Featured

Friday, February 3, 2017

World Bank Approve USD225m for Tanzania Water Supply

World Bank Approve USD225m for Tanzania Water Supply




The World Bank (WB) recently approved USD225m loan to improve access to water supply and sanitation services in Dar es Salaam.

 The funding will also support the strengthening of capacities for integrated water resources planning and management in Tanzania. The loan will benefit up to 1.9m Tanzanian citizens, including 700,000 residents of the country’s largest city, Dar es Salaam.

The WB note that in 2015/2016, the city’s non-revenue water (NRW – water that is produced but is somehow lost in the system) rate reached a high of 53%, against a water service coverage of about 55%.

 “In Dar es Salaam, many citizens, including women and young girls, still spend considerable time collecting water, which takes time away from education and the productive activities so necessary for strengthening their livelihoods,” sayd Bella Bird, WB Country Director for Tanzania, Burundi, Malawi and Somalia.

“This project aims to lessen their burden while contributing to Dar es Salaam’s increased competitiveness and productivity as a critical and vibrant commercial hub of the country,” she added.

 This project also addresses issues such as inadequate coordination among institutions, weak data management and reporting mechanisms, and operational inefficiency.





Tanzania Water Supply In September 2015, the Ministry of Water and Irrigation (MOWI) reported that 7.9m people had gained access to safe water through 584,473 household connections and 5,836 kiosks and public taps; and 527,000 people were connected to the sewerage system.

 MOWI also reported that 2.8m Dar es Salaam residents also achieved access to safe water supply through 152,000 domestic connections and 203 kiosks/public standpipes; while about 326,130 people were connected to the sewerage network.


The WB has supported various initiatives in Tanzania’s water sector including the Rural Water Supply and Sanitation Project (2002–2008); and the Dar es Salaam Water Supply and Sanitation Project (2003–2010).

The two projects provided the foundation for the development of the Government of Tanzania’s Water Sector Development Program (WSDP) in 2006, to which the World Bank provided financing under Water Sector Support Project (2007–2015). The WB indicates that good progress was achieved through the WSDP-1 with the development of vital legal and institutional reforms for effective Integrated Water Resource Management.

These include the completion of integrated water resources management and development plans for six basins (Internal Drainage, Lake Nyasa, Ruvuma and Southern Coast Rivers, Lake Tanganyika, Rufiji River, and Lake Rukwa), with plans currently underway for the remaining three: Pangani, Lake Victoria and the Wami-Ruvu basin in which Dar es Salaam is located.




Germany Government Confirm Namangale Graphite Quality



Australian mining company Volt Resources (ASX:VRC) recently announced that an independent German metallurgical laboratory has confirmed the high quality of the Namangale graphite concentrate.

 The tests also show that the concentrate is highly suitable for producing commercial grade expandable graphite for flame retardant foam and graphite foil, which are two key growth markets for graphite distribution.

The report indicates: “expansion tests of expandable graphite made of flake graphite concentrate from Namangale were very successful compared with product from other origins.” Volt notes that the German group that completed the testwork is a global specialist in graphite testing and analysis.

 “This is highly encouraging news flow for Volt, as proposed regulatory changes in China and Europe for the mandatory use of non-toxic substances in flame retardant building materials could result in substantial future demand for expandable graphite,” the company indicates.

 “Having independent test work confirm the suitability of Volt’s graphite product in the flame retardant building materials market is a key differentiating feature from rivals,” Volt adds. Trevor Matthews, CEO of Volt, commented:

“With recent initial tests in the U.S. confirming the high quality of Volt’s concentrate to be used in lithium-ion batteries, it is very encouraging to have independent confirmation that Namangale graphite concentrate is highly suitable for expandable graphite too.

 The sales and marketing team will be targeting prospective end-user customers globally across a range graphite end-user markets.

  At this point in Volt’s development, it is a significant differentiating feature and competitive edge to be able to deliver concentrate that can make high quality spherical and expandable graphite for various downstream applications.”
Namangale Graphite Project The Namangale graphite project in south-east Tanzania is wholly owned by Volt Resources.

 In Q2 2016, the company signed three Memorandums of Understanding (MoUs) for graphite off-take with some of the largest companies in the lithium-ion battery market: Chinese Optimum Nano, Huzhou Chuangya and Shenzhen Sinuo.

The MoUs cover an annual production of 100,000t of graphite, of which 60,000t with Optimum Nano, 20,000t with Huzhou Chuangya and the remaining 20,000t with Shenzhen Sinuo.

Tanzania Graphite Tanzania’s largest graphite deposits are located in the central and east southern regions of the country. Graphite discoveries in Tanzania come mainly from Australia based graphite developers, Magnis Resources (ASX:MNS), Volt Resources (ASX:VRC) and Kibaran Resources (ASX:KNL).




Tanzania Poultry Industry to Benefit from USD21.4m Grant


Tanzania’s poultry industry will benefit from a four-year USD21.4m grant, aimed at enhancing the country’s poultry production. The grant is provided by the Bill & Melinda Gates Foundation to the World Poultry Foundation (WPF), which will disburse the funds to Tanzania and Nigeria to improve their poultry industries.

 This will be achieved through close collaboration between the WPF and the countries’ governments and private sector partners. The initiative is expected to increase poultry production and productivity through the access of low-input dual purpose birds, increase rural household income, improve household nutrition and empower women.

 “This grant provides us with an opportunity to implement a strategy that creates access of improved genetics to the rural famers, provides technical assistance and training, and offers access to markets that may not have been possible before,” said Randall Ennis, CEO of the WPF.

 “Our goal is to impact 2.5m households across Tanzania and Nigeria by the end of this four-year initiative. Unlike past approaches of delivering free chicks and feed to the rural farmers, this project will focus on training and extension support to build a sustainable value chain,” Ennis said. “Another key component of the project is the establishment of over 1,500 entrepreneurial enterprises – primarily owned and managed by women – that will supply healthy brooded and vaccinated chicks to the rural smallholder farmers,” he added. The WPF is a non-profit organization committed promoting economic development in emerging markets outside of the US by providing education and technical training on poultry production. 


