Featured

Tuesday, January 10, 2017

Azam yamtambulisha kocha mpya raia wa Romania


Klabu ya Azam FC imemshusha kocha mpya anaejulikana kwa jina la Aristica Cioaba kutoka Romania.
Kocha huyo amepewa mkataba wa miezi sita kwa ajili ya matazamio kama atafanya vizuri huenda akapewa mkataba wa muda mrefu lakini kinyume na hapo atafata nyayo za akina Zeben Hernandez.
Afisa habari wa Azam FC Jafar Idd amesema Aristica Cioaba atasaidiwa na makocha wazalendo ambao wanaiongoza Azam kwa sasa wakiongozwa na Idd Cheche.
“Tumeshapata kocha mpya kutoka Romania ambaye tumempa mkataba wa miezi sita ili tuweze kuangalia uwezo wake. Kama atafanya vizuri basi tunaweza kumuongezea muda,” anasema Jafar Idd uku akiziua tetesi za makocha wazawa kujiunga na Azam.
“Kwa sasa atakuwa akisaidiwa na makocha wetu wazalendo ambao wapo na timu wakiongozwa na Idd Cheche.”
Baada ya Zeben na wasaidizi wake kutimuliwa, ziliibuka tetesi kuwa huenda Karl Ongala ambaye aliwahi kuitumikia klabu hiyo akiwa mchezaji na kocha msaidizi akarejeshwa kwenye benchi la ufundi la Azam FC.

Mkwasa pia ni miongoni mwa makocha waliotajwa kupewa jukumu la kuinoa Azam baada ya kuachana na timu ya taifa ya Tanzania lakini ujio wa Aristica Cioaba unamaliza tetesi hizo.

Tuesday, January 3, 2017

JPM aagiza kufutwa kwa utitiri wa kodi



Ikiwa Tanzania Inataraji Mpaka ifikapo waka 2020 iwekweyne uchumi wakati hivi leo Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewataka Wakuu wa Mikoa,Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kuondoa utitiri wa kodi uliopo kwenye Mazao ili wakulima waweze kunufaika kutokana na kujiongezea kipato.

Agizo hilo alimetolewa leo wakati akihutubia wakazi wa Wilaya ya Bukoba na watanzania kwa ujumla akiwa katika ziara ya kikazi ya siku mbili Mkoani Kagera.

“Nawaagiza Wakuu wa Mikoa,Wilaya pamoja na Wakurugenzi wa Halmashauri kupitia upya Kodi zilizopo katika bidhaa mbalimbali kama Kahawa na Pamba, hakikisheni mnaondoa utitiri huu wa Kodi ili wafanyabiashara hawa wafaidike na mazao yao,” Alisema Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli amewaahidi watanzania kuwa atahakikisha anafanya kazi usiku na mchana bila kujali itikadi, dini na makabila ili kuhakikisha nchi inasonga mbele katika nyanja zote za kimaendeleo.
Akizungumzia maendeleo ya michango mbalimbali kwa ajili ya wathirika wa tetemeko la Ardhi mkoani Kagera Rais Magufuli amesema kuwa mpaka sasa simenti iliyochangwa ni zaidi ya tani 30,600 na mabati zaidi ya elfu 31,000 ambapo wananchi wameshaanza kupewa na kujengea.

Amewahimiza wananchi walioathirika na tetemeko la Ardhi kutotegemea Serikali kuwafanyia kila kitu na badala yake waanze kujenga na watumie msimu huu wa mvua kulima ili kujipatia chakula.
Pia Rais Magufuli amewashukuru na kuwapongeza wahisani waliochangia Maafa ya Kagera na kuwataka kuendelea na moyo huo katika kulijenga Taifa letu.  

Thomas Ulimwengu Kwenda Uholanzi


Klabu moja kutoka Uholanzi inatarajia kuleta ofa kesho ya kumuhitaji mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars),Thomas Ulimwengu.

Wakala wa Ulimwengu, Jamal Kisongo, amesema kwa sasa asingeweza kuitaja timu hiyo, hadi siku ya Jumatano, pamoja na ofa nyingine, zilizopo mezani hadi sasa.

Kisongo amesema kuna matarajio ya Ulimwengu kupata timu Ulaya na amewataka Watanzania wawe wavumilivu na kumuombea kijana huyo, ili afanikiwe kucheza Ulaya.

Ulimwengu, na Mbwana Samatta anayecheza Ubelgiji kwa sasa kwenye klabu ya Genk, tangu mwezi wa Januari mwaka uliopita, wote walikuwa wakiichezea TP Mazembe ya DR Congo kabla ya kumaliza mikataba yao mwaka uliopita. 

BREAK NEWSKOCHA MPYA WA TAIFA STARS




Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemteua Salum Mayanga kuwa kocha wa muda  (Interim coach), wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’.

Kocha Salum Mayanga anachukua nafasi ya Kocha Charles Boniface Mkwasa ambaye mkataba wake unafikia mwisho mwezi Machi, mwaka huu - 2017.

Kati ya majukumu yake yatakuwa ni kuandaa kikosi cha timu ya Taifa kwa ajili ya hatua ya kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2019 ambazo mechi za awali zitanza mapema mwaka huu.
Pia Kocha Mayanga atakuwa na jukumu la kuandaa kikosi cha wachezaji wa ndani kwa ajili ya hatua ya kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi ya ndani (CHAN).


TFF inamshukuru Kocha Charles Boniface Mkwasa kwa utumishi katika nafasi hiyo ulioanza Julai, 2015 na kumtakia mafanikio katika mipango yake inayofuata.

Monday, January 2, 2017

Hiki Ndicho Kinachokwamisha 'collabo' ya Jide na Diamond


Msanii mkongwe katika anga la bongo fleva, mwanadada Judith Wambura a.k.a Lady Jay Dee amesema yuko tayari kufanya kazi na staa wa muziki huo Diamond Platnumz, endapo atahitaji lakini kinachoweza kukwamisha ni ratiba yake ya kazi.

