Featured

Friday, February 3, 2017

SERENGETI BOYS YAREJESHWA AFCON, KIJEBA AIPONZA KONGO




Timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Tanzania, Serengeti Boys imerejeshwa kwenye michuano ya Mataifa ya Afrika kwa vijana wa umri huo.

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi akiwa mwenye furaha kubwa amesema jioni ya leo; "Timu ya Taifa ya vijana umri chini ya miaka 17 imefaulu kucheza fainali za Afrika. Hongera Serengeti Boys! Hongera Tanzania!,"amesema Malinzi na kufafanua.


"Tumefaulu kucheza fainali za Afrika. Tulipeleka CAF malalamiko dhidi ya mchezaji wa Kongo Brazaville Langa Bercy kutilia mashaka umri wake. Aliitwa na CAF mara tatu arudie kipimo cha umri hakuja, hivyo Congo. imeondolewa kwenye mashindano," 


Mwanzoni mwa mwezi uliopita, Shirikisho la Soka Afrika (CAF) liliwapa siku 10 Shirikisho la Soka Kongo (FECOFOOT) kumuwasilisha mchezaji Langa Lesse Bercy mjini Libreville, Gabon afanyiwe vipimo vya MRI ili kuthibitisha umri wake kama anaruhusiwa kucheza mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 17.
Katika kikao cha Kamati ya Utendaji ya CAF jana mjini Libreville, FECOFOOT walitakiwa kumpeleka mjini humo Langa Lesse Bercy akafanyiwe vipimo kufuatia malalamiko yaliyowasilishwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), baada ya zoezi hilo kushindikana mara mbili.
Na hatua hiyo ilifuatia Rufaa ya TFF dhidi ya mchezaji huyo baada ya Kongo kuitoa U-17 ya Tanzania katika hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania tiketi ya fainali za mwaka huu zilizopangwa kufanyika Madagascar.
Awali, Kongo walitakiwa kumpeleka mchezaji huyo makao makuu ya CAF mjini Cairo, Misri kwa vipimo, lakini mara mbili wakashindwa kufanya hivyo.
Fainali za U-17 Afrika ilikuwa zifanyike nchini Madagascar kuanzia Aprili mwaka huu, lakini mwezi uliopita CAF iliivua uenyeji na kutoa muda hadi Januari 30 mwaka huu nchi nyingine kujitokeza kuomba uenyeji.

World Bank Approve USD225m for Tanzania Water Supply

World Bank Approve USD225m for Tanzania Water Supply




The World Bank (WB) recently approved USD225m loan to improve access to water supply and sanitation services in Dar es Salaam.

 The funding will also support the strengthening of capacities for integrated water resources planning and management in Tanzania. The loan will benefit up to 1.9m Tanzanian citizens, including 700,000 residents of the country’s largest city, Dar es Salaam.

The WB note that in 2015/2016, the city’s non-revenue water (NRW – water that is produced but is somehow lost in the system) rate reached a high of 53%, against a water service coverage of about 55%.

 “In Dar es Salaam, many citizens, including women and young girls, still spend considerable time collecting water, which takes time away from education and the productive activities so necessary for strengthening their livelihoods,” sayd Bella Bird, WB Country Director for Tanzania, Burundi, Malawi and Somalia.

“This project aims to lessen their burden while contributing to Dar es Salaam’s increased competitiveness and productivity as a critical and vibrant commercial hub of the country,” she added.

 This project also addresses issues such as inadequate coordination among institutions, weak data management and reporting mechanisms, and operational inefficiency.





Tanzania Water Supply In September 2015, the Ministry of Water and Irrigation (MOWI) reported that 7.9m people had gained access to safe water through 584,473 household connections and 5,836 kiosks and public taps; and 527,000 people were connected to the sewerage system.

 MOWI also reported that 2.8m Dar es Salaam residents also achieved access to safe water supply through 152,000 domestic connections and 203 kiosks/public standpipes; while about 326,130 people were connected to the sewerage network.