Tanzania Poultry Tanzania’s poultry sub-sector is mainly divided into a traditional and commercial production system. Traditional poultry kept are mainly chicken (90%) with the remaining small proportion being ducks, ostriches, pigeons and geese. According to the Tanzania Poultry Breeders Association (TPBA), traditional chicken shows a high potential to improve food security, household income of rural people, particularly disadvantaged groups such as women and children.

 “Despite traditional chicken being dominant it is still characterized by low production coefficients that are, high chick mortality, low annual egg production, low chick turnover and low annual off take,” the TPBA notes. Low production in traditional chicken is attributed to low genetic potential of indigenous ecotype chicken in terms of growth rate and egg production, poor husbandry practices in terms of low and poor quality nutrition, lack of disease control measures, poor or unavailability of houses and lack of bio-security measures and lack of commercial orientation. Commercial poultry production in Tanzania is still limited because of lack of farmers focused in poultry production, high capital investment, unorganized market of poultry and poultry products, unreliable supply of day old chicks, lack of reliable supply of quality poultry feeds, high veterinary and poultry feed costs and lack of poultry processing industries, the TPBA indicates. Tanzania’s per capita consumption of poultry meat is estimated at about 15 kg per annum.



Saturday, January 21, 2017

China yafungua Milango kwa vijana wa kitanzania


Waziri wa Mambo ya Nje Balozi Augustino Mahiga amesema China imekubali kutoa fursa za masomo nchini mwao kwa vijana wa Tanzania ambao ndiyo watapewa kipaombele cha ajira katika viwanda vitakavyowekezwa na nchi hiyo hapa nchini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali ya Tanzania na Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing baada ya kumalizika kwa hafla ya uzinduzi wa sherehe za maadhimisho ya Mwaka Mpya wa China leo jijini Dar es Salaam.Maadhimisho hayo yanafanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja kuanzia saa 4;00 asubuhi hadi saa 11 jioni na yanatarajiwa kumalizika kesho tarehe 22 Januari 2017.

Akizungumza jijini Dar es salaam leo katika sherehe za maadhimisho ya mwaka mpya wa Kichina unaofahamika kama 'Jogoo', Balozi Mahiga amesema ni wakati sasa kwa watanzania kuchangamkia fursa hiyo ya masomo ili kupata ajira nyingi za watanzania.
Kwa upande wake waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji akizungumza katika sherehe hizo Charles Mwijage amesema kuna miradi mingi ya uwekezaji ya China ambayo itawekezwa hapa nchini ikiwemo bandari na viwanda vitakavyoshughulika na teknolojia mbalimbali 

ULIMWENGU KUTIMKIA LIGI KUU YA SWEDEN MIAKA MIWILI




MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu anaondoka nchini leo kwenda kukamilisha usajili wake klabu ya AFC Eskilstuna ya Ligi Kuu ya Sweden.

Akizungumza na Bin Chombo kimoja cha habari Sports – Online leo, Ulimwengu amesema kwamba baada ya mazungumzo ya awali na klabu hiyo anakwenda kusaini mkataba wa miaka miwili na klabu hiyo, ambayo awali ilikuwa inajulikana kama FC Cafe Opera na Vasby United.

“Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa watu wangu wote wa karibu kama Jamal Kisongo ambao wamekuwa karibu na mimi kwa kipindi chote hiki na kunipa ushauri hadi kufikia maamuzi haya ya kujiunga na timu hii. Tumekataa ofa nyingi sana na kuikubali hii kwa sababu za msingi sana,”alisema.

“Kila kitu ni malengo tu, inategemea na mtu unataka kitu gani katika wakati gani, nakwenda AFC Eskilstuna kucheza mpira kama nilivyocheza TP Mazembe ili nionekane nisogee mbele zaidi,”alisema.

Ulimwengu aliyezaliwa Juni 14, mwaka 1993 aliibukia katika taasisi ya soka Tanzania (TSA) mwaka 2008, kabla ya mwaka 2009 kwenda kuanza kukomazwa Ligi Kuu katika klabu ya Moro United alikokuwa akicheza kwa mkopo hadi mwaka 2010 alipokwenda akademi ya Athletic FC ya Sweden, alikocheza hadi 2011 TP Mazembe alipochukuliwa na timu ya vijana ya Mazembe.


Alicheza U-20 ya Mazembe kwa msimu moja kabla ya kupandishwa rasmi timu ya wakubwa mwaka 2012 na moja kwa moja kuwa mchezaji wa kikosi cha kwanza hadi anamaliza Mkataba wake Oktoba mwaka jana.

Ulimwengu anajivunia kushinda mataji makubwa akiwa na  Mazembe kama Ligi ya Mabingwa Afrika, Super Cup ya Afrika na pamoja na kucheza Klabu Bingwa ya Dunia.

Ulimwengu alisema kwamba anashukuru Mungu ndoto zake za kucheza Ligi Kuu Ulaya zinatimia na ataitumia AFC Eskilstuna kama daraja la kupandia timu kubwa barani humo.

Wednesday, January 18, 2017

Tanzania Transport Sector Record 12.2% Growth in Q3 2016



Tanzania’s transport sector grew at a rate of 12.2% in Q3 2016 reaching TZS865b at constant prices, compared to TZS771b in Q3 2015 and a growth rate of 6.7%.

 The results were included in a report recently issued by the Tanzanian National Bureau of Statistics (NBS), covering the country’s GDP performances for Q3 2016.

 NBS attributes the growth to a rise in the number of passengers and cargo transported by road and rail, as well as increased transportation of natural gas via pipelines.

 The report indicates that natural gas transported via pipelines in Tanzania rose by 32.4%, from 8,353m standard cubic feet (MMSCF) in Q3 2015 to 11,060 MMSCF in Q3 2016. 

This follows the inauguration of the 532km long Mtwara-Dar es Salaam natural gas pipeline in October 2015, which has a capacity to transport up to 210m cubic feet per day (MMCFD). Furthermore, the number of rail passengers in Tanzania increased by more than 400%, from 230,000 in Q3 2015 to 1.2m in Q3 2016. 