Jay Dee amelazimika kutoa kauli hiyo kutokana na kuongezeka kwa minong'ono kuwa wawili hao wanakwepana, na hawataki kufanya kazi kwa pamoja, ambapo amekuwa akikabiliwa na mambo mengi kwenye ratiba yake.
Akiwa katika Kitengo ya Planet Bongo ya EATV, Jay amesema hana tatizo na msanii yoyote nchini na yuko wazi wakati wowote, lakini akasita kutaja ni wakati gani atafanya kazi na Diamond.
"Kwa sasa nina ratiba za mambo mengine, lakini akinihitaji niko tayari na tutafanya kazi wakati muafaka nikiwa na na nafasi" Alisema Jay Dee.
Mwezi Novemba mwaka jana, Diamond alipozungumza na EATV kuhusu suala hilo alisema yuko tayari kufanya kazi na mwanadada huyo, lakini tatizo ni kubanwa na ratiba ambayo imekuwa haimpi nafasi.
Kwa kauli hizo, sasa ni dhahiri kuwa wawili hao hawana shida kufanya kazi pamoja lakini huenda wanaogopana, huku kila mmoja akisubiri mwenzake amuanze, maana hadi sasa hakuna ambaye ameomba kufanya kazi na mwezake huku wote wawili wakidai kukwamishwa na ratiba ya kazi zao. 

Mkurugenzi wa TANESCO atumbuliwa na Rais Magufuli



Rais John Pombe Magufuli leo tarehe 1/1/ 2017 ametengua uteuzi  uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania 9TANESCO) Mhandisi Felchesmi Mramba na kumteua Dk Tito Esau Mwinuka kuwa Kaimu Mkurugenzi wa shirika hilo.

Akiwa mkoani Kagera leo Rais Magufuli alisikika akisema kuwa haiwezekani mtu mmoja kutokana na nafasi yake afanye maamuzi ya kupandisha umeme huku akitambua kuwa kufanya hivyo ni kuwaumiza watanzania na kuahidi kuendelea kuwatumbua wafanyakazi wa Serikali ambao ni majipu.
Kwa mwaka 2017 Mkurugenzi wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba anakuwa mfanyakazi wa kwanza kutumbuliwa na Rais John Pombe Magufuli

Hiki Ndio Kisa Kilicho Waliza walizwa Young Dee, Country Boy




Tunaweza kusema kuwa staa wa video za bongo fleva, mwanadada Amber Lulu anataka kuwagonganisha kimapenzi wasanii wawili wa rap Bongo, Young Dee na Country Boy kutokana na kuanzisha rasmi mahusiano na Country Boy
Hatua hiyo ni baada ya Amber kutoa ya moyoni jinsi anavyomuhusudu Country Boy, huku akikiri kuwa mahusiano ya Young Dee licha ya kupiga chenga kuwa mahusiano yake na Country Boy ni ya kikazi pekee, na hayatahusu mapenzi.
Amber alifunguka hayo alipokuwa akipiga story na Jay R Junior katika kipindi cha Bongo Fleva Top 20 cha East Africa Radio na kueleza kinachomvutia zaidi kwa Country Boy ikilinganishwa na wasanii wengine wa kiume katika game ya Bongo Fleva.

Akiwa ameingia rasmi kwenye game ya bongo fleva kama msanii wa kuimba, amesema mastaa wengi wa kiume ambao amekuwa akifanya nao kazi, wamekuwa wakishindwa kujizuia na kutamani mapenzi zaidi ya kazi.

HAJIB: KUPATA SHAVU KUTOKA TIMU TATU



MSHAMBULIAJI chipukizi wa kimataifa wa Tanzania, Ibrahim Hajib Migomba amerejea nchini jana na kusema kwamba atajiunga na timu itakayompa ofa nzuri kati ya Haras El Hodoud ya Misri na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini.

Akizungumza na Bin Zubeiry Sports - Online leo baada ya kuwasili nchini kutoka Misri alipokwenda kufanya majaribio klabu ya Haras El Hodoud, Hajib amesema kwamba anaweka mbele maslahi katika kuamua timu ya kujiunga nayo.

Pamoja na kufuzu majaribio na vipimo vya afya Haras El Hodoud, lakini imeripotiwa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini pia inatamaka mchezaji huyo wa Simba kwa kusaini naye mkataba moja kwa moja bila majaribio.

Kuhusu Haras, Hajib amesema kwamba amefanya mazungumzo ya awali na Haras El Hodoud na kufikia makubaliano, lakini kwanza wanatakiwa kumalizana na klabu yake ya sasa, Simba SC.

“Ninamshukuru Mungu nimefurahia siku zangu chache za kuwa Alexandria, nilikuwa katika klabu nzuri, mazingira mazuri na wachezaji wenzangu kule wamenikubali mapema sana. Sasa baada ya yote, ninawasikilizia wao tu ni jinsi gani watalimalizia hili suala,”amesema.

Kwa upande wake, Katibu wa Simba, Patrick Kahemele amesema klabu haijapokea ofa yoyote kutoka Haras El Hodoud wala taarifa ya majibu ya majaribio ya mchezaji. “Sisi wenyewe tunasikia tu kutoka kwenye vyombo vya habari kwamba Hajib kafuzu. Kwa hiyo tunasubiri majibu rasmi,”amesema. 


Wakala anayeshughulikia mipango ya Hajib nchini Afrika Kusini, Rodgers Mathaba kwa upande wake alikiri juu ya mchezaji huyo kutakiwa na Kaizer Chiefs.


