016 Tanzania Commercial Finance Expo 2016 Insurance Expo 2016 Social Security Fund Expo 2016 Venture Capital Expo 2016


Tuesday, August 23, 2016

TFF YATOA TAHADHARI KWA TIMU TANO VPL....



Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), linapenda kutoa tahadhali kwa timu tano za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) juu ya kuwatumia wachezaji ambao imewasajili, lakini imebainika mbele ya Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji kwamba wanamatatizo kwenye usajili wao.


Majimaji ya Songea
Mchezaji anayefahamika kwa majina ya George Mpole ambaye pia amebainika kuwa ndiye Gerald Mpole wa Majimaji ya Songea amefungiwa kucheza soka kwa mwaka kwa kosa la kubadili jina akiwa na lengo la kufanya udanganyifu kwenye usajili. Majimaji imeagizwa kutomtumia mchezaji huyo kutoka Kimondo FC.
Mwadui FC ya Shinyanga
Mchezaji William Lucian aliyesajiliwa na Mwadui ya Shinyanga kutoka Ndanda ya Mtwara, naye amefungiwa mwaka mmoja kwa kosa la kusajili Mwadui FC ilihali akiwa hajamaliza mkataba na Ndanda. Mwadui isimtumie mchezaji huyo.
Mbeya City ya Mbeya
Mchezaji Saidi Mkopi, pia amefungiwa mwaka mmoja kwa kosa la kujisali timu mbili. Imebainika kuwa akiwa bado na mkataba na Tanzania Prisons ya Mbeya hivyo Mbeya City isi1mtumie mchezaji huyo.
African Lyon ya Dar es Salaam
Mchezaji Rehani Kibingu aliyesajiliwa na African Lyon ya Dar es Salaam, amesimamishwa kuchezea timu hiyo mpaka uongozi wa African Lyon kumalizana na Ashanti United ya Dar es Salaam kabla ya Agosti 27, 2016. African Lyon isimtumie mchezaji huyo kwa sasa.
Mbao FC ya Mwanza


Mchezaji Emmanuel Kichiba aliyesajiliwa Mbao FC, naye amesimamishwa mpaka Mbao watakapomalizana na Ashanti United ya Dar es Salaam, kabla ya Agosti 27, 2016. Mbao FC isimtumie mchezaji huyo kwa sasa.

FIFA YAONGEZEA UJUZI MAKOCHA TANZANIA

Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), kwa mara nyingine limeipa nafasi Tanzania kwa kutoa kozi maalumu ya stamina (Physical fitness) kwa makocha wa Tanzania wenye leseni kiwango B inayoanza leo Agosti 22, 2016. Kozi hiyo inayoendeshwa na mkufunzi kutoka FIFA, Dk. Praddit Dutta, raia wa India itafikia ukomo Ijumaa wiki hii.
Akifungua kozi hiyo, Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Selestine aliishukuru FIFA kwa namna inavyoipa nafasi Tanzania katika kozi mbalimbali hususani za ukocha na uamuzi.

“Si kila nchi inapata privilege (fursa) kama hii. Bila shaka FIFA inatambua uwezo wa makocha wa Tanzania kwa sasa. Mjue kuwa FIFA ina watu wa kuwapa taarifa kila kona. Kama mngekuwa mnafanya vibaya, FIFA wangesema Tanzania bado, kwa hiyo kozi zisipelekwe… lakini inaonekana mnafanya vema, mngefanya vibaya msingefikiriwa,” alisema Mwesigwa aliyekuwa mgeni rasmi katika ufunguzi huo.
Mwesigwa amesema kwa kuwa FIFA ina malengo chanya na Tanzania kwa kutoa kozi mbalimbali ikiwamo hiyo ya physical fitness inayolenga kuwapa ujuzi makocha hao kuwajengea uwezo wachezaji kuwa na stamina.
Hivyo akawataka makocha wanaohudhuria kozi hiyo kutumia fursa hiyo ya mafunzo si kwa ajili yao peke yao bali kuendeleza ujuzi huo kwa wengine ambao hawakubahatika kuwa sehemu ya wateule wa FIFA.
Naye, Mkufunzi wa kozi hiyo, Dk. Dutta alisema: “Bila shaka Tanzania inakwenda kufungua ukurasa mwingine wa soka la weledi kwa kuwa na wataalamu mbalimbali katika ukocha na uamuzi. Mnachotakiwa ni kujitahidi kufanya vema na kozi nyingine nyingi zinakuja.”
FIFA kwa kushirikiana na Idara ya Ufundi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), chini ya Mkurugenzi Salum Madadi, imepitisha majina ya makocha 27 kuhudhuria kozi hiyo inayofanyika katika Hosteli ya TFF iliyoko kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Ilala jijini Dar es Salaam.