Tanzania’s rail freight rose by 31%, from 75,000t in Q3 2015 to 98,000t in Q3 2016.




Lindi to Produce Up to 40,000 Tons Graphite Concentrate per Year



Australia-based mineral exploration company Walkabout Resources (ASX:WKT) estimates that the annual production target of its Lindi Jumbo Graphite Project in southeastern Tanzania is between 25,000t and 40,000t of graphite concentrate.

 The projection is based on the results of a recently conducted scoping study for a proposed open pit mine and graphite processing plant at the Lindi project.

The study shows that the mine production rate is between 150,000t per annum for the 25,000 option and 250,000t for the 40,000 option.
 The operating cost per ton in concentrate is estimated at USD290 to USD350, which is the second lowest amongst peer group and lowest in Tanzania.

Moreover, the study indicates that the project is economically viable even at current “10 year low” prices. Walkabout Resources is currently in discussion with various parties regarding potential off-take deals or funding opportunities for the project.

“The Company believes that the highly robust economics, relative efficient capital intensity, premium products produced, and project size and approach will all facilitate successful fund raising for the project,” Walkabout notes.

 Lindi Graphite Project The Lindi Jumbo Graphite Project is located in the emerging graphite province in southeastern Tanzania approximately 75km to the west of the coastal town of Lindi.

 In 2015, Walkabout entered into a Memorandum of Understanding (MoU) for a staged purchase of 70% of four prospecting licenses (PL’s 9992/2014, 9993/2014, 9994/2014 and 9906/2014) totaling 325km2.

 Currently, the company holds 70% of four licenses at Lindi Jumbo with an option to acquire the remaining 30% share (currently owned by joint venture partners).

n December 2016, Walkabout announced that the Lindi high grade mineral resource increased from 11.7m tons to 29.6m tons (+165%), containing 3.25m tons of graphite. In October 2016, the company announced that it will focus on expandable and battery markets following the first set of tests on the Lindi graphite conducted by an independent German laboratory, NGS Trading and Consulting.




Okwi avunja mkataba na Sonderjyske Fodbold, Kurejea Simba?


Mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda,  Emmanuel Okwi ameachana rasmi na klabu ya  Sonderjyske Fodbold ya Denmark kwa makubaliano ya pande zote kuamua kusitisha mkataba.

Kwa mujibu wa mkurugenzi wa michezo wa klabu hiyo ya Danish Superliga Jorgen Haysen uamuzi huo umefikiwa baada ya Okwi kushindwa kupata nafasi ya kucheza mara kwa mara katika kikosi cha kwanza.
“Okwi hakuwa anapata nafasi ya kucheza mara kwa mara kwenye kikosi chetu, na matumaini ya kupata nafasi yamekuwa ya chini sana. Matokeo yake tumekubaliana kububja mkataba, tunamtakia kila la kheri huko mbeleni.’
Klabu hiyo ilimsaini Okwi mnamo July 2015 kwa mkataba wa miaka 5 akitokea klabu ya Simba SC ya Tanzania bara.
Katika dirisha la usajili lililopita kulikuwa na taarifa kwamba mchezaji huyo alikuwa njiani kurejea Msimbazi, hata hivyo ilishindikana kutokana na ada ya usajili waliyokuwa wanataka Sonderjyske Fodbold. 

Monday, January 16, 2017

CAF YAIPA NAFASI YA UPENDELEO CONGO



Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu (CAF), limetoa nafasi ya mwisho kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Jamhuri ya Congo (FECOFOOT) kumpeleka mchezaji Langa Lesse Bercy jijini Libreville, Gabon kwa ajili ya kipimo kipya cha MRI ili kutambua umri wake.

CAF limetaka FECOFOOT kumpeleka mchezaji huyo huko Libreville, Gabon ndani ya siku 10 zijazo kuanzia jana Januari 12, 2017.

CAF limepata kumwita mchezaji huyo mara mbili mwaka jana, na FECOFOOT imeshindwa kumpeleka kwa sababu mbalimbali wanazozijua FECOFOOT.

Kwa mujibu wa kanuni za mashindano ya kimataifa ya vijana wenye umri wa chini ya miaka 17, vijana waliohitajika kucheza ni wale wenye umri wa chini ya miaka 17.

Langa Lesse Bercy, amelalamikiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwamba amezidi umri hivyo kuhitajika kumpeleka kwani hakustahili kucheza hatua ya kufuzu kwa michuano hiyo ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana.

Fainali za vijana zinatarajiwa kufanyika katika nchi nyingine itakayotangazwa hapo baadaye baada ya Madagascar kuondolewa kuandaa fainali hizo baada ya kubainika kutokamilisha baadhi ya taratibu.

Hii inatokana na ripoti ambayo CAF wameipata kutoka kwa wakaguzi wa maandalizi ya fainali hizo. CAF imefungua kandarasi ya kwa nchi wanachama wengine kuandaa fainali hizo. Mwisho wa kupokea maombi ni Januari 30, mwaka huu.

Kadhalika Kamati ya Utendaji ya CAF, imemteua Rais wa zamani wa TFF, Leodegar Chilla Tenga kuwania nafasi ya uwakilishi katika Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA).

Katika nafasi hiyo kutoka nchi za Afrika zinazozungumza Kiingereza, Tenga atachuana na Rais wa zamani wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Zambia, Kalusha Bwalya na Kwesi Nyantakyi wa Ghana.

Wengine waliopitishwa kuwania nafasi ya uwakilishi katika Kamati ya Utendaji ya FIFA kutoka nchi za Afrika ni Tarek Bouchamaoui wa Tunisia ambaye anaingia kwenye kundi la nchi zinazozungumza lugha za Kiarabu, Kireno na Kihispaniola.