“Ni kweli, Kaizer wanamtaka Hajib. Najua alikuwa Misri, nasubiri arejee Dar es Salaam nimpigie simu nizungumze naye. Tayari nimekwishazungumza na kocha Steve Khompela wa Kaizer,”alisema.

Hajib alikuwa ana wiki nzuri ya majaribio Haras El Hodoud ikiwemo kufunga bao moja katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa kirafiki Ijumaa.

Mathaba ndiye aliyempeleka Hajib Afrika Kusini kwa majaribio pia, klabu ya Lamontville Golden Arrows FC ya Ligi Kuu ya ABSA nchini humo na pamoja na kufuzu, wakamtaka arejee Simba kumalizia Mkataba ili baadaye aende kama mchezaji huru.


Lakini sasa mambo yamebadilika na klabu za Afrika Kusini na Misri zipo tayari kumnunua Hajib kutoka Simba.   



Na akizungumzia hilo, Hajib amesema; “Ni kweli nimesikia hizo habari, na si Kaizer tu, timu nyingine kama mbili za Afrika Kusini nazo zimetangaza ofa. Kwanza ninamshukuru Mungu. Mungu ni mkubwa, sasa tusubiri haya maneno yawe vitendo ndiyo tufanye maamuzi,”.

Thursday, December 29, 2016

WA MISRI, WAARABU WAKOLEA...SASA WATAKA KUONGEA BIASHARA NA SIMBA


MSHAMBULIAJI chipukizi wa kimataifa wa Tanzania, Ibrahim Hajib Migomba amefuzu majaribio katika klabu ya Haras El Hodoud ya Ligi Kuu ya Misri.

Akizungumza na Bin Zubeiry Sports - Online leo kutoka mjini Alexandria yalipo makao makuu ya timu hiyo, Hajib alisema kwamba leo ameambiwa amefuzu majaribio yake baada ya siku tano.
"Nimepewa majibu kwamba nimefuzu, kwa hiyo kinachofuata ni hii klabu kuzungumza na Simba ili wakubaliane kwanza, ndipo nitajua mustakabali wangu,"amesema Hajib.  


Hajib aliondoka Alhamisi iliyopita nchini kwenda Misri kwa majaribio ya kucheza soka ya kulipwa baada ya kupewa baraka zote na uongozi wa Simba. 

Mshambuliaji huyo ameonyesha kiu ya kweli ya kutaka kucheza nje ya Tanzania, kwani katikati ya mwaka huu alikwenda Afrika Kusini kwa majaribio pia, ambako pamoja na kuripotiwa kufuzu katika klabu ya Lamontville Golden Arrows FC ya Ligi Kuu ya ABSA nchini humo. 

washindi wa WatsUPTV African Awards 2016, watanzania wanne tu ndio wameshinda



Ulikuwa usiku wa December 28 2016 tuzo za WatsUp TV Africa Music Video Awards 2016 ndio zilitangazwa Accra Ghana, washindi 22 walitangazwa kupitia Press Conference wakiwemo wasanii wa Tanzania waliyofanikiwa kushinda tuzo hizo kwa mwaka 2016.

Usiku wa December 28 2016 tuzo za WatsUp TV Africa Music Video Awards 2016 ndio zilitangazwa Accra Ghana, washindi 22 walitangazwa kupitia Press Conference wakiwemo wasanii wa Tanzania waliyofanikiwa kushinda tuzo hizo kwa mwaka 2016.
Kama hufahamu WatsUp TV Africa Music Video Awards (WAMVA) ni tuzo ambazo zinaandaliwa na WatsUP TV, zikiwa na lengo la kushawishi au kuhamasisha wasanii kufanya video za viwango vya juu pamoja na ubora.

Wametangazwa washindi 22 wasanii na waongozaji wa video 170 waliyokuwa wametajwa kuwania tuzo hizo wakati zinazinduliwa mwezi September 2016,  kwa mujibu wa mtandao wa Zionfelix.net ni kuwa washindi watafanya show katika tamasha la Made in Africa litakalofanyika 2017 Accra Ghana.

List ya washindi wote 22 waliyotangazwa
Best Newcomer Video of the Year
Harmonize ft Diamond Platinium ( Badoo)
Best African Reggae Dancehall Video
Shatta Wale ( Chop Kiss ) Ghana
Best Afro Pop Video
Scientific Ft Quincy B (Rotate) Liberria
Best African Hip Pop Video
Iba One (Dokera) Mali
Best African RnB Video
Alikiba (Aje) Tanzania
Best African Traditional Video
Tay Grin FT 2BABA ( Chipapaa ) Malawi
Best African Dance Video
Oudy 1ER (Lokolo) Guinea
Best African Collabo Video
Diamond ft AKA (Make we sing ) Tanzania
Best African group Video
Navy Kenzo (Kamatia ) Tanzania
Best African Male Video
Diamond Platinium ft Psquare ( Kidogo ) Tanzania
Best African Female Video
Vivian Chidid ( Wuyuma) Senegal
Best African Performance
DJ Arafat (Concert a Korkogo) Cote D’Ivorire
Best International Video
Beyonce – Formation (USA)
Best East African Video
Alikiba (Aje) Tanzania
Best Central African Video
Ferre Gola ft Voctoria Kimani (Tucheze) DR Congo
Best North Africa
Ibtissam Tiskat
Best South African Video
Casper Nyvorvest (War Ready)
West Africa Video
DJ Arafat
Best African Video Director
Godfather Kidogo (Nigeria)
Best African Music of the Year
Diamond Platinium ft PSquare (Kidogo) Tanzania
Special Recognition Award Music Video Africa
Mr Eazi ft Efya (Skin Tight) Nigeria

Azam FC, Imevunja Mkataba na makocha Hispania



UONGOZI wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, unapenda kuufahamisha umma kuwa umefikia makubaliano ya pande mbili ya kusitisha mikabata ya makocha wake kutoka nchini Hispania.