The WB has supported various initiatives in Tanzania’s water sector including the Rural Water Supply and Sanitation Project (2002–2008); and the Dar es Salaam Water Supply and Sanitation Project (2003–2010).

The two projects provided the foundation for the development of the Government of Tanzania’s Water Sector Development Program (WSDP) in 2006, to which the World Bank provided financing under Water Sector Support Project (2007–2015). The WB indicates that good progress was achieved through the WSDP-1 with the development of vital legal and institutional reforms for effective Integrated Water Resource Management.

These include the completion of integrated water resources management and development plans for six basins (Internal Drainage, Lake Nyasa, Ruvuma and Southern Coast Rivers, Lake Tanganyika, Rufiji River, and Lake Rukwa), with plans currently underway for the remaining three: Pangani, Lake Victoria and the Wami-Ruvu basin in which Dar es Salaam is located.




Germany Government Confirm Namangale Graphite Quality



Australian mining company Volt Resources (ASX:VRC) recently announced that an independent German metallurgical laboratory has confirmed the high quality of the Namangale graphite concentrate.

 The tests also show that the concentrate is highly suitable for producing commercial grade expandable graphite for flame retardant foam and graphite foil, which are two key growth markets for graphite distribution.

The report indicates: “expansion tests of expandable graphite made of flake graphite concentrate from Namangale were very successful compared with product from other origins.” Volt notes that the German group that completed the testwork is a global specialist in graphite testing and analysis.

 “This is highly encouraging news flow for Volt, as proposed regulatory changes in China and Europe for the mandatory use of non-toxic substances in flame retardant building materials could result in substantial future demand for expandable graphite,” the company indicates.

 “Having independent test work confirm the suitability of Volt’s graphite product in the flame retardant building materials market is a key differentiating feature from rivals,” Volt adds. Trevor Matthews, CEO of Volt, commented:

“With recent initial tests in the U.S. confirming the high quality of Volt’s concentrate to be used in lithium-ion batteries, it is very encouraging to have independent confirmation that Namangale graphite concentrate is highly suitable for expandable graphite too.

 The sales and marketing team will be targeting prospective end-user customers globally across a range graphite end-user markets.

  At this point in Volt’s development, it is a significant differentiating feature and competitive edge to be able to deliver concentrate that can make high quality spherical and expandable graphite for various downstream applications.”
Namangale Graphite Project The Namangale graphite project in south-east Tanzania is wholly owned by Volt Resources.

 In Q2 2016, the company signed three Memorandums of Understanding (MoUs) for graphite off-take with some of the largest companies in the lithium-ion battery market: Chinese Optimum Nano, Huzhou Chuangya and Shenzhen Sinuo.

The MoUs cover an annual production of 100,000t of graphite, of which 60,000t with Optimum Nano, 20,000t with Huzhou Chuangya and the remaining 20,000t with Shenzhen Sinuo.

Tanzania Graphite Tanzania’s largest graphite deposits are located in the central and east southern regions of the country. Graphite discoveries in Tanzania come mainly from Australia based graphite developers, Magnis Resources (ASX:MNS), Volt Resources (ASX:VRC) and Kibaran Resources (ASX:KNL).




Tanzania Poultry Industry to Benefit from USD21.4m Grant


Tanzania’s poultry industry will benefit from a four-year USD21.4m grant, aimed at enhancing the country’s poultry production. The grant is provided by the Bill & Melinda Gates Foundation to the World Poultry Foundation (WPF), which will disburse the funds to Tanzania and Nigeria to improve their poultry industries.

 This will be achieved through close collaboration between the WPF and the countries’ governments and private sector partners. The initiative is expected to increase poultry production and productivity through the access of low-input dual purpose birds, increase rural household income, improve household nutrition and empower women.

 “This grant provides us with an opportunity to implement a strategy that creates access of improved genetics to the rural famers, provides technical assistance and training, and offers access to markets that may not have been possible before,” said Randall Ennis, CEO of the WPF.