Kwa nchi zinazozungumza lugha ya Kifaransa wamo Constant Omari Selemani wa DR Congo na Augustin Sidy Diallo wa Cote d’Ivoire wakati nafasi nyingine za wazi ihuhusisha mwanamke mmoja, wamo Almamy Kabele Camara (Guinea), Chabur Goc (South Sudan), Danny Jordaan (Afrika Kusini), Hani Abo Rida (Misri) na Lydia Nsekera (Burundi).

Tanzania GDP Growth Slows to 6.2% in Q3 2016



Tanzania’s GDP grew at a rate of 6.2% in Q3 2016 reaching TZS11.6tn at constant prices, compared to TZS10.8tn and a growth rate of 7.3% in Q3 2015.

The results were included in a report recently issued by the Tanzanian National Bureau of Statistics (NBS), covering the country’s GDP performances Q3 2016 GDP.

 NBS notes that in Q3 2016, the mining and quarrying sector recorded the highest growth rate of 19.9%, followed by water supply (14.5%), and information and communication (14.3%).

 The overall GDP growth rate was also attributed by significant increase in transport and storage (12.2%), generation of electricity (11.8%), and financial and insurance services (8.8%).

However, agriculture and real estate recorded lower growth rates of 0.3% and 2.3% respectively. GDP Growth in East Africa In the East Africa Region, the economic performance observed during Q3 2016 shows that, Kenya’s economy expanded at a rate of 5.7% compared to 6% in Q3 2015.

Rwanda’s GDP grew at a rate of 5.2% in Q3 2016 compared to 5.9% in the corresponding quarter of 2015.

 Uganda’s economy grew at a rate of negative 0.2% in Q3 2016, compared to a growth rate of 1% in Q3 2015.

 Tanzania GDP Tanzania’s annual GDP growth rate averaged 7% over the past 5 years, making it one of the 20 fastest growing economies in the world and beating the Sub-Saharan Africa average GDP growth rate of 4.4% during the same period.

The Bank of Tanzania (BOT) forecasts in its latest State of the Economy report from September 2016, that in 2016 the country will achieve its goal of 7.2% annual GDP growth thanks to favorable economic activity.



According to the International Monetary Fund (IMF) the economy of Tanzania will grow by 7.2% in 2016 and by 7.1% in 2017, while the World Bank (WB) estimates for the same period are 6.8% and 7%. During the same period the WB estimates that the Sub-Saharan region’s GDP is projected to grow by 4% in 2016, and 5.1% in 2017. The WB notes that in the coming years, Tanzania’s economic growth will be driven by hospitality, construction, finance, and trade.

Read more at: http://www.tanzaniainvest.com/economy/gdp-growth-q3-2016 and follow us on www.twitter.com/tanzaniainvest 

Thursday, January 12, 2017

Tazama picha Tano za meli kubwa AZAM SEA LINK ikiwasili Zanzibar




Meli kubwa zaidi  afrika mashari na ya kisas AZAM SEA LINK aina ya RORO iliwasili katika bandari ya Zanzibar jana tayari kwa kunza  safari zake kati ya Dar as Salaam na Zanzibar.


Meli hiyo yenye uwezo mkubwa wa kubeba abiria wapatao 1650,mizigo uzito wa tani 717,sambamba namagari 150  meli hii inatarjiwa kurahisiha zaidi mawasiliano kati ya pandezote mbili  na kuchochea shugulu za kiuchumi 

Mbunge Chadema atupwa jela miezi sita


Mahakama ya wilaya ya Kilombero imemuhukumu kifungo cha miezi sita jela Mbunge Wa jimbo la Kilombero Peter Lijualikali (30)   kwa kosa la kufanya fujo na kusababisha taharuki katika maeneo ya ukumbi Wa halmashauri ya Wilaya ya Kilombero
Mwendesha mashtaka inspekta Wa Polisi Dotto Ngimbwa aliiambia mahakama kuwa mshtakiwa, akiwa mshtakiwa namba moja pamoja na mwenzie Stephano Mgata (35) walitenda kosa hilo Machi mosi mwaka 2016 saa 4 asubuhi Kwenye kikao cha Baraza la Madiwani katika eneo la Kibaoni ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Kilombero.

Ngimbwa alisema washtakiwa hao kwa pamoja walifanya fujo kinyume na kifungu namba 89 kifungu kidogo cha kwanza B, cha kanuni ya adhabu sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2002, ambapo washtakiwa walikana mashtaka na hivyo kufanya kesi kusikiliza ushahidi wa pande zote mbili na upande wa mashtaka ukathibitisha shtaka bila kuacha shaka.

Hakimu mkazi katika mahakama ya wilaya ya Kilombero Timothy Lyon alisema mahakama imewatia hatiani kwa kosa hilo na kwa kuwa mshtakiwa Wa kwanza ni Mbunge ambaye alikuwa na kesi tatu huko nyuma na kutiwa hatiani amehukumuwa jela miezi sita.

Lyon alizitaja kesi za nyuma ambazo mbunge huyo alitiwa hatiani NA kuhukumiwa ni kesi namba 338 ya mwaka 2014, kesi namba 220 ya mwaka 2014 na kesi namba 340 ya mwaka 2014, hivyo kutokana na mshtakiwa ni mzoefu katika kesi zote, mahakama imemkuta na hatia ya kwenda jela miezi sita.
Moja kati ya matukio ya vurugu yaliyomuhusisha mbunge huyo, na hapa ilikuwa ni katika kikao cha uchaguzi wa mwenyekiti wa halmashauri
Hata hivyo mahakama hiyo imeona kwa kuwa mshtakiwa wa pili Stephano Mgata (35), hii ni Mara yake ya kwanza amehukumiwa kifungo cha miezi sita nje ambapo ndani ya kipindi hicho cha miezi sita hatotakiwa kutenda kosa lolote la jinai.
Hata hivyo katika hali isiyokuwa ya kawaida hali katika mahakama hiyo ilikuwa tulivu tofauti na kesi nyingine dhidi ya Mbunge Lijualikali, ambapo wafuasi wachache wanaodhaniwa kuwa ni wa Chadema ndiyo walijitokeza na baada ya hukumu kutolewa Mbunge huyo alipelekwa haraka gerezani kwenda kuanza kutumikia kifungo chake
Kutokana na jambo hili mwanasiasa Julius Mtatiro anasema kuwa licha ya Lijualikali kufungwa jela lakini hali hiyo haiwezi kupoteza ubunge wake na kusema kama akikata rufaa huenda akapata haki. 