Jopo hilo la makocha linaundwa na Kocha Mkuu Zeben Hernandez, Msaidizi wake, Yeray Romero, Kocha wa Makipa Jose Garcia, Kocha wa Viungo, Pablo Borges na Mtaalamu wa tiba za Viungo, Sergio Perez.
\
Uamuzi huo umefikiwa na Bodi ya Wakurugenzi wa timu hiyo jana, na umetokana na mwenendo mbaya wa Azam FC kwenye Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), ambayo imefikia raundi ya pili hivi sasa.

Azam FC inawatakia kila la kheri na mafanikio mema makocha hao huko waendako na inawashukuru kwa mchango wao wote walioutoa kwenye timu kwa kipindi chote walichokaa, ikiwemo kuwapa taji la kwanza la Ngao ya Jamii mwaka huu kwa kuifunga Yanga kwa mikwaju ya penalti 4-1 kufuatia sare ya mabao 2-2.

Wakati huu ambapo uongozi wa Azam FC upo katika mchakato wa kusaka kocha mpya, kikosi hicho kitakuwa chini ya makocha wa timu ya vijana ya timu hiyo, Idd Cheche na Kocha wa Makipa, Idd Abubakar, ambao walianza kazi jana jioni kukiandaa kikosi kuelekea mchezo wa leo dhidi ya Tanzania Prisons.

Azam FC inapenda kuwaambia mashabiki wake kuwa wawe watulivu katika kipindi hiki kwani uongozi umefanya uamuzi sahihi kwa ajili ya kuinyanyua timu juu ili hatimaye ushiriki wetu wa michuano mbalimbali uweze kuwa ni wa kiwango cha juu tofauti na hali ilivyokuwa sasa.


Hernandez anaondoka Azam FC akiwa ameingoza timu hiyo kwenye mechi 18 rasmi ambazo ni za mashindano, 17 za ligi na moja ya Ngao ya Jamii, amefanikiwa kushinda mechi nane, sare sita na kufungwa mara nne.

Monday, December 26, 2016

UAE and Tanzania to Cooperate in Tourism Development



The United Arab Emirates (UAE) and Tanzania have signed an air transport agreement and a Memorandum of Understanding (MoU) for enhanced cooperation in tourism development.

 An air transport agreement is an agreement which two nations sign to allow international commercial air transport services between their territories.
The agreements were signed at the first ministerial meeting of the UAE-Tanzania joint higher committee in Abu Dhabi on December 20th, 2016.
 At the meeting, the two countries also recognized the importance of concluding negotiations regarding the agreement on promotion and protection of investment and the agreement on avoidance of double taxation on income.
”Barriers that hinder free flow of investment between the two trading partners should be removed,” said Al Hashemi, Minister of State for International Cooperation of the UAE. She also explained that the private sector can play an important role in boosting bilateral ties in areas of trade and investment if provided and empowered with adequate means to achieve that.

 Al Hashemi called on both countries to explore business and investment opportunities in vital areas of priority like agriculture, infrastructure, energy and tourism.

 ”The meeting underscores our resolve to build a strategic partnership that does not only contribute towards deepening the bilateral ties based on shared values and visions, but also enables the two countries to advance efforts aimed at realising peace, security and stability in our two regions and beyond,” Augustine Mahiga, Minister of Foreign Affairs and East African Cooperation of Tanzania, said addressing the meeting.

He said he was glad to be in Abu Dhabi and termed the first ministerial meeting of the joint higher committee as ‘ historic’ as it would contribute to further solidifying bilateral relations and co-operation.

UAE Tanzania Relations ​From 2003 to 2016, UAE’s direct accumulative investment in the Tanzania rose to USD991.5m. The trade balance between UAE and Tanzania stands at around USD2b annually.

Tanzania imports mainly refined petroleum products from the UAE, while the UAE is the largest buyer of cloves from Tanzania.

 ”Despite the slight decline of 8.8% in non-oil trade exchange between the two countries from USD1.58b in 2014 to USD1.45b in 2015, Tanzania, occupies the 41st rank in the list of UAE’s non-oil trading partners,” Minister Al Hashemi noted.




Sunday, December 25, 2016

Gas Drilling Commence in Ruvuma Basin


Oil exploration and production company Aminex (LON:AEX) announced that gas drilling at the Ntorya-2 appraisal well in the Ruvuma basin in onshore southern Tanzania recenlty commenced.
The Ntorya-2 well is planned to be drilled to an estimated total depth of 2,860 meters and is targeting the same sandstone channel complex as found at Ntorya-1, but located further up-dip.

The Ntorya-2 appraisal well is located approximately 1,500 meters southwest of the Ntorya-1 discovery well, which flow tested at 20 million cubic feet per day of gas (mmscfd).

Aminex has a 75% operated interest in the well, while the remaining 25% are held by oil and gas investment company Solo Oil (LON:SOLO). Neil Ritson, Solo’s Chairman, commented: “Solo is especially excited that the spud of the Ntorya appraisal well is now imminent since this well has significant upside potential for Solo’s asset holdings in Tanzania.

”’ Tanzania Natural Gas Tanzania has the second largest natural gas reserves in East Africa with more than 57 trillion cubic feet (tcf) so far discovered, behind Mozambique with 100 tcf according to the Energy Information Administration (EIA). The Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) estimates that the country’s gas fields are large enough to make Tanzania the next natural gas hub in Africa.

UK Based Telecom Expand in Tanzania


UK-based data, voice and IP provider for Africa, Liquid Telecom, is set to expand in Tanzania through the acquisition of Raha, the country’s leading internet service provider.

 Liquid Telecom recently announced that it has received the final regulatory approval to become the majority stakeholder of Raha.