 “Our goal is to impact 2.5m households across Tanzania and Nigeria by the end of this four-year initiative. Unlike past approaches of delivering free chicks and feed to the rural farmers, this project will focus on training and extension support to build a sustainable value chain,” Ennis said. “Another key component of the project is the establishment of over 1,500 entrepreneurial enterprises – primarily owned and managed by women – that will supply healthy brooded and vaccinated chicks to the rural smallholder farmers,” he added. The WPF is a non-profit organization committed promoting economic development in emerging markets outside of the US by providing education and technical training on poultry production. 


Tanzania Poultry Tanzania’s poultry sub-sector is mainly divided into a traditional and commercial production system. Traditional poultry kept are mainly chicken (90%) with the remaining small proportion being ducks, ostriches, pigeons and geese. According to the Tanzania Poultry Breeders Association (TPBA), traditional chicken shows a high potential to improve food security, household income of rural people, particularly disadvantaged groups such as women and children.

 “Despite traditional chicken being dominant it is still characterized by low production coefficients that are, high chick mortality, low annual egg production, low chick turnover and low annual off take,” the TPBA notes. Low production in traditional chicken is attributed to low genetic potential of indigenous ecotype chicken in terms of growth rate and egg production, poor husbandry practices in terms of low and poor quality nutrition, lack of disease control measures, poor or unavailability of houses and lack of bio-security measures and lack of commercial orientation. Commercial poultry production in Tanzania is still limited because of lack of farmers focused in poultry production, high capital investment, unorganized market of poultry and poultry products, unreliable supply of day old chicks, lack of reliable supply of quality poultry feeds, high veterinary and poultry feed costs and lack of poultry processing industries, the TPBA indicates. Tanzania’s per capita consumption of poultry meat is estimated at about 15 kg per annum.



Saturday, January 21, 2017

China yafungua Milango kwa vijana wa kitanzania


Waziri wa Mambo ya Nje Balozi Augustino Mahiga amesema China imekubali kutoa fursa za masomo nchini mwao kwa vijana wa Tanzania ambao ndiyo watapewa kipaombele cha ajira katika viwanda vitakavyowekezwa na nchi hiyo hapa nchini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali ya Tanzania na Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing baada ya kumalizika kwa hafla ya uzinduzi wa sherehe za maadhimisho ya Mwaka Mpya wa China leo jijini Dar es Salaam.Maadhimisho hayo yanafanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja kuanzia saa 4;00 asubuhi hadi saa 11 jioni na yanatarajiwa kumalizika kesho tarehe 22 Januari 2017.

Akizungumza jijini Dar es salaam leo katika sherehe za maadhimisho ya mwaka mpya wa Kichina unaofahamika kama 'Jogoo', Balozi Mahiga amesema ni wakati sasa kwa watanzania kuchangamkia fursa hiyo ya masomo ili kupata ajira nyingi za watanzania.
Kwa upande wake waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji akizungumza katika sherehe hizo Charles Mwijage amesema kuna miradi mingi ya uwekezaji ya China ambayo itawekezwa hapa nchini ikiwemo bandari na viwanda vitakavyoshughulika na teknolojia mbalimbali 

ULIMWENGU KUTIMKIA LIGI KUU YA SWEDEN MIAKA MIWILI




MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu anaondoka nchini leo kwenda kukamilisha usajili wake klabu ya AFC Eskilstuna ya Ligi Kuu ya Sweden.

Akizungumza na Bin Chombo kimoja cha habari Sports – Online leo, Ulimwengu amesema kwamba baada ya mazungumzo ya awali na klabu hiyo anakwenda kusaini mkataba wa miaka miwili na klabu hiyo, ambayo awali ilikuwa inajulikana kama FC Cafe Opera na Vasby United.

“Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa watu wangu wote wa karibu kama Jamal Kisongo ambao wamekuwa karibu na mimi kwa kipindi chote hiki na kunipa ushauri hadi kufikia maamuzi haya ya kujiunga na timu hii. Tumekataa ofa nyingi sana na kuikubali hii kwa sababu za msingi sana,”alisema.