"Hawezi kupoteza ubunge kwa kifungo hicho na kama akikata rufaa anaweza kupata haki, Kumfunga Lijuakali kwa sababu alihoji na kupinga kunyimwa haki yake ni kuzalisha Lijualikali wengi zaidi" alisema Julius Mtatiro 

Wateule' wamrudisha Solo Thang




Rapa mkongwe Bongo Jay Moe amesema ujio wa Solo Thang bongo ni mzuri kwani amekuja kufanya kazi zake mwenyewe kama Solo Thang lakini pia wao kama Wateule hawatakubali kuona Solo Thang ameondoka Bongo bila kufanya kazi ya pamoja.

Akiongea kwenye kipindi cha eNEWZ Jay Moe amesema wanataka wao wenyewe waweze kujisimamisha kwenye ushindani wa muziki wa sasa na kuona kila mmoja kati yao anakuja na project yake na kusimama kivyake kisha watafanya project za kundi kama Wateule.

"Usishangae kesho, kesho kutwa Solo Thang amekuja na project na msanii mwingine wa kizazi hiki cha sasa, lakini ukiacha hapo hatuwezi kumruhusu Solo Thang aondoke bila ya kuwa na wimbo wowote ule wa Wateule, ikiwezekana moja mbili au tatu kabisaa kwa sababu saizi ni rahisi studio tunazo nyingi, beats tunazo kibao tunataka sisi wenyewe tuweze kujisimamisha kwenye competition inayoendelea kwenye soko la muziki sasa hivi" alisema Jay Moe 

Tanzania Face Downside Macroeconomic Risks, IMF Warn


The fifth review of the International Monetary Fund (IMF) program in Tanzania indicates that the country faces downside macroeconomic risks that could adversely affect its economic growth.

These risks include the currently tight stance of macroeconomic policies, the slow pace of credit growth, slow implementation of public investment, and private sector uncertainty about the government’s new economic strategies.

 The conclusion was made by the Executive Board of the IMF after they completed the fifth review of Tanzania’s macroeconomic performance under the Policy Support Instrument (PSI), on January 9th, 2016.

The PSI helps low-income countries to design effective economic plans that once approved by the IMF, are addressed to international donors, multilateral development banks, and foreign markets.


Despite the risks, the IMF notes that Tanzania’s macroeconomic performances remain strong. “Economic growth was robust during the first half of 2016 and is projected to remain at about 7% this fiscal year. Inflation came down below the authorities’ target of 5% and is expected to remain close to the target […],” the IMF indicates.

The IMF also states that the authorities of Tanzania have recently stepped up efforts to advance structural reforms identified under the IMF program.

 These include measures taken to strengthen public financial and debt management, modernize the monetary policy framework, and improve monitoring of parastatal enterprises.

 “The current tight macroeconomic conditions should be addressed by loosening the short-term policy stance, in line with program targets.
 After recording a small fiscal surplus in July-September, the government is committed to stepping up budget implementation, particularly in public investment, including by mobilizing external financing. Monetary policy should be eased to address the tight liquidity situation and support credit to the private sector,” the IMF advises.

The IMF further notes that the strong drive against corruption and tax evasion has led to higher fiscal revenues, which, if sustained, will provide a good foundation for the envisaged scaling up of infrastructure investment, starting with the 2016/17 budget. The IMF concludes that full involvement of all stakeholders in policy design and implementation, including importantly the private sector, will be crucial.



Tanzania Macroeconomic Performances

Tanzania’s GDP grew by 7% in 2015, with activity particularly strong in the construction, communication, finance, and transportation sectors. 

Inflation in Tanzania remained in single digits throughout 2015, averaging 5.6%, close to the authorities’ target of 5%. 

In September 2016, the country’s annual inflation rate fell to 4.5%. Bhaswar Mukhopadhyay, Resident Representative of the IMF in Tanzania, said in a recent interview with TanzaniaInvest: “Tanzania does not need financial assistance for maintaining macroeconomic stability. The country is not facing pressures on its balance of payments and its debt is at safe levels. 

Inflation is low, and the exchange rate has stabilized after a depreciation in 2015. Overall, these broad indicators of macroeconomic stability show that Tanzania is on the right track.”

Read more at: http://www.tanzaniainvest.com/economy/macroeconomic-risks-imf-review and follow us on www.twitter.com/tanzaniainvest



Tuesday, January 10, 2017

Azam yamtambulisha kocha mpya raia wa Romania


Klabu ya Azam FC imemshusha kocha mpya anaejulikana kwa jina la Aristica Cioaba kutoka Romania.
Kocha huyo amepewa mkataba wa miezi sita kwa ajili ya matazamio kama atafanya vizuri huenda akapewa mkataba wa muda mrefu lakini kinyume na hapo atafata nyayo za akina Zeben Hernandez.
Afisa habari wa Azam FC Jafar Idd amesema Aristica Cioaba atasaidiwa na makocha wazalendo ambao wanaiongoza Azam kwa sasa wakiongozwa na Idd Cheche.
“Tumeshapata kocha mpya kutoka Romania ambaye tumempa mkataba wa miezi sita ili tuweze kuangalia uwezo wake. Kama atafanya vizuri basi tunaweza kumuongezea muda,” anasema Jafar Idd uku akiziua tetesi za makocha wazawa kujiunga na Azam.
“Kwa sasa atakuwa akisaidiwa na makocha wetu wazalendo ambao wapo na timu wakiongozwa na Idd Cheche.”
Baada ya Zeben na wasaidizi wake kutimuliwa, ziliibuka tetesi kuwa huenda Karl Ongala ambaye aliwahi kuitumikia klabu hiyo akiwa mchezaji na kocha msaidizi akarejeshwa kwenye benchi la ufundi la Azam FC.