Makocha wanashiriki kozi hiyo ni Mohammed Muza, Samwel Moja, Nassa Mohammed, Jemedari Said, Oscar Mirambo, Wane Mkisi, Cletus Mutauyawa, Shaweji Nawanda, Kizito Mbano, Dennis Kitambi, Sebastian Nkoma, Fikiri Mahiza, Nyamtimba Muga, Nassor Mwinchui, Alfred Itaeli, Henry Ngondo, John Tamba, Kidao Wilfred, Luhaga Makunja, Mohammed Tajdin, Mohammed Silima, Salum Ali Haji, James Joseph, Kessy Mziray, Daudi Sichinga, Bakari Shime na Salum Mayanga.

Mnazi Bay Gas Production Improve in Q2 2016






East Africa-focused oil & gas company Wentworth Resources (OSE:WRL, AIM:WRL) announced improvements of gas production at Mnazi Bay in Q2 2016 by +6.25%. The Mnazi Bay achieved average gross daily gas production of 51m standard cubic feet (MMscf) per day in Q2 2016, compared to 48MMscf in Q1 2016 (+6.25%). 

This was indicated in Wentworth’s press release issued on August 16th 2016. Geoff Bury, Wentworth Managing Director comments: “In Tanzania, Wentworth has seen significant growth in gas sales since the start of operation of the new pipeline in August 2015. 

This provides the Company with consistent cash flow to fund our ongoing activities, service our debt facility and to build cash reserves.” As of December 31st 2015, Maurel & Prom (M & P) holds 60.075% interest in exploration ownership in the Mnazi Bay Concession, while Wentworth Resources holds the remaining 39.925%. 
Wentworth also owns a 31.94% working interest in operations on the block together, M & P owns 48.06%, and Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) owns 20%. Mnazi Bay Gas Production Mnazi Bay gross Proved + Probable (2P) gas reserves are 181.1Bscf as of December 31st 2015. M & P supplied an average of 49m cubic feet (MMcf )of natural gas per day in H1 2016.
 On September 12, 2014, the Mnazi Bay partners signed a Gas Sales Agreement (GSA) with TPDC to deliver up to 130mmcf/day of natural gas from the Mnazi Bay concession to the new government owned Mtwara to Dar es Salaam gas pipeline. 

company’s first gas delivery to the new natural gas pipeline commenced on August 20th 2015. Mtwara-Dar es Salaam Gas Pipeline The development of the Mtwara-Dar es Salaam gas pipeline included the construction of Madimba Processing Centre, which is operated by state-run Gas Supply Company Limited (GASCO). The pipeline and processing plant are part of the Government’s program to add over 2,000 MW of new gas-fired power by 2018 and total 10,000 MW of generation capacity by the year 2025 up from the 1,500 MW in 2015. The aim is to reduce dependency from hydropower, representing 33% of Tanzania’s power generation in 2014 and whose capacity has been affected by recurring droughts that are hitting the country.