“Kila kitu ni malengo tu, inategemea na mtu unataka kitu gani katika wakati gani, nakwenda AFC Eskilstuna kucheza mpira kama nilivyocheza TP Mazembe ili nionekane nisogee mbele zaidi,”alisema.

Ulimwengu aliyezaliwa Juni 14, mwaka 1993 aliibukia katika taasisi ya soka Tanzania (TSA) mwaka 2008, kabla ya mwaka 2009 kwenda kuanza kukomazwa Ligi Kuu katika klabu ya Moro United alikokuwa akicheza kwa mkopo hadi mwaka 2010 alipokwenda akademi ya Athletic FC ya Sweden, alikocheza hadi 2011 TP Mazembe alipochukuliwa na timu ya vijana ya Mazembe.


Alicheza U-20 ya Mazembe kwa msimu moja kabla ya kupandishwa rasmi timu ya wakubwa mwaka 2012 na moja kwa moja kuwa mchezaji wa kikosi cha kwanza hadi anamaliza Mkataba wake Oktoba mwaka jana.

Ulimwengu anajivunia kushinda mataji makubwa akiwa na  Mazembe kama Ligi ya Mabingwa Afrika, Super Cup ya Afrika na pamoja na kucheza Klabu Bingwa ya Dunia.

Ulimwengu alisema kwamba anashukuru Mungu ndoto zake za kucheza Ligi Kuu Ulaya zinatimia na ataitumia AFC Eskilstuna kama daraja la kupandia timu kubwa barani humo.

Wednesday, January 18, 2017

Tanzania Transport Sector Record 12.2% Growth in Q3 2016



Tanzania’s transport sector grew at a rate of 12.2% in Q3 2016 reaching TZS865b at constant prices, compared to TZS771b in Q3 2015 and a growth rate of 6.7%.

 The results were included in a report recently issued by the Tanzanian National Bureau of Statistics (NBS), covering the country’s GDP performances for Q3 2016.

 NBS attributes the growth to a rise in the number of passengers and cargo transported by road and rail, as well as increased transportation of natural gas via pipelines.

 The report indicates that natural gas transported via pipelines in Tanzania rose by 32.4%, from 8,353m standard cubic feet (MMSCF) in Q3 2015 to 11,060 MMSCF in Q3 2016. 

This follows the inauguration of the 532km long Mtwara-Dar es Salaam natural gas pipeline in October 2015, which has a capacity to transport up to 210m cubic feet per day (MMCFD). Furthermore, the number of rail passengers in Tanzania increased by more than 400%, from 230,000 in Q3 2015 to 1.2m in Q3 2016. 

Tanzania’s rail freight rose by 31%, from 75,000t in Q3 2015 to 98,000t in Q3 2016.




Lindi to Produce Up to 40,000 Tons Graphite Concentrate per Year



Australia-based mineral exploration company Walkabout Resources (ASX:WKT) estimates that the annual production target of its Lindi Jumbo Graphite Project in southeastern Tanzania is between 25,000t and 40,000t of graphite concentrate.

 The projection is based on the results of a recently conducted scoping study for a proposed open pit mine and graphite processing plant at the Lindi project.

The study shows that the mine production rate is between 150,000t per annum for the 25,000 option and 250,000t for the 40,000 option.
 The operating cost per ton in concentrate is estimated at USD290 to USD350, which is the second lowest amongst peer group and lowest in Tanzania.

Moreover, the study indicates that the project is economically viable even at current “10 year low” prices. Walkabout Resources is currently in discussion with various parties regarding potential off-take deals or funding opportunities for the project.

“The Company believes that the highly robust economics, relative efficient capital intensity, premium products produced, and project size and approach will all facilitate successful fund raising for the project,” Walkabout notes.

 Lindi Graphite Project The Lindi Jumbo Graphite Project is located in the emerging graphite province in southeastern Tanzania approximately 75km to the west of the coastal town of Lindi.