Mkwasa pia ni miongoni mwa makocha waliotajwa kupewa jukumu la kuinoa Azam baada ya kuachana na timu ya taifa ya Tanzania lakini ujio wa Aristica Cioaba unamaliza tetesi hizo.

Tuesday, January 3, 2017

JPM aagiza kufutwa kwa utitiri wa kodi



Ikiwa Tanzania Inataraji Mpaka ifikapo waka 2020 iwekweyne uchumi wakati hivi leo Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewataka Wakuu wa Mikoa,Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kuondoa utitiri wa kodi uliopo kwenye Mazao ili wakulima waweze kunufaika kutokana na kujiongezea kipato.

Agizo hilo alimetolewa leo wakati akihutubia wakazi wa Wilaya ya Bukoba na watanzania kwa ujumla akiwa katika ziara ya kikazi ya siku mbili Mkoani Kagera.

“Nawaagiza Wakuu wa Mikoa,Wilaya pamoja na Wakurugenzi wa Halmashauri kupitia upya Kodi zilizopo katika bidhaa mbalimbali kama Kahawa na Pamba, hakikisheni mnaondoa utitiri huu wa Kodi ili wafanyabiashara hawa wafaidike na mazao yao,” Alisema Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli amewaahidi watanzania kuwa atahakikisha anafanya kazi usiku na mchana bila kujali itikadi, dini na makabila ili kuhakikisha nchi inasonga mbele katika nyanja zote za kimaendeleo.
Akizungumzia maendeleo ya michango mbalimbali kwa ajili ya wathirika wa tetemeko la Ardhi mkoani Kagera Rais Magufuli amesema kuwa mpaka sasa simenti iliyochangwa ni zaidi ya tani 30,600 na mabati zaidi ya elfu 31,000 ambapo wananchi wameshaanza kupewa na kujengea.

Amewahimiza wananchi walioathirika na tetemeko la Ardhi kutotegemea Serikali kuwafanyia kila kitu na badala yake waanze kujenga na watumie msimu huu wa mvua kulima ili kujipatia chakula.
Pia Rais Magufuli amewashukuru na kuwapongeza wahisani waliochangia Maafa ya Kagera na kuwataka kuendelea na moyo huo katika kulijenga Taifa letu.  

Thomas Ulimwengu Kwenda Uholanzi


Klabu moja kutoka Uholanzi inatarajia kuleta ofa kesho ya kumuhitaji mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars),Thomas Ulimwengu.

Wakala wa Ulimwengu, Jamal Kisongo, amesema kwa sasa asingeweza kuitaja timu hiyo, hadi siku ya Jumatano, pamoja na ofa nyingine, zilizopo mezani hadi sasa.

Kisongo amesema kuna matarajio ya Ulimwengu kupata timu Ulaya na amewataka Watanzania wawe wavumilivu na kumuombea kijana huyo, ili afanikiwe kucheza Ulaya.

Ulimwengu, na Mbwana Samatta anayecheza Ubelgiji kwa sasa kwenye klabu ya Genk, tangu mwezi wa Januari mwaka uliopita, wote walikuwa wakiichezea TP Mazembe ya DR Congo kabla ya kumaliza mikataba yao mwaka uliopita. 

BREAK NEWSKOCHA MPYA WA TAIFA STARS




Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemteua Salum Mayanga kuwa kocha wa muda  (Interim coach), wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’.

Kocha Salum Mayanga anachukua nafasi ya Kocha Charles Boniface Mkwasa ambaye mkataba wake unafikia mwisho mwezi Machi, mwaka huu - 2017.

Kati ya majukumu yake yatakuwa ni kuandaa kikosi cha timu ya Taifa kwa ajili ya hatua ya kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2019 ambazo mechi za awali zitanza mapema mwaka huu.
Pia Kocha Mayanga atakuwa na jukumu la kuandaa kikosi cha wachezaji wa ndani kwa ajili ya hatua ya kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi ya ndani (CHAN).


TFF inamshukuru Kocha Charles Boniface Mkwasa kwa utumishi katika nafasi hiyo ulioanza Julai, 2015 na kumtakia mafanikio katika mipango yake inayofuata.

Monday, January 2, 2017

Hiki Ndicho Kinachokwamisha 'collabo' ya Jide na Diamond


Msanii mkongwe katika anga la bongo fleva, mwanadada Judith Wambura a.k.a Lady Jay Dee amesema yuko tayari kufanya kazi na staa wa muziki huo Diamond Platnumz, endapo atahitaji lakini kinachoweza kukwamisha ni ratiba yake ya kazi.

Jay Dee amelazimika kutoa kauli hiyo kutokana na kuongezeka kwa minong'ono kuwa wawili hao wanakwepana, na hawataki kufanya kazi kwa pamoja, ambapo amekuwa akikabiliwa na mambo mengi kwenye ratiba yake.
Akiwa katika Kitengo ya Planet Bongo ya EATV, Jay amesema hana tatizo na msanii yoyote nchini na yuko wazi wakati wowote, lakini akasita kutaja ni wakati gani atafanya kazi na Diamond.
"Kwa sasa nina ratiba za mambo mengine, lakini akinihitaji niko tayari na tutafanya kazi wakati muafaka nikiwa na na nafasi" Alisema Jay Dee.
Mwezi Novemba mwaka jana, Diamond alipozungumza na EATV kuhusu suala hilo alisema yuko tayari kufanya kazi na mwanadada huyo, lakini tatizo ni kubanwa na ratiba ambayo imekuwa haimpi nafasi.
Kwa kauli hizo, sasa ni dhahiri kuwa wawili hao hawana shida kufanya kazi pamoja lakini huenda wanaogopana, huku kila mmoja akisubiri mwenzake amuanze, maana hadi sasa hakuna ambaye ameomba kufanya kazi na mwezake huku wote wawili wakidai kukwamishwa na ratiba ya kazi zao. 