 The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) approved the agreement on December 8th, 2016.

Following the acquisition, Tanzania will become the latest market to be added to Liquid Telecom’s extensive fibre network, which is the largest of its kind serving eastern, central and southern Africa, spanning over 40,000km across 12 countries. “We are very pleased to announce that this transaction has received its final approval.

The agreement enables Liquid Telecom to expand its footprint into Tanzania, a growing and dynamic African country,” said Nic Rudnick, CEO of Liquid Telecom.

 “We are thrilled with this approval and look forward to being part of a pan-African connectivity movement,” said Aashiq Shariff, CEO of Raha.

 Raha today serves over 1500 businesses as well as a growing number of retail customers with a range of connectivity solutions, including fibre, satellite, WiMAX and Wi-Fi.

Liquid Telecom has operating companies in the UK and across Africa in Botswana, the DRC, Kenya, Lesotho, Rwanda, South Africa, Uganda and Zambia, and Zimbabwe.

Liquid Telecom is currently working on a new submarine cable set to run along the East African coast and into the Red Sea. The new fibre-optic cable will help boost internet speed and mobile communication in Tanzania.

Tanzania Internet Internet services’ users in Tanzania reached 17.3m in 2015 (34% of total population), compared to only 5.3m (12% of total population) in 2011.

 The number of mobile wireless users also increased significantly during 2011–2015, from 3.7m to 16.2m, accounting for more than 90% of the total number of internet users.

The most common broadband service in Tanzania is given through 2G connections, which offers a speed of up to 0.3 Mbps and is used by 85% of the mobile subscribers in Tanzania. Currently (2016), 3G and 4G services with speeds of up to 8Mbps are being used by 2.53m mobile subscribers across the country.

Tuesday, December 20, 2016

List Kamili Wanaowania tuzo za Africa Magic Viewer’s Choice2016, East Africa ina movie 9



March 5 2016 Tanzania iliingia kwenye headlines baada ya waigizaji wa Tanzania Elizabeth Michael na Single Mtambalike a.k.a Rich kufanikiwa kuchukua Tuzo za Africa Magic Viewer’s Choice zilizotolewa Lagos Nigeria.

Kutoka ndani ya ukumbi wa Intercontinental Hotel jijini Lagos, nimetumiwa list nzima ya Movie, Series na mastaa waliotajwa kuwania tuzo hizo ambapo Tanzania Afrika Mashariki imefanikiwa kuingiza Movie 9 kwenye vipengele viwili. 

Best Soundtrack/Original Score
Oloibiri – Rex Ricketts
93 Days – George Kallis, Tunde Jegede and Banky W
No Good Turn – Brymo
The Encounter – Michael ‘The Truth’ Ogunlade
76 – Hyacinth Ogbu, Daps Agwom, Ukachi Nnachi

Best Cinematographer
Mrs Right Guy – Adze Ugah
93 Days – Yinka Edward
Happiness is a Four Letter Word – Lance Gewer
Oloibiri – Curtis Graham
76 – Yinka Edward

Best Actress in a Drama
Bimbo Akintola – 93 Days
Ivie Okujaye – Slow Country
Rita Dominic – 76
Adesua Etomi – The Arbitration
Zimkhita Nyoka – Vaya
Meg Ottamwa – Derailed
Hannah Ojo – Love is A Prank

Best Supporting Actress
Ivie Okujaye – Something Wicked
Somkele Idhalama – 93 Days
Adunni Ade – It’s Her Day
Ebele Okaro – Four One Love
Kehinde Bankole – 8 Bars and a Clef
Khanyi Mbau – Happiness is a Four Letter Word
Namundi Mbusi – Vaya


Best Supporting Actor Movie/TV series
Gideon Okeke – 93 Days
Warren Vasemole – Vaya
Kofi Adjorlolo – Ghana Must Go
Mpho Sebeng – The Jakes Are Missing
Rotimi Salami – Just Not Married
Nkem Owoh – Ghana Must Go

Best Art Director
76 – Pat Nebo
93 Days – Bola Bello
Oloibiri – Chima Adighije
Happiness is a Four Letter Word – Gary Smith
Ghana Must Go – Godwin Ashong


Best Actor in a Drama
RMD – Oloibiri
Ramsey Nouah – 76
Sambasa Nzeribe – Slow Country
Gregory Ojefua – The Encounter
Olu Jacobs – Oloibiri
Femi Jacobs – Femi Jacobs

Best Actress in a Comedy
Tina Mba – Meet the In-Laws
Uche Jombo – Wives on Strike
Dineo Moeketsi – Mrs Right Guy
Chioma Akpotha – Wives on Strike
Funke Akindele – Jenifa’s Diary
Funke Akindele – A Trip to Jamaica
Omoni Oboli – Wives on Strike

Best Actor in a Comedy
Imeh Umoh Bishop – The Boss is Mine
Ayo Makun – A Trip to Jamaica
Bovi Ugboma – It’s Her Day
Blossom Chukwujekwu – Ghana Must Go
Mike Ezuruonye – Brother Jekwu
Okey Uzoeshi – The Life of a Nigerian Couple
Amechi Munagor – Meet the In-Laws

Best Writer
76 – Emmanuel Okomaiyi
The CEO – Tunde Babalola
A Trip to Jamaica – AY Makun
Oloibiri – Samantha Iwowo
Ghana Must Go – Tunde Babalolo
Vaya – Akin Omotoso


Best Movie West Africa
93 Days
76
Oloibiri
A Trip to Jamaica
The CEO


Best Movie (South Africa)
Mrs Right Guy
Happiness is a Four Letter Word
Vaya
The Jakes Are Missing
All About Love

Best Movie East Africa
Aisha
Kati Kati
Epidemic
Homecoming

Best Overall Movie
Mrs Right Guy
Happiness is a Four Letter Word
Aisha
93 Days
76
Naomba Niseme