 East Africa-focused oil & gas company Wentworth Resources (OSE:WRL, AIM:WRL) announced improvements of gas production at Mnazi Bay in Q2 2016 by +6.25%. The Mnazi Bay achieved average gross daily gas production of 51m standard cubic feet (MMscf) per day in Q2 2016, compared to 48MMscf in Q1 2016 (+6.25%). This was indicated in Wentworth’s press release issued on August 16th 2016. Geoff Bury, Wentworth Managing Director comments: “In Tanzania, Wentworth has seen significant growth in gas sales since the start of operation of the new pipeline in August 2015. This provides the Company with consistent cash flow to fund our ongoing activities, service our debt facility and to build cash reserves.” As of December 31st 2015, Maurel & Prom (M & P) holds 60.075% interest in exploration ownership in the Mnazi Bay Concession, while Wentworth Resources holds the remaining 39.925%. Wentworth also owns a 31.94% working interest in operations on the block together, M & P owns 48.06%, and Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) owns 20%. Mnazi Bay Gas Production Mnazi Bay gross Proved + Probable (2P) gas reserves are 181.1Bscf as of December 31st 2015. M & P supplied an average of 49m cubic feet (MMcf )of natural gas per day in H1 2016. On September 12, 2014, the Mnazi Bay partners signed a Gas Sales Agreement (GSA) with TPDC to deliver up to 130mmcf/day of natural gas from the Mnazi Bay concession to the new government owned Mtwara to Dar es Salaam gas pipeline. The company’s first gas delivery to the new natural gas pipeline commenced on August 20th 2015. Mtwara-Dar es Salaam Gas Pipeline The development of the Mtwara-Dar es Salaam gas pipeline included the construction of Madimba Processing Centre, which is operated by state-run Gas Supply Company Limited (GASCO). The pipeline and processing plant are part of the Government’s program to add over 2,000 MW of new gas-fired power by 2018 and total 10,000 MW of generation capacity by the year 2025 up from the 1,500 MW in 2015. The aim is to reduce dependency from hydropower, representing 33% of Tanzania’s power generation in 2014 and whose capacity has been affected by recurring droughts that are hitting the country.

Read more at: http://www.tanzaniainvest.com/energy/mnazi-bay-gas-production-q2-2016 and follow us on www.twitter.com/tanzaniainvest 

Monday, August 22, 2016

Hiki ndicho chanzo cha bifu la Vera na Huddah




Mrembo kutokea pande za Mombasa nchini kenya, Vera Sidika ametoa sababu ya kuwa na bifu na mlimbwende mwenzake wa nchini humo, Huddah Monroe, bifu ambalo limeteka vyombo vya habari kwa muda mrefuAkifunguka kwenye Maojiano FNL ya East Africa Tv na Radio, Vera Sidika amesema wakati yeye akiwa Mombasa, Huddah Monroe tayari alishakuwa maarufu jijini Nairobi, lakini alipoenda ingawa walianza kwa kuwa marafiki, lakini baadaye Huddah alionyesha kutopenda uwepo wa Vera jijini Nairobi, kwani alihisi anamchukulia nafasi yake kwenye kazi.

"Bifu ambayo yeye anayo ilikuwa yeye amekuwa Nairobi na tayari alishakuwa star, na mimi nikatoka Mombasa nikaja Nairobi, ikawa kama nimeingilia career yake, ikawa anaaza bifu leo, anaanza kesho sasa inachosha, sasa mi nasemaga mambo kama hayo sitaki lakini anayaleta tu", alisema Vera Sidika.
Vera aliendelea kusema kuwa kitendo hicho yeye hakipendi, hasa pale inapofikia hatua ya kuchafuana kwenye mitandao kwa kutoleana habari za uongo, akitolea mfano wa hivi karibuni wa Hudda kumtangaza kuwa yeye ni muathirika wa Ukimwi.