Mkurugenzi wa TANESCO atumbuliwa na Rais Magufuli



Rais John Pombe Magufuli leo tarehe 1/1/ 2017 ametengua uteuzi  uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania 9TANESCO) Mhandisi Felchesmi Mramba na kumteua Dk Tito Esau Mwinuka kuwa Kaimu Mkurugenzi wa shirika hilo.

Akiwa mkoani Kagera leo Rais Magufuli alisikika akisema kuwa haiwezekani mtu mmoja kutokana na nafasi yake afanye maamuzi ya kupandisha umeme huku akitambua kuwa kufanya hivyo ni kuwaumiza watanzania na kuahidi kuendelea kuwatumbua wafanyakazi wa Serikali ambao ni majipu.
Kwa mwaka 2017 Mkurugenzi wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba anakuwa mfanyakazi wa kwanza kutumbuliwa na Rais John Pombe Magufuli

Hiki Ndio Kisa Kilicho Waliza walizwa Young Dee, Country Boy




Tunaweza kusema kuwa staa wa video za bongo fleva, mwanadada Amber Lulu anataka kuwagonganisha kimapenzi wasanii wawili wa rap Bongo, Young Dee na Country Boy kutokana na kuanzisha rasmi mahusiano na Country Boy
Hatua hiyo ni baada ya Amber kutoa ya moyoni jinsi anavyomuhusudu Country Boy, huku akikiri kuwa mahusiano ya Young Dee licha ya kupiga chenga kuwa mahusiano yake na Country Boy ni ya kikazi pekee, na hayatahusu mapenzi.
Amber alifunguka hayo alipokuwa akipiga story na Jay R Junior katika kipindi cha Bongo Fleva Top 20 cha East Africa Radio na kueleza kinachomvutia zaidi kwa Country Boy ikilinganishwa na wasanii wengine wa kiume katika game ya Bongo Fleva.

Akiwa ameingia rasmi kwenye game ya bongo fleva kama msanii wa kuimba, amesema mastaa wengi wa kiume ambao amekuwa akifanya nao kazi, wamekuwa wakishindwa kujizuia na kutamani mapenzi zaidi ya kazi.

HAJIB: KUPATA SHAVU KUTOKA TIMU TATU



MSHAMBULIAJI chipukizi wa kimataifa wa Tanzania, Ibrahim Hajib Migomba amerejea nchini jana na kusema kwamba atajiunga na timu itakayompa ofa nzuri kati ya Haras El Hodoud ya Misri na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini.

Akizungumza na Bin Zubeiry Sports - Online leo baada ya kuwasili nchini kutoka Misri alipokwenda kufanya majaribio klabu ya Haras El Hodoud, Hajib amesema kwamba anaweka mbele maslahi katika kuamua timu ya kujiunga nayo.

Pamoja na kufuzu majaribio na vipimo vya afya Haras El Hodoud, lakini imeripotiwa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini pia inatamaka mchezaji huyo wa Simba kwa kusaini naye mkataba moja kwa moja bila majaribio.

Kuhusu Haras, Hajib amesema kwamba amefanya mazungumzo ya awali na Haras El Hodoud na kufikia makubaliano, lakini kwanza wanatakiwa kumalizana na klabu yake ya sasa, Simba SC.

“Ninamshukuru Mungu nimefurahia siku zangu chache za kuwa Alexandria, nilikuwa katika klabu nzuri, mazingira mazuri na wachezaji wenzangu kule wamenikubali mapema sana. Sasa baada ya yote, ninawasikilizia wao tu ni jinsi gani watalimalizia hili suala,”amesema.

Kwa upande wake, Katibu wa Simba, Patrick Kahemele amesema klabu haijapokea ofa yoyote kutoka Haras El Hodoud wala taarifa ya majibu ya majaribio ya mchezaji. “Sisi wenyewe tunasikia tu kutoka kwenye vyombo vya habari kwamba Hajib kafuzu. Kwa hiyo tunasubiri majibu rasmi,”amesema. 


Wakala anayeshughulikia mipango ya Hajib nchini Afrika Kusini, Rodgers Mathaba kwa upande wake alikiri juu ya mchezaji huyo kutakiwa na Kaizer Chiefs.


“Ni kweli, Kaizer wanamtaka Hajib. Najua alikuwa Misri, nasubiri arejee Dar es Salaam nimpigie simu nizungumze naye. Tayari nimekwishazungumza na kocha Steve Khompela wa Kaizer,”alisema.

Hajib alikuwa ana wiki nzuri ya majaribio Haras El Hodoud ikiwemo kufunga bao moja katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa kirafiki Ijumaa.

Mathaba ndiye aliyempeleka Hajib Afrika Kusini kwa majaribio pia, klabu ya Lamontville Golden Arrows FC ya Ligi Kuu ya ABSA nchini humo na pamoja na kufuzu, wakamtaka arejee Simba kumalizia Mkataba ili baadaye aende kama mchezaji huru.


Lakini sasa mambo yamebadilika na klabu za Afrika Kusini na Misri zipo tayari kumnunua Hajib kutoka Simba.   



Na akizungumzia hilo, Hajib amesema; “Ni kweli nimesikia hizo habari, na si Kaizer tu, timu nyingine kama mbili za Afrika Kusini nazo zimetangaza ofa. Kwanza ninamshukuru Mungu. Mungu ni mkubwa, sasa tusubiri haya maneno yawe vitendo ndiyo tufanye maamuzi,”.

Thursday, December 29, 2016

WA MISRI, WAARABU WAKOLEA...SASA WATAKA KUONGEA BIASHARA NA SIMBA


MSHAMBULIAJI chipukizi wa kimataifa wa Tanzania, Ibrahim Hajib Migomba amefuzu majaribio katika klabu ya Haras El Hodoud ya Ligi Kuu ya Misri.

Akizungumza na Bin Zubeiry Sports - Online leo kutoka mjini Alexandria yalipo makao makuu ya timu hiyo, Hajib alisema kwamba leo ameambiwa amefuzu majaribio yake baada ya siku tano.
"Nimepewa majibu kwamba nimefuzu, kwa hiyo kinachofuata ni hii klabu kuzungumza na Simba ili wakubaliane kwanza, ndipo nitajua mustakabali wangu,"amesema Hajib.  


