Monday, August 29, 2016

Break news Kikao Cha Ndani Cha Kamati Kuu ya Chadema Chavamiwa na Polisi....



DAR: Kikao cha ndani cha Kamati Kuu ya CHADEMA kilichokuwa kinaendelea katika Hoteli ya Giraffe eneo la Mbezi kimevamiwa na Polisi.
- Sababu za kuvamiwa bado hazijajulikanahttp

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2015 Dar One
| Distributed By Hotrootnews.blogspot.com