Tanzania Kujenga Kiwanda cha kusindika gesi kugharimu trilion 65



Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 22 Agosti, 2016 amepokea taarifa ya maendeleo ya mradi mkubwa wa ujenzi wa kiwanda cha kusindika gesi asili (LNG Plant) kinachotarajiwa kujengwa katika eneo la Likon'go, Mchinga Mkoani Lindi.
Mwakilishi Mkazi wa Kampuni ya Statoil ya nchini Norway ambayo ni moja ya Kampuni zitakazowekeza katika mradi huo Bw. Oystein Michelsen amemueleza Rais Magufuli kuwa ujenzi wa kiwanda hicho unatarajiwa kugharimu Dola za Kimarekani Bilioni 30 sawa na zaidi ya Shilingi Trilion 65 za Kitanzania na kwamba uzalishaji unatarajiwa kuchukua muda wa zaidi ya miaka 40 baada ya kuanza.
Bw. Oystein Michelsen amebainisha kuwa Serikali ya Norway ina dhamira ya dhati ya kuhakikisha mradi huo unatekelezwa kwa manufaa ya pande zote na ameomba Serikali ya Tanzania iendelee kutoa ushirikiano ili kufanikisha ujenzi wa kiwanda hicho.
Kwa upande wake Rais Magufuli amemuhakikishia Mwakilishi huyo wa kampuni ya Statoil kuwa Serikali ya Tanzania ipo tayari kuhakikisha mradi unafanikiwa na ameitaka Wizara ya Nishati na Madini kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) kushirikiana na wadau kutoka Wizara nyingine kuharakisha mchakato wa kuanza kwa ujenzi wa kiwanda hicho.
"Nataka kuona mradi huu unaanza kujengwa, tunachukua muda mrefu mno, kamilisheni mambo yaliyobaki ili wawekezaji waanze kazi mara moja" Amesema Rais Magufuli.
Dkt. Magufuli amesema mradi huo unatarajiwa kuzalisha ajira kwa idadi kubwa ya watanzania na utaiwezesha serikali kupata mapato kupitia tozo mbalimbali, na hivyo kutumika kuimaisha huduma za kijamii zikiwemo elimu, afya, maji na miundombinu.
Pamoja na Statoil kampuni nyingine zinazoshiriki katika uwekezaji wa mradi huu ni Shell, Exxon Mobil, Pavillion na Ophir

BREAKING NEWS UVCCM watangaza maandamano nchi nzima




Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) nao umesema unatarajia kufanya "maandamano ya amani" nchi nzima Agosti 31 kwa ajili ya kueleza utendaji kazi bora wa Rais Dkt. John Magufuli kwa watanzania.

Wakati Jeshi la Polisi nchini likiwa limepiga marufuku maandamano ya nchi nzima yaliyotangazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), hii leo Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) nao umesema unatarajia kufanya "maandamano ya amani" nchi nzima Agosti 31 kwa ajili ya kueleza utendaji kazi bora wa Rais Dkt. John Magufuli kwa watanzania.

Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja huo, Shaka Hamdu Shaka amesema tayari wameshamwandikia barua Mkuu wa Jeshi la Polisi kwa ajili ya kupata kibali cha maandamano hayo na ulinzi huku akiwaeleza wandishi wa habari kuwa kiu yao ni kufikisha ujumbe kwa wananchi juu ya utendaji wa Rais Dk. Magufuli katika kushamirisha dhana ya maendeleo na kuleta mageuzi ya kiuchumi.
Maandamano hayo yataanzia katika ngazi za wilaya yataanzia kwenye ofisi za UVCCM ngazi ya

wilaya na mkoa na kuishia katika ofisi za wakuu wa wilaya na mikoa huku wanachana wa vyama vingine na wapenda maendeleo wakikaribishwa kujiunga na maandamano hayo ya amani.

Profesa Lipumba Aipasua CUF.......Wajumbe Warushiana Viti na Kutukanana, Mkutano Wavunjika





Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Wananchi (CUF), uliofanyika jana jijini Dar es Salaam ukilenga kuwachagua Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho ulivunjika baada ya wajumbe kuanza kurushiana viti na matusi baada ya kupishana katika hoja ya kumtosa aliyekuwa Mwenyekiti wake, Profesa Ibrahim Lipumba.