Best Short Film or Online Video
Ireti
Loot
Meet the Parents
Cat Face
Light Diaries: Spin Around

Best Documentary
Roots Gambia
Makoko: Futures Afloat
Alison
Amaka’s Kin: The Women of Nollywood
Petra’s Nebatean Heritage
Best Television Series
Jenifa’s Diary
Sokhulu and Partners
Duplicity
Beneath the Lies
Beyond Your Sight: The Police Story


Best Indigenous Language Movie or TV Series (Swahili)
Siri Ya Mtungi (Season 2)
Mganga Bomba
Fihi
Zilizala

Best Indigenous Language Movie or TV Series (Igbo)
Amonye-bu-onye
Obi-Eze
Obi Nwanyi
Mmakwara series
Ikpe Omuma

Best Indigenous Language Movie or TV Series (Hausa)
Salim
Mafarin Tafiya
Yaki Da Zuciya
Maula

Best Indigenous Language Movie or TV Series (Yoruba)
Somewhere In The Dark
Ode Iku
Ajoke Aiye
Tobajewo
Iman

Best Costume Designer
Pat Egwurube- 76
Dele Akinyele/Chelsea Oliver- Oloibiri
Chiemela Nwagboso/ Asantewa Clara Adjoa- Ghana Must Go
Shileola Ibironke and Mojisola Sapara- Casino
Obijie- King Invincible

Best Lighting Designer
Elliot Sewape- 93 Days
Amisu Alade/ Edwin Lau- Oloibiri
Yinka Edwards- 76
Lance Gewer Sasc- Happiness Is a Four Letter Word
Fabian Hooks- A Trip To Jamaica

Best Picture Editor (Movie/TV Series)
Nnodim Chigozie and Paula Peterson- Oloibiri
Vuyani Sondlo- Vaya
Emeka Ojukwu- 76
Antonio Ribeiro- 93 Days
Nicholas Costaras/ Melanie Jankes Golden- Happiness Is A Four Letter Word

Best Sound Editor (Movie/TV Series)
Mike Barnitt- Oloibiri
Pius Fatoke and Mzukisi Mtshiselo- 93 Days
Richard Mohlari/ Dave Hawkins- Vaya
Solomon Emmanuel- 76
Jean Niemandt- Mrs Right Guy

Best Make Up Artist (Movie/ TV Series)
Chinwe Elovah- 76
Hakeem Onilogbo Ajibola/ Perekeme Odon- Oloibiri
Ronwyn Jarrett- Umililo
Thema Ozzy Smith/ Lola Maja-Okojevoh/ Adetunmi Imoteda- 93 Days
Dianne Allen- Happiness Is A Four Letter Word

Best Director

Adze Ugah- Mrs Right Guy
Steve Gukas- 93 Days
Curtis Graham- Oloibiri
Izu Ojukwu- 76
Robert O Peters- A Trip to Jamaica
Frank Rajah-Ghana Must Go

Sweden Grant USD5m to Tanzania to Boost Horticulture Production




The Development Corporation Division (DCD) of Sweden has approved USD5m grant to Tanzania to boost horticulture production.

The funds will be disbursed to the Tanzania Horticultural Association (TAHA) over a period of five years. The deal was signed by Ulf Källsting, Deputy Head of Mission at DCD, in Dar es Salaam on November 28th, 2016. Källsting said that the aim is to add value to horticulture production in Tanzania.

He also added that the funding is in line with Tanzania’s industrialization goals. Jacqueline Mkindi, CEO of TAHA, noted that the funding will help TAHA to develop the horticultural industry in Tanzania, particularly in the Mwanza Lake Zone.

Tanzania Horticulture The main horticultural crops of Tanzania include tomatoes, cabbages, onions, carrots, round potatoes, mangoes, oranges, and flower seeds, among others.

TAHA indicates that the horticultural industry in Tanzania largely depends on smallholder farmers, with export of fruits and vegetables alone being 70% dependent on farmers with land holding less than 2ha.

Tanzania Horticultural Association TAHA is an apex private sector member based organization that advocates for the growth and competitiveness of the horticultural industry in Tanzania.

TAHA safeguards the interest of the private sector and ensures the industry issues are well mainstreamed at the national and international agenda. Since its inception in 2004, TAHA has acted as a voicing platform for producers, traders, exporters and processors of the horticultural products.



Thursday, December 15, 2016

AfDB Approve USD74.9m for Mozambique-Tanzania Road Connection



The African Development Bank (AfDB) recently approved USD71.8m grant and USD3.1m loan to the Government of Mozambique to improve road connectivity with Tanzania.

The road segment Mueda – Negomano in Northern Mozambique represents a missing link on the transport corridor between Mozambique and Tanzania. AfDB will finance the paving of the road for phase I, which includes the construction of an asphalted 70km road section which starts at Negomano, located adjacent to the Ruvuma River, the natural frontier with Tanzania.

The section ends in the locality of Roma.

The improvement of the road will reduce from three to one hour the time to travel between the two localities. That first phase will be complemented by a second one, planned to start in 2019, which will connect Roma to Mueda and includes the construction of a one stop border post.

 “The project is key for traders and road users, who transport goods between Tanzania and Mozambique.

 Following the completion, they will benefit from more direct and shorter journeys to the ports of Pemba in Mozambique and Mtwara in Tanzania, effectively enhancing regional trade” said AfDB Chief Transport Engineer, Aymen Osmannn Wednesday 7 Ali. The new road will extend the paved road recently built in the Tanzanian side, financed by an AfDB project approved in 2012.