 In 2015, Walkabout entered into a Memorandum of Understanding (MoU) for a staged purchase of 70% of four prospecting licenses (PL’s 9992/2014, 9993/2014, 9994/2014 and 9906/2014) totaling 325km2.

 Currently, the company holds 70% of four licenses at Lindi Jumbo with an option to acquire the remaining 30% share (currently owned by joint venture partners).

n December 2016, Walkabout announced that the Lindi high grade mineral resource increased from 11.7m tons to 29.6m tons (+165%), containing 3.25m tons of graphite. In October 2016, the company announced that it will focus on expandable and battery markets following the first set of tests on the Lindi graphite conducted by an independent German laboratory, NGS Trading and Consulting.




Okwi avunja mkataba na Sonderjyske Fodbold, Kurejea Simba?


Mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda,  Emmanuel Okwi ameachana rasmi na klabu ya  Sonderjyske Fodbold ya Denmark kwa makubaliano ya pande zote kuamua kusitisha mkataba.

Kwa mujibu wa mkurugenzi wa michezo wa klabu hiyo ya Danish Superliga Jorgen Haysen uamuzi huo umefikiwa baada ya Okwi kushindwa kupata nafasi ya kucheza mara kwa mara katika kikosi cha kwanza.
“Okwi hakuwa anapata nafasi ya kucheza mara kwa mara kwenye kikosi chetu, na matumaini ya kupata nafasi yamekuwa ya chini sana. Matokeo yake tumekubaliana kububja mkataba, tunamtakia kila la kheri huko mbeleni.’
Klabu hiyo ilimsaini Okwi mnamo July 2015 kwa mkataba wa miaka 5 akitokea klabu ya Simba SC ya Tanzania bara.
Katika dirisha la usajili lililopita kulikuwa na taarifa kwamba mchezaji huyo alikuwa njiani kurejea Msimbazi, hata hivyo ilishindikana kutokana na ada ya usajili waliyokuwa wanataka Sonderjyske Fodbold. 

Monday, January 16, 2017

CAF YAIPA NAFASI YA UPENDELEO CONGO



Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu (CAF), limetoa nafasi ya mwisho kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Jamhuri ya Congo (FECOFOOT) kumpeleka mchezaji Langa Lesse Bercy jijini Libreville, Gabon kwa ajili ya kipimo kipya cha MRI ili kutambua umri wake.

CAF limetaka FECOFOOT kumpeleka mchezaji huyo huko Libreville, Gabon ndani ya siku 10 zijazo kuanzia jana Januari 12, 2017.

CAF limepata kumwita mchezaji huyo mara mbili mwaka jana, na FECOFOOT imeshindwa kumpeleka kwa sababu mbalimbali wanazozijua FECOFOOT.

Kwa mujibu wa kanuni za mashindano ya kimataifa ya vijana wenye umri wa chini ya miaka 17, vijana waliohitajika kucheza ni wale wenye umri wa chini ya miaka 17.

Langa Lesse Bercy, amelalamikiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwamba amezidi umri hivyo kuhitajika kumpeleka kwani hakustahili kucheza hatua ya kufuzu kwa michuano hiyo ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana.

Fainali za vijana zinatarajiwa kufanyika katika nchi nyingine itakayotangazwa hapo baadaye baada ya Madagascar kuondolewa kuandaa fainali hizo baada ya kubainika kutokamilisha baadhi ya taratibu.

Hii inatokana na ripoti ambayo CAF wameipata kutoka kwa wakaguzi wa maandalizi ya fainali hizo. CAF imefungua kandarasi ya kwa nchi wanachama wengine kuandaa fainali hizo. Mwisho wa kupokea maombi ni Januari 30, mwaka huu.

Kadhalika Kamati ya Utendaji ya CAF, imemteua Rais wa zamani wa TFF, Leodegar Chilla Tenga kuwania nafasi ya uwakilishi katika Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA).