Profesa Lipumba alijiuzulu nafasi yake kabla ya kampeni za uchaguzi Mkuu mwaka jana akieleza kuwa roho inamsuta kumnadi mgombea urais aliyeungwa mkono na vyama vya Ukawa. Lakini mwaka huu alirejea na kuandika barua akiomba kurejea kwenye nafasi yake hali iliyozua sintofahamu.

Taarifa kutoka ndani ya Mkutano huo zimeeleza kuwa wajumbe 832 walihudhuria lakini hoja ya kumjadili Profesa Lipumba ilipofikiwa, baadhi ya wajumbe ambao wanamuunga Mwenyekiti huyo wa zamani walizua vurugu wakipinga utaratibu uliotumika.

Baadhi ya wajumbe hao waliwaambia waandishi wa habari kuwa viongozi waliopo madarakani walifanya ubabe kwa kulazimisha kura ya kukubali au kukataa ombi la Lipumba ipigwe kwa uwazi na sio siri kama Katiba inavyoeleza.

“Haki haikutendeka, ni ubabe. Wala mkutano haikuzingatia kutimia kwa akidi. Tulilazimishwa kupiga kura kwa kunyoosha mikono wakati mazingira yaliyopo na usahihi, kura ni siri,” mmoja wa wajumbe hao alikaririwa.

Baada ya kupiga kura za wazi, Lipumba alipata kura 14 kati ya kura 832 hivyo kuonekana kukataliwa kwa kishindo, lakini vurugu zilizuka ghafla kutokana na maamuzi hayo na mkutano ukashindwa kufanikisha zoezi zima la kuwapata viongozi hao wapya.

Katika hatua nyingine, Juma Haji Duni alijiengeu katika kinyang’anyiro cha uchaguzi huo, baada ya baadhi ya wajumbe kusisitiza kuwa katiba inamtaka mtu aliyejiuzulu na kuhamia chama kingine kusubiri miaka miwili ili agombee nafasi ya uongozi ndani ya chama pale atakaporejea.

Mkurugenzi wa Uchaguzi na Mipango wa CUF, Shaweji Mketo, alisema kuwa Duni alijiondoa kutokana na maadui wa Ukawa kutaka kukihujumu chama hicho.

Mkutano huo umeahirishwa hadi utakapotangazwa tena. 

Msanii wa Bongo Freva Ruby: Afunguka na Kusema Sikwenda Fiesta sababu maslahi ni ‘kiduchu’, atangaza vita na waliomtoa





Muimbaji wa ‘Na Yule’ Ruby amesema hakwenda Mwanza kutumbuiza kwenye Fiesta licha ya ‘kusajiliwa’ kwenye msimu mpya wa tamasha hilo maarufu, kwasababu waandaji hulipa fedha ‘kiduchu.’

Kauli yake inakuwa mkuki kwenye moyo kwa Clouds FM ambao ndio waliomfikisha hapo alipo kwa kukivumbua kipaji chake.
Akiongea na tovuti ya Tizneez, Ruby alidai kuwa kutolewa kimuziki na Clouds Media, hakumaanishi kuwa ataendelea kuwatumikia kama wanavyotaka kwakuwa naye ana maisha yake kwa sasa.
“Kisa ni Clouds ndio nisiwe free na kuongea?” alihoji muimbaji huyo ambaye kwa miaka mingi sauti yake imekuwa ikisikika kwenye matangazo kibao ya kituo hicho maarufu cha redio nchini. Amedai kuwa show ya Fiesta ni kubwa kuliko maslahi wanayolipa na kwamba yangemwacha katika wakati mgumu kuandaa show yake.

