Monday, November 14, 2016

Pascal Wawa kutimkia El Emerreikh inchini Sudan



Beki wa kati wa kimataifa wa Ivory Coast aliyekuwa anaichezea klabu ya Azam FC ya Dar es Slaam Tanzania Pascal Wawa, leo November 14 2016 habari zilizoenea katika mitandao ya kijamii kuhusu beki huyo ni kuwa amesaini El Emerreikh ya Sudan.
Wawa ameamua kurudi El Merreikh ya Sudan kwa kusaini mkataba wa miaka miwili wa kutumikia klabu hiyo, ambayo awali aliwahi kuichezea kwa kipindi cha miaka minne.

Pascal Wawa alijiunga na Azam FC mwaka 2014 akitokea klabu ya El Marreikh ya Sudan mwaka, na amefanikiwa  kuichezea Azam FC katika kipindi cha misimu miwili.

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2015 Dar One
| Distributed By Hotrootnews.blogspot.com