The project included the upgrading of the Dodoma-Babati road (188km) in central Tanzania and the Tunduru-Mangaka-Mtambaswala road (204km)in southern Tanzania, near the border with Mozambique. SHARE TWEET PIN SHARE




Friday, December 9, 2016

South Korea to Open Energy Center in Tanzania in 2017

The Government of South Korea plans to open a center for renewable energy technology in Arusha, Tanzania in 2017




. According to local media, the announcement was made by Juliana Pallangyo, Deputy Permanent Secretary in Tanzania’s Ministry of Energy and Minerals in Dar es Salaam on December 2nd, 2016.

 The center, aimed at energy development, will be situated at the Nelson Mandela African Institute of Science and Technology in Arusha.

In November 2016, Tanzania secured USD50m in concessional loans from the Government of South Korea the construction of power transmissions grids, which will be jointly developed with the African Development Bank (AfDB).

 The funds will be provided through the Korea Exim Bank’s Economic Cooperation Development Fund (EDCF), established by the Korean Government in 1987 to assist developing countries through the provision of long-term, low-interest credit. “More recently, there is an increasing demand for infrastructure development in sub-Saharan African countries thanks to the end of civil wars and stable governance.

It is also expected that the middle-income bracket will gradually grow larger. These factors combined are giving reason for Korean companies to look to Africa as a new land of opportunities,” Korea Exim Bank notes.


Moreover, the South Korean Embassy in Tanzania indicates that Tanzania has been selected as one of Korea’s priority partner countries for Official Development Assistance (ODA) starting 2016 “and as a result, the Embassy looks forward to enhanced mutual cooperation with Tanzania through tailored assistance.”


Monday, December 5, 2016

The Truth of Biblical Garden of Eden in Tanzania, Africa


The only seen and proven Garden to date is in Tanzania, where even the remains of the first human was found. It is the only place where you can see the true story of the beginning of human beings.

Location of the Garden of Eden, Rohl's View
by: Gary T. Mayer

Due to my studies in writing my book "New Evidence for Two Human Origins: Discoveries That Harmonize the Bible and Science," I discovered a book by David Rohl that pinpoints the location of the Garden of Eden. It was in northern Iran just east of Lake Urmia. He explains it in his book "Legend: The Genesis of Civilisation [British spelling]." I explain the Hebrew exegesis backing up this view in my blog http//www.garytmayer.blogspot.com. My two articles on the subject are "Where Is the Garden of Eden?" and "The River That Went Out of Eden." One must place the Garden at the heads of the Tigris and Euphrates Rivers.


The 'Out of Africa' Myth !
by: Anonymous 

The 'Out of Africa' theory is a myth designed to promote politically correct racial harmony between all races by attempting to proclaim all races came from Africa. It is not as scientific as it purports to be and is more of a social construct. The same liberal, social construct that says that the concept of race no longer exists!

The fact that "all people out of Africa, EXCEPT for the black man, have the same DNA" does NOT prove that we all came from Africa! It simply means that all white and mixed race (black & white) people outside of Africa share the same DNA and that is caucasoid (white) DNA. [i.e. white people and colored people both have white DNA in them].

This is why they EXCLUDE the African pure black race in these studies of people's DNA outside of Africa. If they included that DNA then you would not be able to compare it to Caucasoid DNA and claim they share DNA.

However the mixed race (coloured) DNA can be made to fit the black and white race DNA since it is a mixture of both. Therefore it is not true that all DNA outside of Africa came from Africa simply because it is shared among, or is common to many different races outside of Africa. Because a colored man has white DNA in him, that does not make all white people colored, and neither does it make all white people black originally !



Garden of Eden
by: REX 

The Garden of Eden was near the headwaters of the Tigris and Euphrates rivers.

Tanzania so-called man is nothing more than an ape, like David has stated.

Before God created anything He had already decided to destroy everything. This world is not here to last forever. It is here for God as a way to do his work. Once His work is finished He will destroy it all. Gods plan is to create a people for Himself. In order for Him to do that He gave His creation the ability to know good and evil.

Once evil entered into the equation God gave control of His creation to man. He knew man could not control good and evil. We see the results of this everyday. War, rumors of war, death, murder, and destruction. When man sinned against God, He left man to his own desires.

They say there are two sides to every story. Man being corrupt knows only one side. God gave man a conscience that either tells us we are wrong or right. The only time God changes anything in this world is when He saves someone. That saved person is then made alive to God.


 When God is through saving all Whom He will save, then this world will be destroyed, and a new Heaven and Earth will be created, where sin will not be an influence anymore. Only God knows when that will be.

Garden of Eden
by: David Sheriff

The common error, I believe, is calling it the Garden of Eden.

The earliest writings are cuneiform by the Sumerians.

These are written as E-din, which is between the Euphrates & Tigris.

Early fossils show Mycene apes that were the first to walk upright, however modern man ( Homo Erectus )and Neanderthals show completely different DNA, which means they were altered deliberately, not by time or evolution.

Tanzania and Zambia to Increase Strengthen Trade and Investment Relations


Tanzania and Zambia have agreed to cooperate for stronger trade and investment relations to benefit the economies of both countries.

 The assurance was given by both countries’ leaders during a recent visit of the Zambian President Edgar Lungu to Tanzania.

For this, Tanzania’s President John Magufuli and President Lungu signed agreements to revitalize the Tanzania Zambia Railway Authority (TAZARA) and the Tanzania Zambia Mafuta (TAZAMA) pipeline.

Magufuli said that TAZARA’s performance has been deteriorating and noted that the cargo volume has dropped from 5m t in 1976 to 128,000t in 2016, while TAZAMA has the capacity to transport 1.1m t of oil per annum but currently it is handling only 600,000t per year.

 In relation to TAZARA, the Presidents of Tanzania and Zambia agreed that the key issues arise from inefficient management.

 For this, they agreed to amend the law, which will therefore allow for recruitment of competent and knowledgeable people to manage TAZARA. President Lungu noted that in addition to reviving TAZAMA, Zambia expects to benefit from the recent gas discoveries in Tanzania.