Anadai kuwa hahofii vita yoyote na kituo hicho chenye nguvu kilichowahi kuingia kwenye mgogoro na wasanii kibao ambapo wapo walio kubali yaishe kwa kupiga magoti na kuomba msamaha, isipokuwa Lady Jaydee ambaye bado ana vita nao iliyodumu kwa miaka mingi.
Ruby anasema mwisho wa siku ni maisha yake ndiyo ya muhimu zaidi. Ruby alipatikana kupitia shindano la Supa Diva liliondaliwa na Clouds kupitia tamasha la Fiesta na kusainishwa chini ya kampuni ya THT iliyoanzishwa na Ruge Mutahaba.
“To be honest naumia sana sababu they don’t care,” anasema. “So if someone hakujali, what can you do? Tatizo ndio kama hilo unakuwa na management ambayo haijali maslahi yako kwenye maisha yako. Tunajikuta tunakuwa na management ambazo zinajali umabavu, zinaendesha wasanii kimabavu kuliko kiakili ya kutimiza malengo ya wasanii wao ambapo sisi wasanii wa kike tunaonewa sana. Unadhani kwanini Lady Jaydee wanamuita komando?” amehoji Ruby.
“Because ni mtoto wa kike, ni mwanamke ambaye amesimama kweli kweli na kujitetea, lakini wachache sana wanafanya hivyo.”
Kukiwekea kidonda chumvi, Ruby ambaye kwenye Instagram amepost video akiimba wimbo wa Lady Jaydee, amedai kuwa ana mpango wa kufanya naye kazi. “Nitafanya naye sababu ni muimbaji mzuri, ana sauti nzuri.” 

Afrika Mashariki yatakiwa kuboresha sheria kwenye sekta ya uchimbaji madini





 Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki EADB imezitaka nchi za kanda hiyo kuboresha sheria kwenye sekta ya uchimbaji madini ili kuhakikisha rasilimali zinapangwa kwa usawa.
Akiongea kwenye semina ya kikanda ya majaji kutoka nchi za Afrika Mashariki iliyomalizika jana Nairobi, Mkurugenzi Mkuu wa Benki hiyo, Vivienne Yeda, amesema ugunduzi na uchuguzi unaoendelea wa madini katika kanda hiyo umeongeza matumaini ya kuongeza utajiri, kupunguza nakisi ya bajeti na kuboresha maisha ya watu wa nchi hizo. Amesisitiza kuwa mafao lazima yaende kwenye jamii za nchi husika, kwa njia za mirahaba, kodi, mgao, fursa za biashara, kazi za kitaalamu na ajira kwa wafanyakazi wenye ujuzi.
Semina hiyo iliyoandaliwa na EADB, imewalenga majaji wa Afrika mashariki wanaohusika na kazi ya usuluhishaji na kutatua migogoro kwenye sekta ya madini.

USAIN BOLT NA SAKATA LA MAPENZI NA MTOTO WA SHULE




 Picha za bingwa wa mbio za mita 100,200 na relay kwenye mashindano matatu ya Olimpiki Usain Bolt zimeenea kwenye mitandao ya kijamii.
Bolt anaonekana kwenye pozi za mapenzi na msichana anaedaiwa kuitwa Jady Duarte wa umri wa miaka 20 ambae ni mwanafunzo wa chuo kimoja cha Brazil
Inasemakana Bolt alikua tayari kashatangaza kumuoa mchumba wake Kasi Benestt baada ya olimpiki na huenda ndoa hiyo ikaingia doa.
Hata hivyo taarifa hizi huenda zisimtatize sana Bolt kwani yeye amewahi kukubali kwamba hawezi kuwa na uhusiano na mwanamke mmoja.