Katika nafasi hiyo kutoka nchi za Afrika zinazozungumza Kiingereza, Tenga atachuana na Rais wa zamani wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Zambia, Kalusha Bwalya na Kwesi Nyantakyi wa Ghana.

Wengine waliopitishwa kuwania nafasi ya uwakilishi katika Kamati ya Utendaji ya FIFA kutoka nchi za Afrika ni Tarek Bouchamaoui wa Tunisia ambaye anaingia kwenye kundi la nchi zinazozungumza lugha za Kiarabu, Kireno na Kihispaniola.


Kwa nchi zinazozungumza lugha ya Kifaransa wamo Constant Omari Selemani wa DR Congo na Augustin Sidy Diallo wa Cote d’Ivoire wakati nafasi nyingine za wazi ihuhusisha mwanamke mmoja, wamo Almamy Kabele Camara (Guinea), Chabur Goc (South Sudan), Danny Jordaan (Afrika Kusini), Hani Abo Rida (Misri) na Lydia Nsekera (Burundi).

Tanzania GDP Growth Slows to 6.2% in Q3 2016



Tanzania’s GDP grew at a rate of 6.2% in Q3 2016 reaching TZS11.6tn at constant prices, compared to TZS10.8tn and a growth rate of 7.3% in Q3 2015.

The results were included in a report recently issued by the Tanzanian National Bureau of Statistics (NBS), covering the country’s GDP performances Q3 2016 GDP.

 NBS notes that in Q3 2016, the mining and quarrying sector recorded the highest growth rate of 19.9%, followed by water supply (14.5%), and information and communication (14.3%).

 The overall GDP growth rate was also attributed by significant increase in transport and storage (12.2%), generation of electricity (11.8%), and financial and insurance services (8.8%).

However, agriculture and real estate recorded lower growth rates of 0.3% and 2.3% respectively. GDP Growth in East Africa In the East Africa Region, the economic performance observed during Q3 2016 shows that, Kenya’s economy expanded at a rate of 5.7% compared to 6% in Q3 2015.

Rwanda’s GDP grew at a rate of 5.2% in Q3 2016 compared to 5.9% in the corresponding quarter of 2015.

 Uganda’s economy grew at a rate of negative 0.2% in Q3 2016, compared to a growth rate of 1% in Q3 2015.

 Tanzania GDP Tanzania’s annual GDP growth rate averaged 7% over the past 5 years, making it one of the 20 fastest growing economies in the world and beating the Sub-Saharan Africa average GDP growth rate of 4.4% during the same period.

The Bank of Tanzania (BOT) forecasts in its latest State of the Economy report from September 2016, that in 2016 the country will achieve its goal of 7.2% annual GDP growth thanks to favorable economic activity.



According to the International Monetary Fund (IMF) the economy of Tanzania will grow by 7.2% in 2016 and by 7.1% in 2017, while the World Bank (WB) estimates for the same period are 6.8% and 7%. During the same period the WB estimates that the Sub-Saharan region’s GDP is projected to grow by 4% in 2016, and 5.1% in 2017. The WB notes that in the coming years, Tanzania’s economic growth will be driven by hospitality, construction, finance, and trade.

Read more at: http://www.tanzaniainvest.com/economy/gdp-growth-q3-2016 and follow us on www.twitter.com/tanzaniainvest 

Thursday, January 12, 2017

Tazama picha Tano za meli kubwa AZAM SEA LINK ikiwasili Zanzibar




Meli kubwa zaidi  afrika mashari na ya kisas AZAM SEA LINK aina ya RORO iliwasili katika bandari ya Zanzibar jana tayari kwa kunza  safari zake kati ya Dar as Salaam na Zanzibar.


Meli hiyo yenye uwezo mkubwa wa kubeba abiria wapatao 1650,mizigo uzito wa tani 717,sambamba namagari 150  meli hii inatarjiwa kurahisiha zaidi mawasiliano kati ya pandezote mbili  na kuchochea shugulu za kiuchumi 

Copyright © 2015 Dar One
| Distributed By Hotrootnews.blogspot.com