 During his stay in Tanzania, President Lungu also visited the Tanzania Ports Authority (TPA) and committed to continue using the Dar es Salaam port; however, he advised Tanzania to further improve the cargo handling services at its port.

Magufuli noted that Zambia is one of the leading countries by cargo volume cleared through the Dar es Salaam port with 1.9m t in 2015 and pledged to continue strengthening the port.

Zambia is a landlocked country and most of its goods are exported and imported through the port of Dar es Salaam. Mainly vehicles and refined oil are transported from Dar es Salaam to Zambia and copper is transported from Zambia to the Tanzanian port.




AfDB Lend USD120m to Tanzania to Support Infrastructure and SMEs



The African Development Bank (AfDB) approved a USD120m Line of Credit (LOC) to Tanzania to finance infrastructure and Small and Medium Enterprise (SME) projects.

The LOC is allocated to CRDB, the largest commercial bank in Tanzania, which supports various sectors such as power, manufacturing, agriculture, and SMEs.

 AfDB and CRDB signed the loan agreement in Nairobi, Kenya on November 30th, 2016. By leveraging CRDB’s branch network and agents, the LOC will increase lending to SMEs and women enterprises in both urban and rural areas to create more jobs and to promote inclusive growth for Tanzania’s economy, the AfDB indicates.

 The LOC will also stimulate regional trade and promote regional integration through expanding capacity of the country’s port and airport, which in turn will stimulate tourism and government revenues.

Tonia Kandiero, AfDB’s Resident Representative in Tanzania, when in conversation with TanzaniaInvest, said: “With its geographical location, peace, and political stability, the commitment of Tanzania to regional integration will position the country as a very important player in the economy of Africa in the near future.

” Over the past 5 years, the focus of the AfDB in Tanzania has been mostly on infrastructure development and governance.

 The African Development Bank (AfDB) has recently approved the 2016–2020 concessional resource assistance package for Tanzania worth over USD1.1bn for infrastructure development and better governance.

The loan will be used mainly to fund infrastructure projects in the transport and energy sectors to promote domestic and regional transport connectivity while improving access to reliable, affordable and sustainable electricity.




Tanzania Purchase USD200m Bombardier Aircraft



The Government of Tanzania recently signed a USD200m purchase agreement with Canadian manufacturer Bombardier for two CS300 jetliners and one Q400 turboprop aircraft.

They will be used for commercial airline operations by Air Tanzania Company Limited (ATCL), the national carrier of Tanzania.

The Q400 aircraft will have an all-economy, 76-seat interior with two lavatories. The two CS300 airliners will be configured in a dual-class layout, and will be equipped with WiFi internet and in-flight entertainment.

 “The domestic market in Tanzania as well as the regional market are becoming more competitive as both business and leisure travel are steadily increasing,” said Leonard Chamuriho, Permanent Secretary at Tanzania’s Ministry of Works, Communications and Transport.

 “Therefore it is vital to operate aircraft that offer superb passenger comfort and amenities. Of course, high reliability, operational flexibility, as well as excellent fuel efficiency and economics are also necessary.

Both the Q400 and CS300 aircraft more than satisfy these parameters,” he added. In September 2016, Bombardier delivered two Q400 turboprop airliners to Tanzania following the purchase agreement signed in August 2016.

 “We are delighted that the Q400 aircraft which entered service with Air Tanzania earlier this year are proving their superior economics and versatility.

 The CS300 aircraft will allow Air Tanzania to expand both its domestic and regional markets, and it has the range to open new international destinations such as the Middle East and India at the lowest cost.

The C Series jet aircraft have the right attributes to develop these markets,” said Jean-Paul Boutibou, Vice President, Sales, Africa and the Middle East, Bombardier Commercial Aircraft. 

Air Tanzania ATCL is the flag carrier airline of Tanzania based in Dar es Salaam with its hub at Julius Nyerere International Airport (JNIA). It was established as Air Tanzania Corporation (ATC) in 1977 and wholly owned by the Tanzanian Government until 2002 when it was partially privatized.

 The Government therefore reduced its shareholding to 51% and entered into a partnership with South African Airways. The partnership ended in 2006 when the Government of Tanzania repurchased the shares and the airline became once again a wholly owned government company.




Tuesday, November 29, 2016

UTAFITI WA KWANZA WA CHANJO YA HIV YA ANZA KUSINI MWA AFRICA


Utafiti kuhusu ufanisi wa chanjo ya kwanza ya VVU waaanza huko Afrika Kusini! Je, una imani chanjo hiyo itatokomeza UKIMWI?


Taasisi ya Afya ya Marekani imesema, utafiti kuhusu ufanisi wa chanjo ya kwanza ya VVU utakaodumu kwa miaka saba umeanza nchini Afrika Kusini, ili kujaribu kama chanjo hiyo inaweza kutoa kinga yenye ufanisi dhidi ya virusi vya UKIMWI. Utafiti huo unalenga kuwashirikisha wanaume na wanawake 5,400 wenye umri wa miaka 18 hadi 35, na kuwa majaribio makubwa zaidi ya chanjo ya VVU nchini Afrika Kusini, ambako zaidi ya watu elfu 1 wanaambukizwa virusi hivyo kila siku.

Tumepata maendeleo mengi katika mapambano dhidi ya UKMWI, lakini bado hatujafanikiwa kutokomeza maambukizi ya ugonjwa huo. 

Je, Una imani kuwa sisi binadamu tunaushinda ugonjwa huo? Unadhani itachukua miaka mingapi kupata ushindi wa mwisho katika mapambano hayo dhidi ya UKIMWI?
Copyright © 2015 Dar One
| Distributed By Hotrootnews.blogspot.com