Thursday, January 12, 2017

Tazama picha Tano za meli kubwa AZAM SEA LINK ikiwasili Zanzibar




Meli kubwa zaidi  afrika mashari na ya kisas AZAM SEA LINK aina ya RORO iliwasili katika bandari ya Zanzibar jana tayari kwa kunza  safari zake kati ya Dar as Salaam na Zanzibar.


Meli hiyo yenye uwezo mkubwa wa kubeba abiria wapatao 1650,mizigo uzito wa tani 717,sambamba namagari 150  meli hii inatarjiwa kurahisiha zaidi mawasiliano kati ya pandezote mbili  na kuchochea shugulu za kiuchumi 

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2015 Dar One
| Distributed By Hotrootnews.blogspot.com