WEMA ATOA MACHOZI NA KUMUOMBA IDRIS ARUDI




Siku chache baada ya Wema Sepetu na Idriss kutofautiana na Idris kumuondokea Wema,Mwanadada huyo ameonekana kupata tabu sana na maisha bila mpenzi wake.
Hivi kaamua kutumia mtnadao wa kijamii kumuomba msamaha.
Amesema " That moment you realise how much u miss a special someone… Rudi basi… hata kidogo tu

Kocha wa Azam FcZeben aomba muda zaidi, kurekebisha makosa vs Majimaji




KOCHA Mkuu wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Zeben Hernandez, amesema kuwa anahitaji muda zaidi ili kukisuka kikosi chake na kucheza kupitia mifumo wanayoendelea kuwafundisha wachezaji wa timu hiyo.
Zeben pia ametanabaisha kuwa atayafanyia kazi makosa yote yaliyojitokeza kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya African Lyon ulioisha kwa sare ya 1-1, ili waweze kufanya vizuri mchezo ujao dhidi ya Majimaji.
“Kwa sasa tunafanya tathimini ya mchezo uliopita, kutoa makosa na kurekebishana pale tulipokosea, tukimaliza hapo kwa wiki hii tutaanza kujipanga kwa mchezo ujao (Majimaji), lakini cha kwanza tunaangalia yali yaliyotokea katika mchezo wa kwanza, mapungufu yalikuwa wapi na nani anapaswa kufanya nini,” alisema
Azam FC kwa sasa ni miongoni mwa timu zilizoko nafasi ya nne hadi ya tisa kwenye msimamo wa ligi, zote zikiwa zimekusanyia pointi moja kila mmoja zikizidiwa pointi mbili na vinara Simba, Ruvu Shooting na Tanzania Prisons, walijikusanyia pointi tatu.
Mechi vs Lyon
Akizungumzia mchezo wa kwanza dhidi ya African Lyon, Zeben alisema timu yake haikucheza vibaya sana kulingana na mechi zilizopita huku akidai kuwa tatizo kubwa linalokikabili kikosi chake ni ufungaji wa mabao.
“Hilo si tatizo sana kadiri muda utakavyokuwa ukienda, hali itabadilika, ni jambo la kuvuta subira na muda zaidi, ukipatikana muda wa kutosha basi timu itakuwa vizuri zaidi mpaka sehemu ya ushambuliaji,” alisema.
Mbali na hilo amesema kuwa wiki hii, atalifanyia kazi suala la wachezaji wake kushindwa kumaliza mechi kipindi cha kwanza, akidai kuwa kwa mechi kadhaa zilizopita kikosi chake kimekuwa kikitafuta ushindi kipindi cha pili kuliko mwanzoni mwa mechi.
“Sikuwa na timu mwanzo, nimeingia kikosini hivi sasa na nimeanza kubadilisha mfumo na mbinu kwa timu kucheza namna tunavyotaka sisi kulingana na mifumo, hilo ni tatizo ambalo lipo ni kubwa kwa sasa na tunaendelea kujitahidi kulifanyia kazi na hata wiki hii tutaendelea nalo ili kwa mechi zijazo liweze kuondoka,” alisema.

Azam FC inakamiwa
Zeben aliendelea kusema kuwa jambo linaloonekana hivi sasa ni timu zote zinazokuja Azam Complex kucheza na timu yake, hufanya jitihada kubwa kuliko uwezo wao ili kuonyesha nao wanaweza kucheza mpira.
“Hili si tatizo kubwa sana inabidi tuendelee kulizoea na nitaendelea kuiboresha timu, ili kwa yoyote atakayekuja Chamazi au nje ya Chamazi tuweze kumfunga,” alisema.
Ligi itakuwa ngumu
Kocha huyo wa zamani wa Stanta Ursula ya Hispania, alisema ameshuhudia mechi za kwanza za ligi msimu huu na kudai kuwa haitakuwa ligi rahisi sana na ngumu kwake yeye kutokana na kikosi alichonacho.
“Cha muhimu ni wachezaji kuendelea kushika mifumo yangu ninayoendelea kuwafundisha, kwa uzoefu wetu tuliokuwa nao hapa tumegundua timu yoyote inayocheza na Azam hata timu iwe kibonde vipi, basi itajitahidi kuweza kuweka rekodi, hili si tatizo sana tutaendele kupambana nalo kwa kuwa hii ni kazi yetu,” alisema.
Kikosi cha Azam FC kinachodhaminiwa na Benki ya NMB na kinywaji safi cha Azam Cola, kitaanza rasmi mazoezi ya kujiandaa na mchezo ujao dhidi ya Majimaji kesho Jumanne asubuhi, mechi itakayopigwa Uwanja wa Azam Complex, Jumamosi ijayo saa 10.00 jioni.