Hajib aliondoka Alhamisi iliyopita nchini kwenda Misri kwa majaribio ya kucheza soka ya kulipwa baada ya kupewa baraka zote na uongozi wa Simba. 

Mshambuliaji huyo ameonyesha kiu ya kweli ya kutaka kucheza nje ya Tanzania, kwani katikati ya mwaka huu alikwenda Afrika Kusini kwa majaribio pia, ambako pamoja na kuripotiwa kufuzu katika klabu ya Lamontville Golden Arrows FC ya Ligi Kuu ya ABSA nchini humo. 

washindi wa WatsUPTV African Awards 2016, watanzania wanne tu ndio wameshinda



Ulikuwa usiku wa December 28 2016 tuzo za WatsUp TV Africa Music Video Awards 2016 ndio zilitangazwa Accra Ghana, washindi 22 walitangazwa kupitia Press Conference wakiwemo wasanii wa Tanzania waliyofanikiwa kushinda tuzo hizo kwa mwaka 2016.

Usiku wa December 28 2016 tuzo za WatsUp TV Africa Music Video Awards 2016 ndio zilitangazwa Accra Ghana, washindi 22 walitangazwa kupitia Press Conference wakiwemo wasanii wa Tanzania waliyofanikiwa kushinda tuzo hizo kwa mwaka 2016.
Kama hufahamu WatsUp TV Africa Music Video Awards (WAMVA) ni tuzo ambazo zinaandaliwa na WatsUP TV, zikiwa na lengo la kushawishi au kuhamasisha wasanii kufanya video za viwango vya juu pamoja na ubora.

Wametangazwa washindi 22 wasanii na waongozaji wa video 170 waliyokuwa wametajwa kuwania tuzo hizo wakati zinazinduliwa mwezi September 2016,  kwa mujibu wa mtandao wa Zionfelix.net ni kuwa washindi watafanya show katika tamasha la Made in Africa litakalofanyika 2017 Accra Ghana.

List ya washindi wote 22 waliyotangazwa
Best Newcomer Video of the Year
Harmonize ft Diamond Platinium ( Badoo)
Best African Reggae Dancehall Video
Shatta Wale ( Chop Kiss ) Ghana
Best Afro Pop Video
Scientific Ft Quincy B (Rotate) Liberria
Best African Hip Pop Video
Iba One (Dokera) Mali
Best African RnB Video
Alikiba (Aje) Tanzania
Best African Traditional Video
Tay Grin FT 2BABA ( Chipapaa ) Malawi
Best African Dance Video
Oudy 1ER (Lokolo) Guinea
Best African Collabo Video
Diamond ft AKA (Make we sing ) Tanzania
Best African group Video
Navy Kenzo (Kamatia ) Tanzania
Best African Male Video
Diamond Platinium ft Psquare ( Kidogo ) Tanzania
Best African Female Video
Vivian Chidid ( Wuyuma) Senegal
Best African Performance
DJ Arafat (Concert a Korkogo) Cote D’Ivorire
Best International Video
Beyonce – Formation (USA)
Best East African Video
Alikiba (Aje) Tanzania
Best Central African Video
Ferre Gola ft Voctoria Kimani (Tucheze) DR Congo
Best North Africa
Ibtissam Tiskat
Best South African Video
Casper Nyvorvest (War Ready)
West Africa Video
DJ Arafat
Best African Video Director
Godfather Kidogo (Nigeria)
Best African Music of the Year
Diamond Platinium ft PSquare (Kidogo) Tanzania
Special Recognition Award Music Video Africa
Mr Eazi ft Efya (Skin Tight) Nigeria

Azam FC, Imevunja Mkataba na makocha Hispania



UONGOZI wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, unapenda kuufahamisha umma kuwa umefikia makubaliano ya pande mbili ya kusitisha mikabata ya makocha wake kutoka nchini Hispania.

Jopo hilo la makocha linaundwa na Kocha Mkuu Zeben Hernandez, Msaidizi wake, Yeray Romero, Kocha wa Makipa Jose Garcia, Kocha wa Viungo, Pablo Borges na Mtaalamu wa tiba za Viungo, Sergio Perez.
\
Uamuzi huo umefikiwa na Bodi ya Wakurugenzi wa timu hiyo jana, na umetokana na mwenendo mbaya wa Azam FC kwenye Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), ambayo imefikia raundi ya pili hivi sasa.

Azam FC inawatakia kila la kheri na mafanikio mema makocha hao huko waendako na inawashukuru kwa mchango wao wote walioutoa kwenye timu kwa kipindi chote walichokaa, ikiwemo kuwapa taji la kwanza la Ngao ya Jamii mwaka huu kwa kuifunga Yanga kwa mikwaju ya penalti 4-1 kufuatia sare ya mabao 2-2.

Wakati huu ambapo uongozi wa Azam FC upo katika mchakato wa kusaka kocha mpya, kikosi hicho kitakuwa chini ya makocha wa timu ya vijana ya timu hiyo, Idd Cheche na Kocha wa Makipa, Idd Abubakar, ambao walianza kazi jana jioni kukiandaa kikosi kuelekea mchezo wa leo dhidi ya Tanzania Prisons.

Azam FC inapenda kuwaambia mashabiki wake kuwa wawe watulivu katika kipindi hiki kwani uongozi umefanya uamuzi sahihi kwa ajili ya kuinyanyua timu juu ili hatimaye ushiriki wetu wa michuano mbalimbali uweze kuwa ni wa kiwango cha juu tofauti na hali ilivyokuwa sasa.


Hernandez anaondoka Azam FC akiwa ameingoza timu hiyo kwenye mechi 18 rasmi ambazo ni za mashindano, 17 za ligi na moja ya Ngao ya Jamii, amefanikiwa kushinda mechi nane, sare sita na kufungwa mara nne.
Copyright © 2015 Dar One
| Distributed By Hotrootnews.blogspot.com