Tanzania among Africa Top Investment Destinations, Report Indicates




Tanzania was among the leading investment destinations in Africa in 2015, the recently published 2016 African Economic Outlook (AEO) indicates.

The AEO presents the current state of economic and social development in Africa and projects the outlook for the coming two years.

The AEO is a product of collaborative work by three international partners: the African Development Bank (AfDB), the OECD Development Centre and the United Nations Development Programme (UNDP). 
The top 10 African investment destinations in 2015 were: 
Egypt (USD10.2b) 
Mozambique (USD4.7b) 
Morocco (USD4.2b) 
South Africa (USD3.6b) 
Ghana (USD2.5b)
 Democratic Republic of the Congo (USD2.5b)
 Zambia (USD2.4b) 
Tanzania (USD2.3b) 
Ethiopia (USD2.1b) 
Guinea (USD1.9b) and Kenya (USD1.9b) In East Africa, Tanzania (USD2.3b) and Uganda (USD1.3b) received stable investments in 2015 despite their lack of significant resources, according to the report. Still, Tanzania and the other East African countries are economically more diverse than resource-rich countries and relatively well-integrated as a region. East Africa, together with West Africa, is also among the continent’s leading recipients of official development assistance from all recorded donors. Ethiopia (USD3.6b), Kenya (USD2.7b) and Tanzania (USD2.6b) topped the list in East Africa, while Nigeria (USD2.5b)was the leader in the West.




Tanzania Investment Centre (TIC) is the primary agency of the Government to coordinate, encourage, promote and facilitate investment in Tanzania. 
On 23rd March 2015, TIC and the Investment Climate Facility for Africa (ICF) signed an agreement worth USD950,000 on a project to further increase investments in the country. 

This will be achieved by expanding, consolidating and promoting the Tanzania Investment Window (TIW). The TIW allows investors to register companies and to obtain investment certificates, work permits and tax exemptions on-line. The agency is now looking to promote further investment in key economic sectors.




 Tanzania was among the leading investment destinations in Africa in 2015, the recently published 2016 African Economic Outlook (AEO) indicates. The AEO presents the current state of economic and social development in Africa and projects the outlook for the coming two years. The AEO is a product of collaborative work by three international partners: the African Development Bank (AfDB), the OECD Development Centre and the United Nations Development Programme (UNDP). The top 10 African investment destinations in 2015 were: Egypt (USD10.2b) Mozambique (USD4.7b) Morocco (USD4.2b) South Africa (USD3.6b) Ghana (USD2.5b) Democratic Republic of the Congo (USD2.5b) Zambia (USD2.4b) Tanzania (USD2.3b) Ethiopia (USD2.1b) Guinea (USD1.9b) and Kenya (USD1.9b) In East Africa, Tanzania (USD2.3b) and Uganda (USD1.3b) received stable investments in 2015 despite their lack of significant resources, according to the report. Still, Tanzania and the other East African countries are economically more diverse than resource-rich countries and relatively well-integrated as a region. East Africa, together with West Africa, is also among the continent’s leading recipients of official development assistance from all recorded donors. Ethiopia (USD3.6b), Kenya (USD2.7b) and Tanzania (USD2.6b) topped the list in East Africa, while Nigeria (USD2.5b)was the leader in the West.

Read more at: http://www.tanzaniainvest.com/economy/investment-africa-report and follow us on www.twitter.com/tanzaniainvest 
Copyright © 2015 Dar One
| Distributed By Hotrootnews.blogspot.com